Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ishara ya Msalaba

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Ishara ya Msalaba ni tendo la mtu kugusa panda la uso, kifua na mabega kwa kutumia mkono wa kulia na kutamka 'Kwa Jina la Baba, na la Mwana na la Roho Mtakatifu, Amina'.
Kugusa paji la uso tuna maana kukubali kwa akili, kugusa kifua maana yake ni kupokea na kuupenda msalaba moyoni na kugusa Mabega maana yake ni kuwa tayari kuubeba Msalaba kwa nguvu zetu zote.
Tunafanya njia ya Msalaba kwa nia ya kumkiri Mungu Mmoja katika Nafsi tatu. Pia Msalaba ni Ishara ya Ukombozi wetu.

Ishara ya Msalaba Juu ya Panda la uso, mdomo na kifua kabla ya injili
Hii ina maana Niko tayari kulifahamu Neno la Mungu Kwa Akili yangu, Nitalitangaza kishujaa kwa midomo yangu, na Nitalipenda na kulishika kwa Moyo wangu Wote.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Malima (Guest) on June 30, 2024

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Alex Nakitare (Guest) on June 6, 2024

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Betty Cheruiyot (Guest) on May 2, 2024

Mwamini katika mpango wake.

Edward Lowassa (Guest) on April 21, 2024

Nakuombea πŸ™

Alice Jebet (Guest) on April 1, 2024

Neema na amani iwe nawe.

Joyce Aoko (Guest) on March 26, 2024

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 24, 2024

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Margaret Mahiga (Guest) on February 20, 2024

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Andrew Odhiambo (Guest) on November 5, 2023

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Lucy Mahiga (Guest) on July 24, 2023

Dumu katika Bwana.

Ruth Mtangi (Guest) on July 7, 2023

Mungu akubariki!

Peter Mwambui (Guest) on January 28, 2023

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 28, 2022

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Lucy Wangui (Guest) on February 12, 2022

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Miriam Mchome (Guest) on November 24, 2021

Imani inaweza kusogeza milima

Betty Akinyi (Guest) on July 6, 2021

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Alice Jebet (Guest) on May 11, 2021

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Nora Kidata (Guest) on February 9, 2021

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Vincent Mwangangi (Guest) on February 5, 2021

Endelea kuwa na imani!

Rose Waithera (Guest) on January 13, 2021

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Nora Lowassa (Guest) on November 23, 2020

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Lucy Mahiga (Guest) on October 19, 2020

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Moses Kipkemboi (Guest) on August 23, 2020

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Victor Kimario (Guest) on April 29, 2020

Neema ya Mungu inatosha kwako

Peter Tibaijuka (Guest) on April 12, 2020

Sifa kwa Bwana!

Sarah Karani (Guest) on November 24, 2019

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Jane Muthui (Guest) on October 2, 2019

Rehema zake hudumu milele

Edith Cherotich (Guest) on August 26, 2019

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Robert Okello (Guest) on July 19, 2019

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 29, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

John Lissu (Guest) on January 9, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

John Mwangi (Guest) on December 28, 2018

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Henry Sokoine (Guest) on October 12, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Lucy Mushi (Guest) on June 23, 2018

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Peter Mwambui (Guest) on March 28, 2018

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Samuel Omondi (Guest) on March 8, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

Moses Kipkemboi (Guest) on February 23, 2018

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Lydia Mutheu (Guest) on November 2, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Charles Mrope (Guest) on August 4, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Stephen Mushi (Guest) on March 14, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Stephen Kangethe (Guest) on November 20, 2016

Rehema hushinda hukumu

Janet Mwikali (Guest) on September 12, 2016

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Benjamin Kibicho (Guest) on August 22, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Joy Wacera (Guest) on July 22, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Wilson Ombati (Guest) on May 6, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Elizabeth Mtei (Guest) on January 7, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Samuel Omondi (Guest) on January 2, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Elizabeth Mrope (Guest) on September 26, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Joseph Njoroge (Guest) on September 23, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Ruth Mtangi (Guest) on April 25, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Related Posts

Kilichowapata Watu 8 waliowahi kumdhihaki Mungu

Kilichowapata Watu 8 waliowahi kumdhihaki Mungu

1. JOHN LENNON (MUIMBAJI)

Wakati alipokuwa akihojiwa na Mwandishi wa habari wa gazeti la #A... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya milele?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya milele?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu ya Kikristo yanayoamini katika maisha ya milele. Imani hii n... Read More

Je, Kanisa Katoliki linatetea na kufundisha maadili ya kijinsia na thamani ya ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?

Je, Kanisa Katoliki linatetea na kufundisha maadili ya kijinsia na thamani ya ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?

Katoliki ni dini inayoheshimu na kufundisha thamani ya maisha ya binadamu. Kanisa Katoliki linafu... Read More

Huruma ya Mungu: Karama ya Upatanisho na Ukarabati

Huruma ya Mungu: Karama ya Upatanisho na Ukarabati

Karibu kwenye makala hii inayoeleza kuhusu huruma ya Mungu na jinsi karama hii inavyohusiana na u... Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Katika imani ya Kanisa Katoliki, Mungu ni muumba na mwanzilishi wa maisha yote duniani. Kama waam... Read More

Ufanyialo wengine ndilo utakalofanyiwa

Ufanyialo wengine ndilo utakalofanyiwa

Siku niliposoma hili andiko kwa mara ya kwanza nakumbuka, kwanza nilipata mshtuko flani baada ya ... Read More

Majivuno na Kujikweza Mbele ya Mungu

Majivuno na Kujikweza Mbele ya Mungu

Read More
Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukarabati na Uongofu.

Ndugu yangu, Ibada ya Huruma ya Mu... Read More

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo... Read More

Nafasi ya Bikira Maria Katika Kanisa Katoliki

Nafasi ya Bikira Maria Katika Kanisa Katoliki

Read More
Ibada ya Rozari ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukaribu na Mungu

Ibada ya Rozari ya Huruma ya Mungu: Njia ya Ukaribu na Mungu

  1. Ibada ya Rozari ya Huruma ya Mungu ni njia ya kumkaribia Mungu kwa ukaribu zaidi. Ni nj... Read More

Siri ya kamba nyekundu

Siri ya kamba nyekundu

Miaka zaidi ya 3000 iliyopita katika mji wa Yeriko alikuwepo mwanamke mmoja kahaba, jina lake Rah... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles