Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA MATUMAINI

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na utukufu mbinguni,

kwani ndiwe uliyeagana hayo nasi,

nawe mwamini. Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Mahiga (Guest) on August 24, 2017

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Joyce Mussa (Guest) on June 19, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Violet Mumo (Guest) on March 8, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Mary Sokoine (Guest) on March 1, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Faith Kariuki (Guest) on February 19, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

David Musyoka (Guest) on February 10, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Esther Nyambura (Guest) on December 1, 2016

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Joseph Kiwanga (Guest) on November 30, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Andrew Mchome (Guest) on October 10, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Peter Tibaijuka (Guest) on June 7, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Sarah Achieng (Guest) on June 3, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Mariam Kawawa (Guest) on May 18, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

David Ochieng (Guest) on April 28, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Lydia Wanyama (Guest) on February 21, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

John Lissu (Guest) on February 14, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Moses Kipkemboi (Guest) on December 21, 2015

Neema na amani iwe nawe.

Francis Njeru (Guest) on December 16, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Jacob Kiplangat (Guest) on October 31, 2015

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Victor Kamau (Guest) on September 11, 2015

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

John Lissu (Guest) on June 24, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Alice Wanjiru (Guest) on May 31, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

George Mallya (Guest) on May 24, 2015

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Joseph Kawawa (Guest) on May 8, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Related Posts

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About