Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Huruma ya Mungu: Kuponya Majeraha ya Roho

Featured Image
Huruma ya Mungu ni ya kweli na inaweza kuponya majeraha ya roho yako!
50 💬 ⬇️

Vile unavyoweza kuwa DARAJA au KIKWAZO kwa wengine

Featured Image
Kwa namna unayoishi unaweza ukawa daraja au kikwazo cha wengine kuishi maisha ya Amani raha na fanaka. Unaweza ukawa daraja kwa maana kwamba wewe unaweza kuwa sababu ya wengine kupata Baraka na neema za Mungu. Unaweza kuwa kikwazo kwa maana kwamba unaweza kuwa wewe ni sababu ya wengine kutokupata Baraka na Neema za Mungu.
101 💬 ⬇️

Mungu ni mwenye upendo, Huruma na Rehema hasa kwa Wenye dhambi

Featured Image
Mungu ni mwenye upendo Huruma na Rehema hasa kwa Wenye dhambi. Mungu yupo tayari kumsikiliza mtu yeyote mwenye dhambi kama ameutambua, amekiri na Kutubu makosa yake. Mungu akishamsamehe mtu uovu wake anambariki.
100 💬 ⬇️

Kukimbilia Huruma ya Mungu: Nguvu katika Majaribu

Featured Image
"Kukimbilia Huruma ya Mungu: Nguvu katika Majaribu" - Mtazamo wa Furaha!
50 💬 ⬇️

Nguvu na Umuhimu wa Upendo

Featured Image
Katika fadhila zote, upendo ndio unaonyesha uwepo wa fadhila nyingine Upendo ni Amri kubwa kuliko zote Upendo ni Utimilifu wa Sheria Upendo ni Utakatifu
100 💬 ⬇️

Siri za Upendo, Huruma, Rehema na Neema za Mungu

Featured Image
Kadiri Mtu anavyoanguka dhambini na kutubu kweli makosa yake ndivyo na upendo, Huruma, Rehema na Neema za MUNGU zinavyoongezeka katika maisha yake.
100 💬 ⬇️

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Featured Image
Ibada ya Huruma ya Mungu ni njia yenye nguvu ya ukarabati na uongofu!
50 💬 ⬇️

TAFAKARI KUHUSU NAFASI YA MATESO NA SHIDA KATIKA MAISHA

Featured Image
Mungu hapendi mtu Ateseke lakini ni kwa njia ya ya Mateso mtu anaweza akapimwa IMANI yake, UNYENYEKEVU, UTII na Matumaini yake kwa Mungu. Mateso na shida katika maisha ni nafasi ya kujifunza na Kuonyesha unyenyekevu, Imani na Matumaini ya mtu.
100 💬 ⬇️

Unafahamu kuwa Imani ni Cheti cha Kuweza Kupata Yote?

Featured Image
Imani ni njia ya kuweza kupata yote. Unachohitaji ni Imani. Naam kuwa na uhakika na unachokitarajia.
100 💬 ⬇️

Maana ya kuushinda ulimwengu

Featured Image
Ni kuacha kufuata akili yako na mwili wako huku ukiufuata moyo wako wakati ukijua moyoni mwako Roho Wa Mungu yupo na anafanya kazi.
100 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About