Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE šŸ”
☰
AckyShine

Nifunge nini Kwaresma? Mambo ya kufunga kipindi cha Kwaresima

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
NIFUNGE NINI?
FungaĀ huzuniĀ upateĀ furaha,
FungaĀ ulabuĀ upateĀ siha,
FungaĀ majivunoĀ upataĀ utukufu,
FungaĀ uzinziĀ upateĀ wongofu,
FungaĀ kisiraniĀ upateĀ utakatifu,
FungaĀ umbeaĀ upateĀ fanaka,
FungaĀ wivuĀ upataĀ baraka,
FungaĀ unafikiĀ upateĀ uchaji,
FungaĀ kinyongoĀ upateĀ faraja,
FungaĀ kwaresimaĀ wakati ni huu
FungaĀ kiburiĀ ujazweĀ hekima,
FungaĀ jeuriĀ ujaweĀ rehema,
FungaĀ hofuĀ ujazweĀ imani,
FungaĀ kinywaniĀ ujazweĀ moyoni,
FungaĀ kisiraniĀ ujazweĀ rohoni,
FungaĀ dharauĀ ujazweĀ heshima,
FungaĀ majungu,Ā ujazweĀ neema,
FungaĀ usiriĀ ujaweĀ wafuasi,
FungaĀ tamaaĀ ujazweĀ kiasi,
FungaĀ kwaresima wakati ni huu.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

James Malima (Guest) on July 4, 2024

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Robert Ndunguru (Guest) on March 25, 2024

Baraka kwako na familia yako.

Benjamin Kibicho (Guest) on November 19, 2023

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Bernard Oduor (Guest) on September 19, 2023

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Dorothy Nkya (Guest) on September 5, 2023

Nakuombea šŸ™

Alice Mwikali (Guest) on April 22, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Anthony Kariuki (Guest) on April 19, 2023

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Joyce Nkya (Guest) on December 31, 2022

Mungu ni mwema, wakati wote!

Samuel Were (Guest) on December 20, 2022

Rehema zake hudumu milele

Catherine Naliaka (Guest) on November 29, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Alice Wanjiru (Guest) on June 9, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Mariam Kawawa (Guest) on January 26, 2022

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 17, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Edith Cherotich (Guest) on October 12, 2021

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Jackson Makori (Guest) on October 10, 2021

Katika imani, yote yanawezekana

Betty Cheruiyot (Guest) on September 5, 2021

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Alex Nyamweya (Guest) on November 4, 2020

Mwamini katika mpango wake.

John Malisa (Guest) on October 4, 2020

Rehema hushinda hukumu

Edward Chepkoech (Guest) on July 20, 2020

Neema ya Mungu inatosha kwako

Joyce Nkya (Guest) on July 11, 2020

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Susan Wangari (Guest) on May 29, 2020

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Peter Mbise (Guest) on March 10, 2020

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Francis Njeru (Guest) on March 9, 2020

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Esther Nyambura (Guest) on November 17, 2019

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Rose Mwinuka (Guest) on September 23, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

Sarah Achieng (Guest) on July 24, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Anna Kibwana (Guest) on July 6, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Elizabeth Mrope (Guest) on May 31, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Sarah Achieng (Guest) on March 2, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Andrew Odhiambo (Guest) on February 2, 2019

Mungu akubariki!

Jackson Makori (Guest) on December 15, 2018

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Alice Wanjiru (Guest) on November 10, 2018

Sifa kwa Bwana!

Catherine Naliaka (Guest) on November 3, 2018

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

John Kamande (Guest) on October 18, 2018

Dumu katika Bwana.

Patrick Mutua (Guest) on April 4, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Anna Sumari (Guest) on February 2, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Peter Otieno (Guest) on October 16, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Robert Okello (Guest) on August 27, 2017

Endelea kuwa na imani!

Martin Otieno (Guest) on July 15, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Peter Mwambui (Guest) on June 10, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Jackson Makori (Guest) on March 6, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Victor Mwalimu (Guest) on March 4, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Diana Mallya (Guest) on February 20, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Mariam Kawawa (Guest) on February 3, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Carol Nyakio (Guest) on September 18, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Jacob Kiplangat (Guest) on August 15, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Anthony Kariuki (Guest) on June 7, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Francis Njeru (Guest) on November 1, 2015

Neema na amani iwe nawe.

John Mushi (Guest) on October 8, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Victor Kimario (Guest) on August 22, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Related Posts

Zifahamu dhambi ambazo huondolewa na PAPA pekee au Padre kwa ruhusa maalumu kutoka kwa Baba Mtakatifu

Zifahamu dhambi ambazo huondolewa na PAPA pekee au Padre kwa ruhusa maalumu kutoka kwa Baba Mtakatifu

Read More
Kwa nini tarehe ya Pasaka hubadilika

Kwa nini tarehe ya Pasaka hubadilika

KALENDA za mwanzo ziliutumia mwezi wa angani kama kipimo cha muda. Ziliitwa ā€œLunar calenderā€ au ... Read More
Mungu ni nani? Sifa za Mungu

Mungu ni nani? Sifa za Mungu

Read More
Mambo manne ya mwisho katika maisha

Mambo manne ya mwisho katika maisha

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Mungu?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Mungu?

Karibu katika makala hii ambayo itazungumzia imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Mungu. Kama dini ina... Read More

Uelewa wa namba katika Biblia

Uelewa wa namba katika Biblia

Biblia imeandikwa na Mungu kupitia waandishi wanadamu kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu. Hivyo Biblia ... Read More

Ishi kama Penseli ili uwe mtu bora

Ishi kama Penseli ili uwe mtu bora

Muumbaji wa penseli alipomaliza kuiumba penseli yake aliiambia mambo muhimu ya kuzingatia ili iwe... Read More

Maana ya Zaka, Sababu za Kutoa Zaka na Faida zake kulingana na Mafundisho ya Kikatoliki, Katekisimu, na Biblia

Maana ya Zaka, Sababu za Kutoa Zaka na Faida zake kulingana na Mafundisho ya Kikatoliki, Katekisimu, na Biblia