Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Baadhi ya misemo mikali ya leo

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 244

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Jacob Kiplangat Guest Aug 13, 2015
Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Sarah Karani Guest Jun 22, 2015
πŸ˜† Nacheka hadi chini!
πŸ‘₯ Nicholas Wanjohi Guest May 24, 2015
Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚
πŸ‘₯ Andrew Mahiga Guest May 2, 2015
Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About