Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubwa sana ulipotazama mateso na kifo cha Mwana wako mpenzi. Muda ule uliweza kutuliz kidogo kwa sababu ya kumwona angali hai. Lakini je, baada ya kufa na kumzika? Sasa wewe ni mkiwa mkubwa mno! Uh, ukiwa wa pekee, uniombee mimi ninayempoteza mara nyingi kwa dhambi zangu. Unijalie nisimpoteze tena Yesu wangu kwa ubaya wa uvivu wangu, bali nimtumikie kiaminifu duniani hapa ili nimwone na kumfurahia milele mbinguni. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Moses Kipkemboi (Guest) on July 11, 2024

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Grace Wairimu (Guest) on July 3, 2024

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Simon Kiprono (Guest) on May 10, 2024

Dumu katika Bwana.

Monica Nyalandu (Guest) on March 10, 2024

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

John Kamande (Guest) on December 24, 2023

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Victor Mwalimu (Guest) on December 11, 2023

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Lucy Mahiga (Guest) on November 29, 2023

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Rose Waithera (Guest) on May 14, 2023

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Jackson Makori (Guest) on March 26, 2023

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Samuel Omondi (Guest) on January 14, 2023

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Susan Wangari (Guest) on October 23, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Alex Nakitare (Guest) on August 21, 2022

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

David Nyerere (Guest) on July 23, 2022

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Monica Nyalandu (Guest) on April 27, 2022

Rehema zake hudumu milele

Victor Malima (Guest) on April 16, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Brian Karanja (Guest) on April 7, 2022

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Sharon Kibiru (Guest) on December 6, 2021

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Stephen Kangethe (Guest) on December 2, 2021

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

David Chacha (Guest) on November 5, 2021

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Nancy Kawawa (Guest) on September 17, 2021

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Sarah Karani (Guest) on August 15, 2021

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Rose Lowassa (Guest) on July 6, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

Rose Waithera (Guest) on June 25, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Esther Nyambura (Guest) on May 31, 2021

Nakuombea πŸ™

Stephen Malecela (Guest) on May 20, 2021

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Peter Otieno (Guest) on January 2, 2021

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Christopher Oloo (Guest) on December 30, 2020

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Victor Malima (Guest) on September 16, 2020

Imani inaweza kusogeza milima

James Kimani (Guest) on September 3, 2020

Endelea kuwa na imani!

Joseph Njoroge (Guest) on August 27, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Alice Wanjiru (Guest) on August 12, 2020

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Esther Nyambura (Guest) on May 19, 2020

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Janet Wambura (Guest) on April 19, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Moses Mwita (Guest) on April 5, 2020

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Dorothy Nkya (Guest) on April 2, 2020

Mungu ni mwema, wakati wote!

Joseph Kitine (Guest) on February 14, 2020

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Linda Karimi (Guest) on February 8, 2020

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Nancy Kawawa (Guest) on January 19, 2020

Tumaini ni nanga ya roho

Jane Malecela (Guest) on January 18, 2020

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Hellen Nduta (Guest) on December 23, 2019

πŸ™πŸ™πŸ™

Nancy Kabura (Guest) on December 5, 2019

Rehema hushinda hukumu

Lydia Mahiga (Guest) on November 6, 2019

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Simon Kiprono (Guest) on September 19, 2019

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Alice Wanjiru (Guest) on August 17, 2019

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Grace Minja (Guest) on July 5, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Samson Mahiga (Guest) on June 27, 2019

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Grace Majaliwa (Guest) on March 29, 2019

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Janet Mbithe (Guest) on March 15, 2019

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Victor Kimario (Guest) on March 11, 2019

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Charles Mboje (Guest) on March 5, 2019

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

James Malima (Guest) on December 18, 2018

Sifa kwa Bwana!

Michael Mboya (Guest) on November 17, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Alex Nakitare (Guest) on October 8, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Anna Mahiga (Guest) on September 30, 2018

Mungu akubariki!

Michael Onyango (Guest) on September 21, 2018

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Stephen Kangethe (Guest) on May 2, 2018

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Rose Kiwanga (Guest) on April 28, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Sarah Achieng (Guest) on April 10, 2018

πŸ™πŸ™πŸ™

Stephen Malecela (Guest) on January 27, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Samuel Were (Guest) on January 23, 2018

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Related Posts

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About