Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Madhara yatokanayo na ukeketaji

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Ukeketaji au tohara ya wanawake ni hatari sana kwa msichana anayetahiriwa. Wasichana hufa kutokana na madhara yake makubwa zaidi kwa vile:
  • Hutokwa na damu nyingi.
  • Uambukizo unatokea iwapo vifaa vilivyotumiwa
  • havikuwa safi. Uambukizo unaweza kuenea mpaka katika
viungo vya ndani vya uzazi na kusababisha ugumba na hata vifo.
  • Hatari ya kuambukizwa Virusi vya UKIMWI wakati wa
ukeketaji.
  • Kuziba kwa mkojo na damu ya mwezi (hedhi) ndani ya
mwili wa mwanamke na kusababisha uambukizo.
  • Matatizo na maumivu makali wakati wa kujamiiana na
wakati wa kujifungua kutokana na kupungua ukubwa wa uke. Ukeketaji wa wanawake mara nyingi una madhara ya kisaikologia ambapo wasichana hupoteza tumaini na imani kwa walezi au wazazi na wanaweza wakapata mateso ya kujisikia waoga, kufadhaika, kutojiweza na kutokuwa kamilifu kimwili. Zaidi ya hayo, ukeketaji unampunguzia mwanamke hamu ya kujamiiana. Kufanikisha hamu ya ngono inategemea kwa kiasi kikubwa viungo vya uzazi vya nje. Ukeketaji hata hivyo unaharibu umbile na kazi za viungo vya uzazi vya nje vya mwanamke. Ina madhara kimwili na kisaikologia ambapo mara nyingi huleta matatizo ya mahusiano ya kimwili kati ya mwanamume na mwanamke. Kisimi ni sehemu ya mwili wa msichana chenye ashiki na hisia kali ya viungo vya uzazi. Kinasisimua ashiki kwa mwanamke anaposhikwa. Sehemu ya ndani ya mashavu na kisimi kwa kiasi kikubwa vinahusika na hali kiwango cha raha ya na kufikia mshindo wakati wa kujamiiana. Wakati kisimi na viungo vingine vya uzazi vimeondolewa, ashiki na raha hupungua kwa kiasi kikubwa. Endapo mwanamke amekatwa vibaya sana au uke umeshonwa, kuna uwezekano wa kupata maumivu na matatizo wakati wa kujamiiana na wa kujifungua.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, ni muhimu kwa washiriki wote kufikia kilele wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni muhimu kwa washiriki wote kufikia kilele wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni muhimu kwa washiriki wote kufikia kilele wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Wakati wa... Read More

Je,mwanaume akitoa uume nje ya uke kabla ya kumwaga shahawa anaweza kuambukizwa yeye au mwanamke na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Je,mwanaume akitoa uume nje ya uke kabla ya kumwaga shahawa anaweza kuambukizwa yeye au mwanamke na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Ndiyo, hata akitoa uume nje ya uke kabla ya kumwaga mbegu anaweza akaambukizwa Virusi vya UKIMWI... Read More

Kuna fikra kuwa Albino ni watu wa kawaida je, kisayansi hii ni kweli?

Kuna fikra kuwa Albino ni watu wa kawaida je, kisayansi hii ni kweli?

Hii ni kweli kabisa. Watu wanaoishi na ualbino ni watu wa
kawaida kama binadamu wengine wote... Read More

Je, Ni Vipi Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa?

Je, Ni Vipi Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa?

Je, Ni Vipi Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa? ๐Ÿ˜Šโœจ

Karibu rafiki yangu!... Read More

Njia za Kuzuia Mimba

Njia za Kuzuia Mimba

Njia za uzazi wa mpango zinatofautiana sana na zinaweza kugawanywa katika makundi mengi:

Vizuizi... Read More

Jinsi ya kutumia kondomu ya kike

Jinsi ya kutumia kondomu ya kike

Kondomu ya kike inafahamika kwa jina la โ€žcareโ€œ na โ€œLady Petetaโ€. Hapa Tanzania hazipatika... Read More

Jinsi ya Kukabiliana na Hali ya Kujihisi Kukataliwa kuhusu Ngono

Jinsi ya Kukabiliana na Hali ya Kujihisi Kukataliwa kuhusu Ngono

Jinsi ya Kukabiliana na Hali ya Kujihisi Kukataliwa kuhusu Ngono ๐ŸŒŸ

Karibu kwenye makala... Read More

Magonjwa ya zinaa yanavyoenea

Magonjwa ya zinaa yanavyoenea

Magonjwa ya zinaa husababishwa na vijidudu vya magonjwa na huambukizwa kwa kukutana kimwili na mt... Read More

Je, mwanamke anajisikiaje akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au aliye โ€œpekuโ€?

Je, mwanamke anajisikiaje akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au aliye โ€œpekuโ€?

Hatuwezi kusema mwanamke husikia raha gani akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au na mwanaum... Read More

Ni umri gani ambapo vijana wanapaswa kuelezwa juu ya afya ya uzazi na njia za uzazi wa mpango?

Ni umri gani ambapo vijana wanapaswa kuelezwa juu ya afya ya uzazi na njia za uzazi wa mpango?

Vijana balehe wote wana haki ya kupata habari juu ya mambo yote
wanayoyapenda. Watoto wanavy... Read More

Je, kuna jukumu la kijamii katika maoni ya watu kuhusu ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna jukumu la kijamii katika maoni ya watu kuhusu ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna jukumu la kijamii katika maoni ya watu kuhusu ngono/kufanya mapenzi? Jibu ni ndiyo, kuna... Read More

Hatua gani zichukuliwe dhidi ya wanaowakeketa au kuwachezea unyago Albino juani?

Hatua gani zichukuliwe dhidi ya wanaowakeketa au kuwachezea unyago Albino juani?

Swali hili linaonyesha mambo mawili ambayo ni mabaya. Jambo
la kwanza ni ukeketaji ambao ni ... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles | โœ๐Ÿป Re-Write Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About