Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ

Maana ya jina Bikira Maria

โ€ข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Jina asili kwa Kiaramu ni ืžืจื™ื, Maryฤm lenye maana ya "Bibi"; watafsiri wa kwanza wa Biblia ya Kiebrania wanaojulikana kama Septuaginta (LXX) waliliacha kama lilivyo wakiandika kwa Kigiriki ฮœฮฑฯฮฏฮฑฮผ, Mariam, au walilifupisha wakiandika ฮœฮฑฯฮฏฮฑ, Maria.
Katika Kurani jina hilo kwa Kiarabu ni ู…ุฑูŠู…, Maryam.
Jina hili limeenea sana duniani kote, hasa kwa heshima ya mama wa Yesu.
Anatajwa kwa kawaida kwa kutanguliza sifa yake mojawapo, hasa Bikira.
Mapokeo ya karne ya 2 (Injili ya Yakobo) kuhusu Bikira Maria yanasema alikuwa binti pekee wa Yohakimu na Ana. Lakini habari muhimu zaidi ni zile zinazopatikana katika Biblia ya Kikristo.
AckySHINE Solutions
โœจ Join AckySHINE for more features! โœจ

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
๐Ÿ‘ฅ Lucy Mahiga Guest Jun 23, 2024
Neema ya Mungu inatosha kwako
๐Ÿ‘ฅ Agnes Sumaye Guest Jun 11, 2024
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
๐Ÿ‘ฅ Nancy Komba Guest Feb 13, 2024
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
๐Ÿ‘ฅ Charles Mrope Guest Jan 30, 2024
Mwamini katika mpango wake.
๐Ÿ‘ฅ Anna Kibwana Guest Dec 13, 2023
Rehema hushinda hukumu
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Mrope Guest Sep 19, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Joseph Kitine Guest Sep 5, 2023
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐Ÿ‘ฅ Joseph Mallya Guest May 13, 2023
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐Ÿ‘ฅ Grace Njuguna Guest Feb 5, 2023
Mwamini Bwana; anajua njia
๐Ÿ‘ฅ Miriam Mchome Guest Nov 27, 2022
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐Ÿ‘ฅ Richard Mulwa Guest Apr 8, 2022
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐Ÿ‘ฅ Nancy Akumu Guest Nov 12, 2021
Katika imani, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Nancy Kawawa Guest Aug 28, 2021
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
๐Ÿ‘ฅ Anna Mchome Guest Jul 24, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Patrick Mutua Guest Apr 18, 2021
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
๐Ÿ‘ฅ Mary Sokoine Guest Mar 22, 2021
Rehema zake hudumu milele
๐Ÿ‘ฅ Sarah Achieng Guest Feb 13, 2021
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
๐Ÿ‘ฅ Patrick Kidata Guest Dec 14, 2020
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
๐Ÿ‘ฅ Janet Sumari Guest Jan 20, 2020
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
๐Ÿ‘ฅ Patrick Akech Guest Oct 7, 2019
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐Ÿ‘ฅ Betty Akinyi Guest Sep 23, 2019
Tembea kwa imani, si kwa kuona
๐Ÿ‘ฅ Patrick Akech Guest Jul 15, 2019
Sifa kwa Bwana!
๐Ÿ‘ฅ Charles Mrope Guest Jun 22, 2019
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
๐Ÿ‘ฅ Sarah Karani Guest May 13, 2019
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐Ÿ‘ฅ Linda Karimi Guest Apr 29, 2019
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐Ÿ‘ฅ Michael Onyango Guest Apr 19, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
๐Ÿ‘ฅ Lucy Wangui Guest Mar 19, 2019
Kwa Mungu, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ David Ochieng Guest Dec 8, 2018
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
๐Ÿ‘ฅ Jane Muthui Guest Aug 13, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Joyce Nkya Guest Jul 20, 2018
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐Ÿ‘ฅ Edwin Ndambuki Guest Jun 4, 2018
Dumu katika Bwana.
๐Ÿ‘ฅ Samuel Were Guest Apr 22, 2018
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
๐Ÿ‘ฅ Lydia Mutheu Guest Mar 29, 2018
Mungu ni mwema, wakati wote!
๐Ÿ‘ฅ Samson Mahiga Guest Sep 25, 2017
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
๐Ÿ‘ฅ Grace Mushi Guest Jul 14, 2017
Mungu akubariki!
๐Ÿ‘ฅ Monica Adhiambo Guest Jun 22, 2017
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Mtei Guest Apr 15, 2017
Endelea kuwa na imani!
๐Ÿ‘ฅ David Kawawa Guest Apr 8, 2017
Nguvu hutoka kwa Bwana
๐Ÿ‘ฅ Lucy Wangui Guest Mar 20, 2017
Tumaini ni nanga ya roho
๐Ÿ‘ฅ Margaret Mahiga Guest Jan 24, 2017
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
๐Ÿ‘ฅ Edith Cherotich Guest Oct 6, 2016
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
๐Ÿ‘ฅ Alice Jebet Guest Aug 23, 2016
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
๐Ÿ‘ฅ Mariam Hassan Guest Mar 28, 2016
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
๐Ÿ‘ฅ Peter Mugendi Guest Mar 24, 2016
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
๐Ÿ‘ฅ Nora Kidata Guest Jan 30, 2016
Neema na amani iwe nawe.
๐Ÿ‘ฅ Rose Amukowa Guest Jan 19, 2016
Baraka kwako na familia yako.
๐Ÿ‘ฅ Betty Akinyi Guest Jan 3, 2016
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐Ÿ‘ฅ Robert Okello Guest Dec 25, 2015
Wakati wa Mungu ni kamilifu
๐Ÿ‘ฅ Patrick Mutua Guest Aug 3, 2015
Nakuombea ๐Ÿ™
๐Ÿ‘ฅ Raphael Okoth Guest Apr 4, 2015
Imani inaweza kusogeza milima

๐Ÿ”— Related Posts

๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About