Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Featured Image
Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani akae na mtoto. MME: Akasimama akauliza hivi: Mheshimiwa hakimu hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye mashine ikatoa pesa, sasa pesa zitakuwa ni za ATM au zakwangu?
238 💬 ⬇️

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Featured Image
237 💬 ⬇️

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Featured Image
238 💬 ⬇️

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Featured Image
238 💬 ⬇️

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

237 💬 ⬇️

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Featured Image
236 💬 ⬇️

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About