Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Upendo mkuu wa Yesu

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Fikiria umenunua zawadi nzuri ya gharama sana na unataka kumpa mtu umpendaye sana. Akipokea zawadi yako unafurahi sana, akikataa kuipokea zawadi inaumiza sana, lakini inaumiza zaidi akiipokea kisha akaitupa mbele yako na kuona haina maana. Hiki ndicho kinachotokea kwa Yesu. Yesu yupo kwa ajili ya kutupa zawadi ya Wokovu alyogharamia kwa uhai wake. Tunapoipokea tunamfurahisha sana, tukiikataa tunamhuzunisha na tunapoipokea na kuiacha baadae tunamhuzunisha kwelikweli.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

David Ochieng (Guest) on July 20, 2024

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Lydia Mutheu (Guest) on March 2, 2024

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Catherine Mkumbo (Guest) on January 15, 2024

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Andrew Odhiambo (Guest) on January 3, 2024

Baraka kwako na familia yako.

Victor Kimario (Guest) on November 4, 2023

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Hellen Nduta (Guest) on September 29, 2023

Katika imani, yote yanawezekana

Mariam Kawawa (Guest) on May 25, 2023

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

David Musyoka (Guest) on April 6, 2023

Rehema zake hudumu milele

Joseph Kawawa (Guest) on February 28, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Michael Mboya (Guest) on October 24, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Sharon Kibiru (Guest) on July 30, 2022

Nakuombea πŸ™

John Malisa (Guest) on December 1, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Francis Mrope (Guest) on July 16, 2021

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Frank Macha (Guest) on March 13, 2021

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Miriam Mchome (Guest) on December 30, 2020

Mungu akubariki!

Peter Mbise (Guest) on December 20, 2020

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Paul Kamau (Guest) on November 22, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Christopher Oloo (Guest) on September 7, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Francis Mtangi (Guest) on March 1, 2020

Endelea kuwa na imani!

Charles Mrope (Guest) on October 8, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

Lydia Mutheu (Guest) on July 18, 2019

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

John Lissu (Guest) on May 2, 2019

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

James Kimani (Guest) on September 9, 2018

Sifa kwa Bwana!

Catherine Naliaka (Guest) on May 13, 2018

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Sarah Achieng (Guest) on August 14, 2017

Neema na amani iwe nawe.

John Lissu (Guest) on August 7, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Jacob Kiplangat (Guest) on July 7, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Bernard Oduor (Guest) on April 9, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Grace Njuguna (Guest) on April 5, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Betty Akinyi (Guest) on February 13, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Andrew Mahiga (Guest) on January 14, 2017

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Grace Majaliwa (Guest) on December 28, 2016

Dumu katika Bwana.

George Ndungu (Guest) on November 3, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Michael Mboya (Guest) on October 28, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Betty Cheruiyot (Guest) on September 16, 2016

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

David Ochieng (Guest) on August 30, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Monica Nyalandu (Guest) on August 15, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Sarah Mbise (Guest) on June 20, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Stephen Mushi (Guest) on June 11, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Vincent Mwangangi (Guest) on May 29, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Rose Waithera (Guest) on May 17, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Tabitha Okumu (Guest) on March 7, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Jane Muthui (Guest) on March 7, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Rose Waithera (Guest) on February 16, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Anna Mchome (Guest) on February 6, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Sarah Achieng (Guest) on January 22, 2016

Rehema hushinda hukumu

Patrick Akech (Guest) on December 18, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Samuel Omondi (Guest) on August 8, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Patrick Mutua (Guest) on August 5, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Mary Mrope (Guest) on July 10, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Related Posts

Njia ya sala

Njia ya sala

Kwa njia ya sala Binadamu anampa Mungu Utukufu, Mungu anampa Binadamu Wokovu na Neema.

... Read More
Sifa za Sala yeyote

Sifa za Sala yeyote

Sala yoyote ili iwe SALA lazima itolewe kwa Imani, Upendo, Unyenyekevu na kwa Matumaini. Sala kam... Read More

Umuhimu wa kumsogelea Mungu

Umuhimu wa kumsogelea Mungu

Vile unavyomsogelea Mungu ndivyo na yeye anavyokusogelea. Vile unavyomkubali Mungu katika Maisha ... Read More

Maisha ya kiroho yanahitaji Mipango (Strategy)

Maisha ya kiroho yanahitaji Mipango (Strategy)

Kama yalivyo maisha ya kimwili, maisha ya kiroho pia yanahitaji mipango. Kila siku panga utafanya... Read More

Sala ni Upendo

Sala ni Upendo

Sala sio maneno mengi au maneno ya kurudiarudia. Sala ni maneno au hata neno moja la kimapendo li... Read More

Tumaini kwa Mungu

Tumaini kwa Mungu

Mtumainie Mungu kwa maana Mungu hawatupi wale wamtumainiao na kumgoja. Mkono wake upo tayari kwa ... Read More

Sala ni chimbuko la Fadhila

Sala ni chimbuko la Fadhila

Sala ndiyo chimbuko la fadhila. Kwa njia ya sala tunapata fadhila za Kimungu na Neema za Mungu. A... Read More

Upendo na ubinafsi

Upendo na ubinafsi

Upendo hauandamani na ubinafsi. Huwezi kusema una upendo wa kweli kama huwezi kujinyima vile unav... Read More

Mkono wa Mungu

Mkono wa Mungu

Kila jambo lina Mkono wa Mungu juu yake hata kama limefanyika bila kupangwa au kukusudiwa. Mbele ... Read More

Upendo na chuki havitangamani

Upendo na chuki havitangamani

Upendo wa kweli hauambatani na chuki. Huwezi kusema una Upendo wakati kuna watu wengine unawapend... Read More

Mungu anasubiri sala zako

Mungu anasubiri sala zako

Mungu anasubiri sala zako kila siku. Anasubiri sala zako akujibu ili uone utukufu wake. Anasubiri... Read More

Furaha ya Binadamu

Furaha ya Binadamu

Kufanya Mambo mema ndipo kunaleta furaha ya kweli kwa Binadamu yeyote yule. Hakuna Binadamu anaye... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About