Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtakatifu wa Bwana wetu Yesu Kristu/ ambao ninataka kumpenda/ na kukusalimu kwa usikivu unaoendelea./ Kamwe nisikuudhi tena/ kwa sababu Wewe ni Mwema sana;/ Ee Mwema sana./ Ee Moyo Mtakatifu sana/ ninakupenda/ na ninataka kukupenda zaidi ya vitu vyote,/ kwa nguvu zangu zote/ na kwa uwezo wangu wote,/ ninatamani kuwa mali yako/ Wewe uliyejitoa Msalabani kwa ajili yangu/ kwa mateso makali./ Unionee huruma na udhaifu wangu/ na usiniruhusu kupotea./

Ninajitoa kabisa kwako/ ee moyo wa mapendo,/ kwa makusudi kuwa utu wangu,/ maisha na mateso yangu/ yalipie kukupenda,/ kukuheshimu/ na kukutukuza Wewe sasa na milele./ Ninakupenda ee Moyo Mwabudiwa wa Mwokozi wangu,/ ninakuomba kwako/ uamuru moyo wangu na kila kitu ndani yangu/ kikutukuze sasa na milele./ Amina.

(Na Mt Margareta Maria Alakoki)

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jane Muthui (Guest) on July 13, 2024

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Elizabeth Mrope (Guest) on June 21, 2024

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Vincent Mwangangi (Guest) on April 20, 2024

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

George Tenga (Guest) on February 9, 2024

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

James Malima (Guest) on December 3, 2023

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Michael Onyango (Guest) on October 20, 2023

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Joseph Kitine (Guest) on August 19, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Rose Amukowa (Guest) on July 20, 2023

Dumu katika Bwana.

Patrick Akech (Guest) on June 6, 2023

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Agnes Sumaye (Guest) on May 21, 2023

πŸ™πŸ™πŸ™

Joseph Njoroge (Guest) on May 14, 2023

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

David Chacha (Guest) on April 24, 2023

Tumaini ni nanga ya roho

Peter Mbise (Guest) on January 29, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

John Lissu (Guest) on January 15, 2023

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Paul Kamau (Guest) on December 30, 2022

Rehema zake hudumu milele

Lucy Kimotho (Guest) on December 3, 2022

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

John Kamande (Guest) on October 23, 2022

πŸ™πŸ™πŸ™

Rose Mwinuka (Guest) on September 13, 2022

Baraka kwako na familia yako.

Kenneth Murithi (Guest) on August 6, 2022

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Patrick Mutua (Guest) on July 8, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Moses Mwita (Guest) on May 13, 2022

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Jane Malecela (Guest) on April 15, 2022

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Rose Lowassa (Guest) on February 15, 2022

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Ruth Wanjiku (Guest) on January 9, 2022

Endelea kuwa na imani!

Christopher Oloo (Guest) on January 5, 2022

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Thomas Mtaki (Guest) on November 17, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Joseph Kiwanga (Guest) on September 14, 2021

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Nancy Kabura (Guest) on July 14, 2021

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Joseph Njoroge (Guest) on July 11, 2021

Mwamini katika mpango wake.

George Tenga (Guest) on July 5, 2021

Mwamini Bwana; anajua njia

Joseph Kawawa (Guest) on May 6, 2021

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Alice Jebet (Guest) on April 16, 2021

Amina

Grace Wairimu (Guest) on March 5, 2021

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Victor Kimario (Guest) on July 19, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Robert Ndunguru (Guest) on July 9, 2020

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Grace Mligo (Guest) on April 28, 2020

Nakuombea πŸ™

Catherine Naliaka (Guest) on April 14, 2020

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Raphael Okoth (Guest) on March 19, 2020

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Charles Mrope (Guest) on March 12, 2020

Mungu akubariki!

Joyce Mussa (Guest) on February 17, 2020

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Betty Kimaro (Guest) on January 27, 2020

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Moses Mwita (Guest) on December 5, 2019

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Janet Sumaye (Guest) on October 27, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Nancy Akumu (Guest) on September 24, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Frank Sokoine (Guest) on August 9, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joseph Kiwanga (Guest) on July 21, 2019

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

David Nyerere (Guest) on March 18, 2019

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Josephine Nduta (Guest) on March 12, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Lucy Mahiga (Guest) on January 4, 2019

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Alex Nakitare (Guest) on August 7, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Kenneth Murithi (Guest) on June 5, 2018

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 29, 2018

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Patrick Akech (Guest) on May 23, 2018

Neema ya Mungu inatosha kwako

Elizabeth Malima (Guest) on May 12, 2018

Katika imani, yote yanawezekana

Victor Mwalimu (Guest) on April 23, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Elizabeth Mrope (Guest) on March 2, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joy Wacera (Guest) on February 20, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Rose Waithera (Guest) on February 1, 2018

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Jane Malecela (Guest) on January 12, 2018

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Alex Nyamweya (Guest) on September 13, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Related Posts

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About