tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka kupanda
Konda- bibi twende sit kibao ata utalala
Bibi - oooh sawa mjukuu
Konda - simama tu apo wanashuka mbele
Bibi - akacheka sana tu
Konda- mbona unacheka bibi
Bibi - mjukuu hawa wote hawashuki wanakufa apo mbele
Watu- simamisha gar
Saiv bibi kabaki mwenyewe amelala sit ya nyuma😆😆😅😂😂