Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala fupi ya Asubuhi

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina.

Ee Utatu Mtakatifu wa Mwenyezi Mungu, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, nasadiki kuwa upo hapa na mahali pote. Ee Mungu wangu, umeniumba, umenikomboa, umenifanya mkristo, umenizidishia neema zako hapa duniani, umenitayarishia makao yangu mbinguni, umenijalia na siku hii nikutumikie. Ee Mungu wangu! Nakuabudu, nakushukuru, nakuomba toba, nakupenda! Ee Mungu wangu, nakutolea roho yangu, na mawazo, na maneno, na kazi, na furaha, na mateso yangu: uyapokee unipe neema yako nisikutende leo dhambi!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Agnes Njeri (Guest) on February 25, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Irene Makena (Guest) on December 11, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

James Mduma (Guest) on November 20, 2017

Amina

Mary Kidata (Guest) on June 2, 2017

Mungu akubariki!

Janet Sumaye (Guest) on May 31, 2017

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Patrick Mutua (Guest) on March 12, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Paul Ndomba (Guest) on March 10, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Chris Okello (Guest) on December 27, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Faith Kariuki (Guest) on December 13, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Frank Sokoine (Guest) on October 9, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Samuel Omondi (Guest) on June 26, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Henry Sokoine (Guest) on March 27, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Agnes Njeri (Guest) on March 24, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

David Musyoka (Guest) on February 2, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Mary Njeri (Guest) on January 17, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Carol Nyakio (Guest) on November 28, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Jacob Kiplangat (Guest) on November 18, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

Edwin Ndambuki (Guest) on November 11, 2015

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Mary Kendi (Guest) on October 4, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

David Sokoine (Guest) on October 3, 2015

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Diana Mallya (Guest) on August 2, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Chris Okello (Guest) on July 13, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Irene Akoth (Guest) on May 16, 2015

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Related Posts

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About