Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ

MALAIKA WA MUNGU

โ€ข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Hapo Mwanzo Mungu aliumba Malaika katika hali ya njema na Heri kubwa. Kisha aliumba mbingu na nchi, na viumbe vyote vinavyoonekana na visivyoonekena. (Kol, 1;16, Mwa, 1;31)
Malaika ni viumbe vilivyo Roho tuu vyenye akili na utashi. (Zab 91:11, Ebr 1:7, Uf, 12:7-9).
Malaika wengine walikosa kwa kumkaidi Mungu, wakatupwa motoni na ndio Mashetani ambao Mkubwa wao ni Lusiferi. (Yn, 8:44: Uf 12:7-9,).
Mungu aliumba Malaika ili Wamtukuze, Wafurahi nae Mbinguni na wawe Matarishi/wajumbe wake kwa Wanadamu. (Tob 12:12, Lk. 16:22).
Malaika wema kazi yao ni kutuombea, kutumwa na Mungu kwetu, na wanatulinda kama Malaika walinzi. (Ebr, 13:2). Ambapo kila Mwanadamu ana Malaika wake wa kumlinda na kumuongoza Roho na Mwili, ndie Malaika wake mlinzi, (Zab, 91:11, Mt. 18:10).
Malaika wote sio sawa, wapo Malaika Wakuu, Malaika wanaomtumikia Mungu Mbinguni kwa mfano Makerubi na Maserafi, na pia wapo Malaika walinzi.
Malaika wakuu ni Mikaeli, Gabrieli na Raphaeli (Dn, 10:13, Tobiti 12:15, Lk 1:26).
Mashetani kazi yao ni kuteswa Motoni na hutaka kudhuru Roho na Miili ya wanadamuna kutupoteza milele. (1 Petro, 5:8, Yoh, 8:44).
AckySHINE Solutions
โœจ Join AckySHINE for more features! โœจ

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
๐Ÿ‘ฅ Violet Mumo Guest Jul 16, 2024
Neema ya Mungu inatosha kwako
๐Ÿ‘ฅ Rose Waithera Guest Jun 25, 2024
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐Ÿ‘ฅ Martin Otieno Guest Feb 8, 2024
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐Ÿ‘ฅ Frank Sokoine Guest Dec 29, 2023
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐Ÿ‘ฅ David Chacha Guest Sep 15, 2023
Tumaini ni nanga ya roho
๐Ÿ‘ฅ Stephen Amollo Guest Aug 2, 2023
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
๐Ÿ‘ฅ Victor Kimario Guest Jul 25, 2023
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐Ÿ‘ฅ Christopher Oloo Guest May 29, 2023
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
๐Ÿ‘ฅ Joseph Njoroge Guest May 6, 2023
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
๐Ÿ‘ฅ Mary Njeri Guest Apr 16, 2023
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
๐Ÿ‘ฅ Edwin Ndambuki Guest Mar 13, 2023
Tembea kwa imani, si kwa kuona
๐Ÿ‘ฅ Anna Sumari Guest Oct 26, 2022
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
๐Ÿ‘ฅ Raphael Okoth Guest May 29, 2022
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐Ÿ‘ฅ Henry Sokoine Guest Apr 15, 2022
Nakuombea ๐Ÿ™
๐Ÿ‘ฅ Martin Otieno Guest Mar 1, 2022
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐Ÿ‘ฅ Diana Mallya Guest Feb 16, 2022
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
๐Ÿ‘ฅ Lydia Mutheu Guest Jan 21, 2022
Dumu katika Bwana.
๐Ÿ‘ฅ Stephen Mushi Guest Nov 27, 2021
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Stephen Malecela Guest Sep 23, 2021
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
๐Ÿ‘ฅ Peter Mbise Guest Aug 29, 2021
Baraka kwako na familia yako.
๐Ÿ‘ฅ Lydia Mutheu Guest Jul 25, 2021
Sifa kwa Bwana!
๐Ÿ‘ฅ Andrew Odhiambo Guest Jul 17, 2021
Endelea kuwa na imani!
๐Ÿ‘ฅ Francis Mrope Guest Mar 21, 2021
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
๐Ÿ‘ฅ Nancy Akumu Guest Oct 24, 2020
Neema na amani iwe nawe.
๐Ÿ‘ฅ Benjamin Kibicho Guest Aug 30, 2020
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
๐Ÿ‘ฅ Thomas Mtaki Guest Aug 26, 2020
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐Ÿ‘ฅ Paul Ndomba Guest Aug 2, 2020
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐Ÿ‘ฅ Rose Kiwanga Guest Jul 21, 2020
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
๐Ÿ‘ฅ Patrick Akech Guest Feb 1, 2020
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
๐Ÿ‘ฅ Susan Wangari Guest Nov 21, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ John Mushi Guest Nov 11, 2019
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
๐Ÿ‘ฅ Fredrick Mutiso Guest Sep 27, 2019
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
๐Ÿ‘ฅ Patrick Mutua Guest May 25, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Peter Mwambui Guest Mar 10, 2019
Mwamini katika mpango wake.
๐Ÿ‘ฅ Martin Otieno Guest Dec 20, 2018
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
๐Ÿ‘ฅ Emily Chepngeno Guest Sep 21, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
๐Ÿ‘ฅ Dorothy Majaliwa Guest Aug 16, 2018
Katika imani, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Isaac Kiptoo Guest Mar 20, 2018
Wakati wa Mungu ni kamilifu
๐Ÿ‘ฅ Mariam Hassan Guest Sep 23, 2017
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
๐Ÿ‘ฅ George Wanjala Guest Jul 9, 2017
Mungu ni mwema, wakati wote!
๐Ÿ‘ฅ David Kawawa Guest Feb 23, 2017
Imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Joseph Kiwanga Guest Jan 16, 2017
Mungu akubariki!
๐Ÿ‘ฅ Mary Njeri Guest Dec 17, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
๐Ÿ‘ฅ Thomas Mtaki Guest Nov 6, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐Ÿ‘ฅ Emily Chepngeno Guest Sep 12, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
๐Ÿ‘ฅ Victor Kamau Guest May 21, 2016
Rehema zake hudumu milele
๐Ÿ‘ฅ Peter Mwambui Guest Jan 15, 2016
Kwa Mungu, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Anna Mchome Guest Dec 2, 2015
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
๐Ÿ‘ฅ Dorothy Nkya Guest Oct 13, 2015
Rehema hushinda hukumu
๐Ÿ‘ฅ Peter Tibaijuka Guest Jul 18, 2015
Mwamini Bwana; anajua njia

๐Ÿ”— Related Posts

๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About