Je, sigara ni sumu kwa binadamu?
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Date: April 15, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Ndiyo. Nikotini iliyo kwenye tumbaku ni sumu. Ukiwa na kiwango
kikubwa cha nikotini katika damu utajisikia kichefuchefu,
kutapika, kujaa kwa mate mdomoni, maumivu ya sehemu za
chini ya tumbo, kuharisha, na kujihisi dhaifu. Dalili nyingine
ni kuumwa na kichwa, kizunguzungu, kuongezeka kwa mapigo
ya moyo, kupata shinikizo la damu, kutetemeka na kutokwa na
jasho baridi. Nikotini nyingi inaweza kusababisha ukosefu wa
umakini na pia ukosefu wa usingizi.
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Jinsi ya Kuzungumza na Mwenzi Wako kuhusu Matumizi ya Kinga (Condom) ππΊ
Karibu kweny...
Read More
Kwa ujumla dawa zote za kulevya zinaweza kuwa ni za hatari. Kati ya dawa zilizohalalishwa kisheri...
Read More
Watu ambao wanaonekana tofauti na wengine (ama kwa misingi
ya kabila, rangi, dini, kimo au h...
Read More
Nifanyeje Kuelewa Umuhimu wa Kujikinga na Maambukizi ya UKIMWI? π
Leo, tutaangazia umuh...
Read More
Ndiyo, hii i ii inawezekana. Lakini ujue kwamba watu wanaotumia dawa za kulevya huwa dhaifu kisai...
Read More
Jinsi ya Kuonyesha Utambulisho Wako kwa Msichana
Kuonyesha utambulisho wako kwa msichana n...
Read More
Hivi karibuni, wanaume wengi wamekuwa wakikosa jinsi ya kuonyesha shukrani kwa msichana wao. Hata...
Read More
Zipo aina mbili za mapacha, wale wanaofanana na wale wasiofanana. Karibu robo ya mapacha wote hufana...
Read More
Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Kufadhaika na Utendaji wa Ngono ππ‘οΈ
Karibu kijana...
Read More
Je, ni muhimu kujadili mipaka na dhibitisho wakati wa ngono/kufanya mapenzi? Ndio, ni muhimu sana...
Read More
-
Anza kwa kujenga urafiki mzuri
Kabla ya kuwa na uhusiano wa kimapenzi, ni muhimu kujeng...
Read More
Watu wenye ualbino hawana uwezo kabisa au wana uwezo mdogo
wa kuwa na rangi kwenye ngozi zao, nywele...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!