Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Amri ya nne ya Mungu: Kuheshimu Wazazi

Featured Image
Katika Amri ya nne ya Mungu tumeamriwa nini? Tumeamriwa tuwaheshimu wazazi wetu na wakubwa wetu wote, tuwapende, tuwatii na tuwaombee. (Kut 20:12, Kol 3:20) Amri ya Nne ya Mungu tumeamriwa nini? Tumeamriwa tuwaheshimu wazazi wetu na wakubwa wote, tuwapende, tuwatii na tuwaombee. (Kut 20:12), Kol 3:20
50 💬 ⬇️

Amri ya Saba ya Mungu: Usiibe - Tambua mali ya mtu na kuheshimu

Featured Image
Je, Amri ya Saba ya Mungu inafundisha nini? Amri ya saba ya Mungu inafundisha kuitambua mali ya mtu na kuiheshimu. Mali ya mtu ni ipi? Mali ya mtu ni ile aliyoipata kwa njia halali yaani kwa haki.
50 💬 ⬇️

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu utunzaji wa mazingira?

Featured Image
Hata kama unafunga siku ya Ijumaa, usisahau kuacha mazingira yako safi! Kanisa Katoliki linasisitiza juu ya utunzaji wa mazingira kwa ajili ya vizazi vijavyo. Fanya sehemu yako kwa kuhakikisha mazingira yako ni safi na salama kwa wote.
50 💬 ⬇️

Maswali na Majibu kuhusu Karama

Featured Image
Tunda la kuongozwa na Roho Mtakatifu ni lipi? Tunda la kuongozwa na Roho Mtakatifu ni umoja wa Kanisa unaotokana na ustawi wa upendo na vipaji ndani ya waamini.
50 💬 ⬇️

Maswali na Majibu kuhusu Biblia

Featured Image
50 💬 ⬇️

Maswali na Majibu kuhusu dhamira

Featured Image
50 💬 ⬇️

Maswali na majibu kuhusu Katekesi

Featured Image
Katekista ni nani? Katekista ni mlei aliyechaguliwa na Kanisa ili kumfanya Kristo ajulikane, apendwe, na kufuatwa na wale ambao hawajamfahamu na pia waamini Waraka wa Baba Mtakatifu Unatafsiri vipi Makatekista? Waraka unasema; 1. Makatekista ni Wafanyakazi maalimu 2. Mashahidi wa moja kwa moja, Wainjilishaji wasio na mbadala
52 💬 ⬇️

Mambo ya Msingi unayotakiwa kufahamu kuhusu Sakramenti ya Daraja

Featured Image
50 💬 ⬇️

Amri ya Kwanza ya Mungu: Mambo Muhimu ya Kuzingatia

Featured Image
Katika amri ya kwanza ya Mungu tumeamriwa nini? Tumeamriwa tusadiki kuwa Mungu ni mmoja, ndiye Baba yetu na Mkubwa wetu: tumpende, tumwabudu yeye peke yake. (Mt 10:33, Kumb 6:4-9) Wakatoliki tunamwabudu Mungu kwa namna gani? Tunamwabudu Mungu kwa sala , sadaka na matendo mema
50 💬 ⬇️

Maswali na Majibu kuhusu Mafumbo ndani ya Kanisa Katoliki

Featured Image
50 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About