Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala ya Saa Tisa

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. A mina

Yesu, ulikufa, lakini chanzo cha uhai kilitoka kwa ajili ya watu, na bahari ya huruma ilifunguka kwa ajili ya ulimwengu mzima. Ee chemchemi ya Uhai, huruma ya Mungu isiyo na mwisho, ikafunika ulimwengu mzima na ukajimwaga mwenyewe juu yetu.

❣✝❣

✝Ee Damu na Maji, yaliyotoka moyoni mwa Yesu kama chemchemi ya Huruma kwetu. Nakutumainia.

(Mara tatu)

πŸ›β£πŸ›

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Charles Mboje (Guest) on July 10, 2024

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Joyce Mussa (Guest) on June 27, 2024

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Bernard Oduor (Guest) on April 27, 2024

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Mariam Hassan (Guest) on January 2, 2024

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Josephine Nduta (Guest) on December 19, 2023

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Alex Nakitare (Guest) on September 30, 2023

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Lucy Kimotho (Guest) on July 21, 2023

Mwamini Bwana; anajua njia

Elizabeth Mrope (Guest) on July 10, 2023

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

David Kawawa (Guest) on April 15, 2023

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Brian Karanja (Guest) on March 20, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Joyce Aoko (Guest) on February 19, 2023

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Mariam Hassan (Guest) on September 30, 2022

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Peter Mugendi (Guest) on August 25, 2022

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Lucy Wangui (Guest) on August 16, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Peter Tibaijuka (Guest) on July 27, 2022

Mwamini katika mpango wake.

Peter Tibaijuka (Guest) on June 30, 2022

Endelea kuwa na imani!

Frank Sokoine (Guest) on June 30, 2022

Nakuombea πŸ™

Margaret Anyango (Guest) on June 20, 2022

Tumaini ni nanga ya roho

Nora Lowassa (Guest) on February 18, 2022

Katika imani, yote yanawezekana

Alex Nyamweya (Guest) on January 27, 2022

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Henry Sokoine (Guest) on November 20, 2021

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Frank Sokoine (Guest) on November 4, 2021

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Andrew Mahiga (Guest) on October 16, 2021

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Charles Mchome (Guest) on October 16, 2021

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Francis Mtangi (Guest) on July 27, 2021

Rehema zake hudumu milele

Michael Mboya (Guest) on June 19, 2021

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Anna Sumari (Guest) on March 29, 2021

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 30, 2020

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Susan Wangari (Guest) on September 24, 2020

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Grace Minja (Guest) on July 21, 2020

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Nancy Akumu (Guest) on June 22, 2020

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Lydia Mahiga (Guest) on May 1, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Janet Mwikali (Guest) on April 24, 2020

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Rose Lowassa (Guest) on March 15, 2020

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Esther Cheruiyot (Guest) on March 2, 2020

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Betty Akinyi (Guest) on January 29, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

George Wanjala (Guest) on October 6, 2019

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Sarah Achieng (Guest) on August 8, 2019

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Nancy Kawawa (Guest) on July 14, 2019

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Stephen Amollo (Guest) on July 10, 2019

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Janet Wambura (Guest) on June 28, 2019

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Rose Mwinuka (Guest) on May 19, 2019

Nguvu hutoka kwa Bwana

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 5, 2019

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Patrick Kidata (Guest) on April 21, 2019

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Grace Mushi (Guest) on April 5, 2019

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Stephen Amollo (Guest) on March 14, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Alice Jebet (Guest) on January 16, 2019

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Francis Mtangi (Guest) on January 11, 2019

Dumu katika Bwana.

Sharon Kibiru (Guest) on December 18, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Joy Wacera (Guest) on October 10, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Violet Mumo (Guest) on September 9, 2018

πŸ™πŸ™πŸ™

Francis Mtangi (Guest) on July 28, 2018

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Rose Waithera (Guest) on June 30, 2018

Mungu akubariki!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 26, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Andrew Mchome (Guest) on June 2, 2018

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

George Ndungu (Guest) on April 9, 2018

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

James Mduma (Guest) on January 26, 2018

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Linda Karimi (Guest) on December 27, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Grace Mushi (Guest) on December 20, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Jane Muthoni (Guest) on September 30, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Related Posts

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About