eBooks: 1000+ Vichekesho vipya: Vichekesho vya AckySHINE - Topic 10 - AckySHINE
Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya
Updated at: 2024-05-25 18:13:34 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita binti mmoja anayejiuza akamsogelea yule mke wa jamaa
Β
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi
Updated at: 2024-05-25 18:05:58 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia hawa kina mama, ni shida..!
Updated at: 2024-05-25 18:10:22 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Staili nyingine za michepuko ni shida
Updated at: 2024-05-25 17:16:43 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa
Updated at: 2023-04-29 22:53:36 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao
Updated at: 2024-05-25 18:06:47 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake
Updated at: 2024-05-25 16:58:35 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao
Updated at: 2024-05-25 18:06:22 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka nje kuongea na cm.
Mtoto akamwinamia Doctor na kusema kwa sauti ya chini:- "Doctor Kwenye dozi ya dawa niandikie na
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko
Updated at: 2024-05-25 16:57:07 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida
Updated at: 2024-05-25 17:07:50 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada
Updated at: 2024-05-25 16:58:20 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama
Updated at: 2024-05-25 17:56:17 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo
Updated at: 2024-05-25 17:05:08 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Balaa la mitoto isiyopenda shule
Updated at: 2024-05-25 17:52:16 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema
Updated at: 2024-05-25 17:59:59 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute
Updated at: 2024-05-25 16:53:58 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake
Updated at: 2024-05-25 18:04:02 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mtoto ni wa baba au wa mama?
Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani akae na mtoto.
MME: Akasimama akauliza hivi: Mheshimiwa hakimu hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye mashine ikatoa pesa, sasa pesa zitakuwa ni za ATM au zakwangu?
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi
Updated at: 2024-05-25 16:51:56 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Jamaa mpenda michepuko kapatikana
Updated at: 2024-05-25 17:13:28 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo
Updated at: 2024-05-25 17:58:40 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Huku ndiko kuumbuka bila chuki
Updated at: 2024-05-25 17:06:20 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere
Updated at: 2024-05-25 17:07:22 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!
Updated at: 2023-04-29 22:53:24 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinzi watoroke!
Walipofika getini wakakuta geti lipo wazi na hakuna mlinzi, wakasema
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku
Updated at: 2024-05-25 18:04:32 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
MUME: Mke wangu naomba nikubusu
MKE: Sitaki
MUME: Ntakununulia pete ya gold
MKE: Staki
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni
Updated at: 2023-04-29 22:53:04 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi 1. nitakupa 2. Atapewa mbele 3. Hujapewa mbele? 4. Utapewa nyuma 5. Nitakupa nikikaa vizuri 6. Ngoja isimame nikupe
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!
Updated at: 2024-05-25 18:12:54 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Stori za simu za wavulana na wasichana
Updated at: 2023-04-29 22:52:30 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana
Updated at: 2023-04-29 22:53:52 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Alifanya hivi;Siku ya kwanza
MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?. MKE: Salama tu MUME: Uko wapi? MKE: Jamani si niko nyumbani MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikieβ¦..mkeΒ akawasha blender MKE: Umesikia? MUME: Okay haya mi natoka kazini naja
Β
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi
Updated at: 2024-05-25 18:05:32 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ya Jadiβ¦
Jamaa akaongea na bibi yake amuwekee jinsia ya kike ili akashinde Mahakamani na akitoka arudishiwe mambo yake kama kawaida.
Β
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Sababu ya girlfriend π§ kuniblock
Updated at: 2024-05-25 16:59:40 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku
Updated at: 2024-05-25 17:09:35 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ
Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka
Updated at: 2024-05-25 16:57:14 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Show excerpt
Close excerpt
Download β¬οΈ