Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wako Mtakatifu, tunaomba pia kwa matumaini usimamizi wako. Kwa ajili ya mapendo uliyompenda nayo Bikira Mtakatifu, Mzazi wa Mungu, na kwa ajili ya tunza ya Baba, uliyomtunza nayo Mtoto Yesu, tunakuomba sana, utuangalie kwa wema, sisi tuliokuwa fungu lake Yesu Kristo, tuliokombolewa kwa damu yake, utusimamie katika masumbuko yetu, kwa enzi na shime yako.
Ee Mlinzi amini wa Jamaa Takatifu, uwakinge watoto wateule wa Yesu Kristo, ee Baba uliyetupenda mno, utuepusha na kilema chochote cha madanganyo na upotevu. Ee kinga yetu mwezaji,utusimamie huko juu mbinguni ulipo, tunaposhindana na wenye nguvu wakaao gizani. Kama vile siku za kale ukamwokoa Mtoto Yesu katika hatari ya kuuawa, na leo hivi, ulikinge Kanisa Takatifu la Mungu katika mitego ya adui, na katika shida yote, mtunze daima kila mmoja wetu, tupate mfano wako, tusaidie kwa msaada wako, kukaa na utakatifu maisha, kufa kifo chema, na kupokelewa mbinguni makao ya raha milele. Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lucy Mahiga (Guest) on June 25, 2024

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Richard Mulwa (Guest) on June 22, 2024

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Joseph Njoroge (Guest) on May 28, 2024

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Monica Nyalandu (Guest) on March 22, 2024

Neema na amani iwe nawe.

Charles Mboje (Guest) on January 26, 2024

Katika imani, yote yanawezekana

Peter Mwambui (Guest) on January 20, 2024

Rehema hushinda hukumu

Elizabeth Malima (Guest) on December 4, 2023

Nguvu hutoka kwa Bwana

Robert Okello (Guest) on November 8, 2023

Mungu ni mwema, wakati wote!

Lucy Wangui (Guest) on March 24, 2023

Tumaini ni nanga ya roho

Thomas Mtaki (Guest) on February 19, 2023

Baraka kwako na familia yako.

James Malima (Guest) on January 19, 2023

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Margaret Mahiga (Guest) on November 9, 2022

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

George Mallya (Guest) on September 6, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Rose Lowassa (Guest) on September 6, 2022

Mwamini Bwana; anajua njia

Ruth Wanjiku (Guest) on March 14, 2022

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Victor Kamau (Guest) on February 18, 2022

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Raphael Okoth (Guest) on February 13, 2022

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Stephen Kikwete (Guest) on February 2, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Anna Mahiga (Guest) on January 9, 2022

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Benjamin Masanja (Guest) on November 21, 2021

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Emily Chepngeno (Guest) on October 31, 2021

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Edward Lowassa (Guest) on August 14, 2021

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Edith Cherotich (Guest) on July 25, 2021

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Susan Wangari (Guest) on May 22, 2021

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Joseph Mallya (Guest) on May 17, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Joseph Kiwanga (Guest) on April 23, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Thomas Mtaki (Guest) on April 13, 2021

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Lucy Mushi (Guest) on March 29, 2021

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Peter Tibaijuka (Guest) on March 3, 2021

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 6, 2021

Neema ya Mungu inatosha kwako

Moses Mwita (Guest) on November 26, 2020

Nakuombea πŸ™

Samson Tibaijuka (Guest) on November 19, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Benjamin Kibicho (Guest) on October 13, 2020

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Samson Mahiga (Guest) on September 22, 2020

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Mary Njeri (Guest) on September 1, 2020

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Edward Lowassa (Guest) on June 20, 2020

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Francis Njeru (Guest) on April 11, 2020

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Carol Nyakio (Guest) on January 11, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Michael Onyango (Guest) on December 21, 2019

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Violet Mumo (Guest) on October 27, 2019

Mwamini katika mpango wake.

Mary Kendi (Guest) on October 26, 2019

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Monica Nyalandu (Guest) on May 11, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

David Musyoka (Guest) on May 9, 2019

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Alice Mwikali (Guest) on April 22, 2019

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Paul Kamau (Guest) on January 20, 2019

πŸ™πŸ™πŸ™

Richard Mulwa (Guest) on January 18, 2019

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Violet Mumo (Guest) on January 18, 2019

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Joyce Mussa (Guest) on December 10, 2018

Imani inaweza kusogeza milima

Alex Nyamweya (Guest) on October 4, 2018

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Stephen Mushi (Guest) on August 4, 2018

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Victor Mwalimu (Guest) on July 27, 2018

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Anna Malela (Guest) on July 15, 2018

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Carol Nyakio (Guest) on July 15, 2018

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Elizabeth Mrema (Guest) on June 29, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

John Kamande (Guest) on March 30, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Susan Wangari (Guest) on March 23, 2018

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

James Mduma (Guest) on March 14, 2018

Dumu katika Bwana.

Jane Muthoni (Guest) on February 6, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Patrick Akech (Guest) on December 3, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Elijah Mutua (Guest) on September 20, 2017

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Related Posts

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)