Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Malkia wa Mbingu

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, Aleluya. Utuombee kwa Mungu, Aleluya. Furahi shangilia, ee Bikira Maria, Alaluya. Kwani hakika Bwana amefufuka Aleluya. Tuombe. Ee Mungu, uliyependa kuifurahisha dunia kwa kufufuka kwake Bwana wetu Yesu Kristu, Mwanao: fanyiza, twakuomba, kwa ajili ya Bikira Maria, tupate nasi furaha za uzima wa milele. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

David Ochieng (Guest) on June 28, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Victor Kamau (Guest) on May 16, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Grace Njuguna (Guest) on May 10, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Samson Tibaijuka (Guest) on January 28, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Nora Kidata (Guest) on October 28, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Agnes Sumaye (Guest) on September 2, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

David Kawawa (Guest) on May 28, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Catherine Naliaka (Guest) on April 29, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Henry Mollel (Guest) on April 15, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Benjamin Masanja (Guest) on April 8, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Betty Akinyi (Guest) on March 25, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Alice Mwikali (Guest) on March 11, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

David Chacha (Guest) on February 6, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Ruth Mtangi (Guest) on December 19, 2015

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Elizabeth Mrope (Guest) on December 11, 2015

Dumu katika Bwana.

Wilson Ombati (Guest) on November 23, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Alice Mwikali (Guest) on October 24, 2015

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Emily Chepngeno (Guest) on September 16, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Susan Wangari (Guest) on September 10, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Monica Lissu (Guest) on August 27, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lydia Mutheu (Guest) on August 24, 2015

Mungu akubariki!

Margaret Mahiga (Guest) on July 30, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

David Sokoine (Guest) on April 15, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Related Posts

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles