Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Jinsi ya kumfanya mpenzi au rafiki yako asiwe na mwingine

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Jambo la muhimu ni kuwasiliana kwa karibu i ili kuelewa mawazo na matatizo ya rafiki yako. Hakikisha unakuwa muwazi na mkweli. Mkielewana vizuri mnaweza kufurahia mazungumzo yenu vizuri. Vilevile mnaweza kusaidiana katika kutatua matatizo yanayoweza kumkabili mmoja wenu. Kwa kufanya hivyo mtajenga moyo wa kuaminiana.

Ili kudumisha urafiki wenu unashauriwa kuonyesha upendo wa hali ya juu. Jitahidi usiwe na marafiki wengine na mthibitishie kwamba yeye pekee ndiye unayempenda na uko mwaminifu kwake.

Utamfahamu vizuri rafiki yako iwapo mtazungumza mara kwa mara juu ya maisha yenu. Kwa mfano mnaweza kuzungumzia mipango ya uhusiano wenu, vitu anavyopendelea kufanya baada ya saa za kazi au masomo, watu anaowasiliana na kuandikiana nao. Iwapo mawasiliano yenu yatakuwa mazuri na iwapo utachunguza uhusiano wake na watu wengine utahisi kama kweli mnaaminiana.

Hata hivyo, iwapo hutaweza kumwamini rafiki yako na kama unahisi kwamba hata yeye hakuamini, jiulize kwamba kwa nini iwe hivyo. Je, inawezekana huyu mtu hanifai? Au, inaweza kuwa mapenzi yako ni kidogo kiasi ambacho siwezi kuzuia vishawishi vingine?

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, watu wanamaaoni gani katika kuelewa na kuheshimu tofauti za kijinsia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanamaaoni gani katika kuelewa na kuheshimu tofauti za kijinsia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Kuheshimu tofauti za kijinsia wakati wa ngono/kufanya mapenzi ni jambo muhimu sana. Kila mtu anap... Read More

Ninawezaje kumsaidia mtu kuacha kuvuta sigara na kunywa pombe?

Ninawezaje kumsaidia mtu kuacha kuvuta sigara na kunywa pombe?

Jaribu kutafuta sababu zinazowafanya rafiki, ndugu na jamaa
zako kuwa na tabia ya kuvuta sig... Read More

Je, mvulana anaweza akafikia mshindo kwa njia ya kusugua uume na vidole na kuna madhara gani ukisugua uume na vidole?

Je, mvulana anaweza akafikia mshindo kwa njia ya kusugua uume na vidole na kuna madhara gani ukisugua uume na vidole?

Ndiyo, mvulana anaweza akafikia mshindo kwa njia ya kusugua uume na vidole. Anaposuguliwa uume na... Read More

Nani anavalisha kondomu ya kiume, je ni mwanamke au mwanaume?

Nani anavalisha kondomu ya kiume, je ni mwanamke au mwanaume?

Katika kufanya mapenzi iwe mwanaume anayeweka kondomu uumeni au iwe mwanamke anayeshugulika kuwek... Read More

Umri unaofaa kuoa

Umri unaofaa kuoa

Kuoana maana yake ni kuwajibika kwa maisha yako na mke au mume wako. Mara nyingi kuoana kunaambatana... Read More
Mahusiano ya kimapenzi kati ya msichana mwenye umri mdogo na watu wazima

Mahusiano ya kimapenzi kati ya msichana mwenye umri mdogo na watu wazima

Inawezekana kwa msichana mdogo kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwenye umri mkubwa. Hata... Read More

Je, Ni Vipi naweza Kupata Msaada au Elimu kuhusu Ngono?

Je, Ni Vipi naweza Kupata Msaada au Elimu kuhusu Ngono?

Je, ni vipi naweza kupata msaada au elimu kuhusu ngono? πŸ€”πŸ“š

Wewe kama kijana mzuri na... Read More

Je, watu wanaamini nini katika kuongeza mchezo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanaamini nini katika kuongeza mchezo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanaamini nini katika kuongeza mchezo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi? Kufanya ... Read More

Madhara ya dawa za kulevya kwa mwili na ubongo

Madhara ya dawa za kulevya kwa mwili na ubongo

Moja kati ya vitu vinavyotisha kuhusu dawa za kulevya ni kwamba zinaathiri watu kwa njia mbalimbali ... Read More
Je, ni madhara gani atapata mama mjamzito endapo atajamiiana na mwenzi wake?

Je, ni madhara gani atapata mama mjamzito endapo atajamiiana na mwenzi wake?

Kama kati ya mwanamke na mwanaume hakuna mwenye magonjwa ya zinaa, hakuna madhara yoyote kwa mwan... Read More

Nini kifanyike ili kurekebisha matatizo ya macho ya Albino?

Nini kifanyike ili kurekebisha matatizo ya macho ya Albino?

Kuishi kwa kushindwa kuona sawasawa ni changamoto ya
msingi waliyonayo Albino, inaathiri eli... Read More

Njia za Kumshtua Msichana kwa Tarehe ya Kwanza

Njia za Kumshtua Msichana kwa Tarehe ya Kwanza

Hakuna kitu kizuri kama kukutana na msichana unayempenda kwa tarehe ya kwanza. Lakini, unapotaman... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About