Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa
By Melkisedeck Leon Shine |
August 3, 2015
Mchungaji Kauliza:Â Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje mbele.
Mara kasimama kibabu na kwenda mbele, bibi harusi alipomuona tu yule babu akazimia.
Mchungaji akauliza:Â tueleze pingamizi lako
Kibabu kikajibu:Â Nimeamua kuja mbele kwasababu kule nyuma sisikii!!!.
kanisa zima hoi,