Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha za kutunisha Mfuko wa Jumuiya…sasa unakakaa mbele kabisa ili Muda wa Msosi usichelewe na kukuta kwenye Buffee yamebaki maharage!

MC : "Papai zuri kabisa kutoka Newala, Papai Mwendokasi, hili ni Shilingi laki 1..jamani Papai,nipeni ofa!"

MOSHA : "Laki 3 hapaaa!"

"Jamani laki 3 pale kwa Mosha, Papai linaondoka jamani, papai hili ni self contained kabisa….papai jamani"

KIBOLIBO: "Milioni 1 hapaaa"

"Jamani Mambo yanazidi kunoga hapa!…Benedict Kibolibo anataka papai kwa milioni 1 jamani, linaondoka papai!"

RWEYEMAMU : "nitanunua Papai hilo kwa Milioni 5"

Haya sasa jamani Rweyemamu ametoa ofa ya Milioni 5 Jamani, nani mweingineee?"

Kimyaaa…

Haya jamani Papai kama hakuna Ofa basi Papai linakwenda kwa Rweyemamu!……..haya sasa Kuna Kuku hapa Jogoo kabisa, bei yake ni laki 6 jamani Jogoo twitter huyu!"

WEWE "Milioni Mojaaa!"( hapa umejiwahi wa kwanza na wewe uonekane upo huku ukijua kabisa Wakina Mosha na Rweyemamu lazima watampandia Dau Jogoo, tena dau kubwa"

MC: ee sasa Kumekucha Jamani, Kabasele anamtaka Jogoo kwa Milioni 1 jamani!….ofa nyingineeee!"

Kimyaaa…

Jamani Jogoo anakwenda kwa Kabasele jamani!…ofa nyinginee!

Kimyaaa….

Kimyaaa….

πŸ˜πŸ˜πŸ˜β€¦hapa sasa ndio mfukoni kuna Buku jero,..huko kwengineko NMB nill balance…sasa unageuza mimacho kumtazama Mosha kama atapanda dau kwa jogooπŸ‘€(mama wee Mosha anachezea Simu!)…..unamtazama Rweyemamu (teh anatafuna Kuku)…..mama weee😝

MC: Haya jamani kama hakuna Mwingine basi zoezi letu liishie hapa na limekwenda kwa Mafanikio, Mpatieni Kabasele Jogoo wake!

Hapa sasa unapokea jogoo wako wa MILIONI kwa Tabasamu la Maiti….kule nyumbani Jogoo wako Mkubwa unauza elfu 20 lakini sasa haka kajogoo kapya Mkononi kanakuwa kazito utadhani umembeba John CenaπŸ‘€β€¦Mama weee hapa sasa vidari ulivyotafuna unaviona kama vimerudi kwenye Ulimi….Chicken wings zinataka kutokea Masikioni…..Uuuuwiiiii,😝😝😝

Na hapa sasa kabla Dinner haijaisha ndipo unapojikuta Umebuni Cocktail ya Sparetta na TomatoπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚.
chiel wie okee

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mchawi (Guest) on July 22, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Zuhura (Guest) on July 19, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Grace Minja (Guest) on July 9, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

James Kimani (Guest) on June 18, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 15, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Mussa (Guest) on May 12, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Chum (Guest) on May 3, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Husna (Guest) on April 18, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anna Malela (Guest) on April 11, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Mary Mrope (Guest) on March 28, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on February 21, 2024

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Susan Wangari (Guest) on February 13, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Muslima (Guest) on January 27, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Alice Mwikali (Guest) on January 3, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on December 4, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on November 27, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on November 9, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

John Mushi (Guest) on October 27, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on October 26, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on October 7, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on October 3, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Sofia (Guest) on September 29, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

George Wanjala (Guest) on September 10, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ann Awino (Guest) on August 15, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

David Nyerere (Guest) on July 30, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Chum (Guest) on May 19, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mariam Kawawa (Guest) on May 7, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on April 15, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Sarah Karani (Guest) on March 31, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Betty Kimaro (Guest) on February 19, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Chris Okello (Guest) on February 10, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on January 26, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Benjamin Masanja (Guest) on January 24, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Okello (Guest) on January 18, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Warda (Guest) on November 20, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Kenneth Murithi (Guest) on November 9, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Tabu (Guest) on August 29, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Ruth Wanjiku (Guest) on August 27, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

John Lissu (Guest) on August 25, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joseph Kawawa (Guest) on August 1, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Esther Nyambura (Guest) on July 30, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Maulid (Guest) on July 25, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nancy Kawawa (Guest) on July 10, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Njeri (Guest) on May 16, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Dorothy Nkya (Guest) on May 11, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Josephine (Guest) on April 29, 2022

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on April 18, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Dorothy Nkya (Guest) on April 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Hekima (Guest) on March 28, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Malela (Guest) on February 26, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mwafirika (Guest) on February 6, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Charles Wafula (Guest) on January 29, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 4, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

James Kawawa (Guest) on January 2, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joyce Aoko (Guest) on December 1, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on December 1, 2021

😊🀣πŸ”₯

Irene Akoth (Guest) on November 24, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mariam (Guest) on November 20, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 30, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Simon Kiprono (Guest) on October 12, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About