Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala ya Saa Tisa

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. A mina

Yesu, ulikufa, lakini chanzo cha uhai kilitoka kwa ajili ya watu, na bahari ya huruma ilifunguka kwa ajili ya ulimwengu mzima. Ee chemchemi ya Uhai, huruma ya Mungu isiyo na mwisho, ikafunika ulimwengu mzima na ukajimwaga mwenyewe juu yetu.

❣✝❣

✝Ee Damu na Maji, yaliyotoka moyoni mwa Yesu kama chemchemi ya Huruma kwetu. Nakutumainia.

(Mara tatu)

πŸ›β£πŸ›

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Malela (Guest) on September 29, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Brian Karanja (Guest) on August 7, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

John Malisa (Guest) on July 11, 2017

Rehema hushinda hukumu

Lucy Mushi (Guest) on March 14, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Lucy Kimotho (Guest) on February 15, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

John Lissu (Guest) on January 17, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Andrew Odhiambo (Guest) on December 20, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Carol Nyakio (Guest) on December 18, 2016

Amina

Christopher Oloo (Guest) on September 29, 2016

Sifa kwa Bwana!

Thomas Mtaki (Guest) on September 20, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Monica Adhiambo (Guest) on September 3, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Charles Mboje (Guest) on August 12, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Henry Mollel (Guest) on April 28, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Janet Wambura (Guest) on April 26, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Wilson Ombati (Guest) on April 14, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

John Mushi (Guest) on October 10, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Thomas Mtaki (Guest) on September 2, 2015

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Charles Mrope (Guest) on August 25, 2015

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Anna Mchome (Guest) on August 9, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Stephen Mushi (Guest) on June 8, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 7, 2015

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Wilson Ombati (Guest) on May 29, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Peter Mugendi (Guest) on May 28, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Related Posts

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About