Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kuweka nia njema

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo neno tendo lote, Namtolea Mungu pote, Roho, mwili chote changu, pendo na uzima wangu, Mungu wangu nitampenda, Wala dhambi sitatenda, Jina lako nasifia, Utakalo hutimia, Kwa utii navumilia, Teso na matata pia, Nipe Bwana neema zako, Niongezee sifa yako, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

David Nyerere (Guest) on July 23, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Elizabeth Malima (Guest) on July 20, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Alex Nyamweya (Guest) on July 10, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Diana Mallya (Guest) on February 6, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Patrick Akech (Guest) on February 4, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Nancy Kawawa (Guest) on January 6, 2017

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Mary Mrope (Guest) on December 3, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Wilson Ombati (Guest) on October 9, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Jane Muthoni (Guest) on September 2, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Anna Sumari (Guest) on August 21, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Faith Kariuki (Guest) on May 16, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Hellen Nduta (Guest) on February 1, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Esther Cheruiyot (Guest) on December 22, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Hellen Nduta (Guest) on December 21, 2015

Rehema hushinda hukumu

Jane Muthui (Guest) on December 11, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Victor Kimario (Guest) on November 12, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Stephen Amollo (Guest) on October 12, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Samson Mahiga (Guest) on October 2, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Daniel Obura (Guest) on September 8, 2015

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Jane Malecela (Guest) on August 18, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Victor Kimario (Guest) on June 12, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Peter Otieno (Guest) on April 27, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Michael Mboya (Guest) on April 6, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Related Posts

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles