Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wako Mtakatifu, tunaomba pia kwa matumaini usimamizi wako. Kwa ajili ya mapendo uliyompenda nayo Bikira Mtakatifu, Mzazi wa Mungu, na kwa ajili ya tunza ya Baba, uliyomtunza nayo Mtoto Yesu, tunakuomba sana, utuangalie kwa wema, sisi tuliokuwa fungu lake Yesu Kristo, tuliokombolewa kwa damu yake, utusimamie katika masumbuko yetu, kwa enzi na shime yako.
Ee Mlinzi amini wa Jamaa Takatifu, uwakinge watoto wateule wa Yesu Kristo, ee Baba uliyetupenda mno, utuepusha na kilema chochote cha madanganyo na upotevu. Ee kinga yetu mwezaji,utusimamie huko juu mbinguni ulipo, tunaposhindana na wenye nguvu wakaao gizani. Kama vile siku za kale ukamwokoa Mtoto Yesu katika hatari ya kuuawa, na leo hivi, ulikinge Kanisa Takatifu la Mungu katika mitego ya adui, na katika shida yote, mtunze daima kila mmoja wetu, tupate mfano wako, tusaidie kwa msaada wako, kukaa na utakatifu maisha, kufa kifo chema, na kupokelewa mbinguni makao ya raha milele. Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Bernard Oduor (Guest) on September 17, 2017

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Wilson Ombati (Guest) on June 18, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Lydia Wanyama (Guest) on April 20, 2017

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Lucy Mushi (Guest) on April 1, 2017

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

George Tenga (Guest) on March 16, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Betty Kimaro (Guest) on March 15, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Joyce Nkya (Guest) on March 8, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lucy Wangui (Guest) on January 24, 2017

Rehema zake hudumu milele

Andrew Odhiambo (Guest) on January 2, 2017

Amina

James Malima (Guest) on December 30, 2016

Endelea kuwa na imani!

Diana Mallya (Guest) on November 26, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Anna Malela (Guest) on November 7, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Victor Sokoine (Guest) on November 2, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Violet Mumo (Guest) on October 14, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 9, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Victor Mwalimu (Guest) on May 30, 2016

Sifa kwa Bwana!

Janet Wambura (Guest) on April 16, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

David Ochieng (Guest) on March 18, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Rose Amukowa (Guest) on December 10, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Edward Lowassa (Guest) on December 7, 2015

Mungu akubariki!

Alice Mwikali (Guest) on November 8, 2015

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 14, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Victor Kimario (Guest) on July 29, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Related Posts

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles