Log in to access your menu with tools for managing ๐ tasks, ๐ฅ clients, ๐ฐ finances, ๐ learning, ๐ personal growth, and ๐ spirituality, all in one place!.
Updated at: 2024-05-23 15:46:09 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Inafahamika kuku kutaga mayai mengi hutokana na aina ya mbegu ya kuku, ila jua kwamba hata aina ya mbegu ya kuku yenye sifa ya kutaga mayai mengi kama haitapewa matunzo mazuri ย basi sifa yake ya utagaji itapotea.
Updated at: 2024-05-23 15:46:11 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kudonoana kwa kuku ni tatizo linalo wa sumbua wengi, ni moja ya athari ya lishe duni. Ni kisema lishe duni na maanisha chakula wanacho kula kukosa vurutubisho muhimu vya madini au kuku kutokula chakula cha kutosha.
Updated at: 2024-05-23 15:46:04 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukaguzi wa Kila siku โข Hakikisha unasafisha vyombo vya kulishia na kunyweshea pamoja na viota. โข Ondoa kinyesi kwa kuku. โข Waangalie kuku wako kwa makini ili kujua afya na maendeleo yao. Yaani ili kutambua kama kuna mwenye ugonjwa