Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.

Cheka kidogo

Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.

Mlizi mbio mbio

Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.

13, 13…

Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,….. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14……

WATAALAM

Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.

Ya leo mgonjwa

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

4WD

Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"

Ajali ilivyotokea

Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"

Faini ya kukojoa

Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tena…

Mume anaenda kazini

Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kazini…

Hasira za mtoto

Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.

Mgonjwa na Dokta

Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.

Pilau la bachela

Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.

Mwizi na chizi

Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.

Chemsha bongo

Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 280

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ George Mallya Guest Nov 4, 2018
Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚
πŸ‘₯ Emily Chepngeno Guest Oct 10, 2018
Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Nancy Komba Guest Sep 23, 2018
πŸ˜† Naihifadhi hii!
πŸ‘₯ Mary Kendi Guest Sep 12, 2018
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†
πŸ‘₯ David Nyerere Guest Sep 4, 2018
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Aug 27, 2018
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…
πŸ‘₯ Joyce Mussa Guest Aug 24, 2018
🀣 Ujuzi wa hali ya juu!
πŸ‘₯ Violet Mumo Guest Aug 7, 2018
Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣
πŸ‘₯ Miriam Mchome Guest Jul 23, 2018
Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest Jul 12, 2018
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘
πŸ‘₯ Charles Mboje Guest Jun 23, 2018
πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†
πŸ‘₯ Sarah Achieng Guest Jun 20, 2018
πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!
πŸ‘₯ Sarah Achieng Guest Jun 13, 2018
Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘
πŸ‘₯ Abdillah Guest May 27, 2018
πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!
πŸ‘₯ Charles Mrope Guest May 24, 2018
Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest May 14, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£
πŸ‘₯ John Malisa Guest May 3, 2018
Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Apr 27, 2018
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣
πŸ‘₯ Joseph Kitine Guest Apr 24, 2018
Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†
πŸ‘₯ Charles Wafula Guest Apr 8, 2018
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†
πŸ‘₯ Miriam Mchome Guest Mar 26, 2018
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°
πŸ‘₯ Wande Guest Mar 16, 2018
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„
πŸ‘₯ Sharon Kibiru Guest Jan 25, 2018
Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Jan 19, 2018
Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„
πŸ‘₯ Mjaka Guest Jan 9, 2018
πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!
πŸ‘₯ Ann Awino Guest Dec 29, 2017
😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!
πŸ‘₯ Agnes Lowassa Guest Oct 24, 2017
πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘₯ Anna Mchome Guest Oct 5, 2017
Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚
πŸ‘₯ George Tenga Guest Sep 18, 2017
🀣 Sikutarajia hiyo!
πŸ‘₯ Mercy Atieno Guest Sep 9, 2017
πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
πŸ‘₯ Leila Guest Sep 6, 2017
πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!
πŸ‘₯ Michael Mboya Guest Sep 4, 2017
πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!
πŸ‘₯ Mazrui Guest Aug 26, 2017
🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Aug 25, 2017
Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Aug 24, 2017
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯
πŸ‘₯ Alice Jebet Guest Jul 26, 2017
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁
πŸ‘₯ Samson Tibaijuka Guest Jul 23, 2017
πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚
πŸ‘₯ Esther Cheruiyot Guest Jul 5, 2017
πŸ˜… Nilihitaji hii!
πŸ‘₯ Josephine Nduta Guest Jun 13, 2017
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣
πŸ‘₯ Alex Nyamweya Guest Jun 4, 2017
πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„
πŸ‘₯ Victor Kimario Guest May 27, 2017
Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ‘₯ Esther Cheruiyot Guest May 12, 2017
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
πŸ‘₯ Jackson Makori Guest May 11, 2017
πŸ˜‚ Hii ni kali sana!
πŸ‘₯ Charles Mrope Guest May 8, 2017
πŸ˜… Bado ninacheka!
πŸ‘₯ Janet Sumaye Guest Apr 23, 2017
πŸ˜‚πŸ˜†
πŸ‘₯ Irene Akoth Guest Mar 25, 2017
πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
πŸ‘₯ Nancy Kabura Guest Mar 20, 2017
πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Jan 24, 2017
🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
πŸ‘₯ Kijakazi Guest Dec 22, 2016
Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁
πŸ‘₯ Hellen Nduta Guest Dec 18, 2016
πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚
πŸ‘₯ Dorothy Mwakalindile Guest Dec 12, 2016
πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Dec 11, 2016
Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ
πŸ‘₯ Esther Cheruiyot Guest Oct 23, 2016
Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ‘₯ Anna Kibwana Guest Oct 6, 2016
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚
πŸ‘₯ Lydia Mahiga Guest Oct 2, 2016
πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Sep 13, 2016
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ
πŸ‘₯ Esther Nyambura Guest Sep 6, 2016
πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š
πŸ‘₯ Juma Guest Aug 30, 2016
Asante Ackyshine
πŸ‘₯ Victor Kimario Guest Aug 28, 2016
🀣πŸ”₯😊
πŸ‘₯ Frank Macha Guest Aug 14, 2016
Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About