Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5378c76900f63b42af6a6204cfb6a1df, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5378c76900f63b42af6a6204cfb6a1df, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5378c76900f63b42af6a6204cfb6a1df, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5378c76900f63b42af6a6204cfb6a1df, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Uwe na subira Baada ya kuomba

Featured Image

Uwe na subira Baada ya kuomba kwa Mungu. Sio kila unachoomba kwa Mungu utakipata kwa wakati huo huo au kwa wakati unaofikiri. Mungu ni Mwaminifu Sana Kwenye kujibu maombi lakini vile vile ni mwenye Hekima Kwenye kukujibu, anajua wakati gani ni sahihi kukujibu maombi yako. Anaweza kukujibu saa hiyo hiyo, kesho, keshokutwa au hata mwakani kwa kuangalia wakati ufaao na kwa manufaa yako. Kwa hiyo unapoona hujajibiwa usife moyo, bali uwe na matumaini. Mungu anajua akujibu lini kwa kuwa anajua ni lini wakati ufaao na ni lini kitu kipi kina kufaa.

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5378c76900f63b42af6a6204cfb6a1df, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Mbithe (Guest) on May 14, 2024

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Benjamin Kibicho (Guest) on February 10, 2024

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Andrew Odhiambo (Guest) on December 1, 2023

Mwamini katika mpango wake.

Edward Lowassa (Guest) on October 14, 2023

Dumu katika Bwana.

John Malisa (Guest) on April 16, 2023

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Thomas Mtaki (Guest) on April 2, 2023

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Janet Mwikali (Guest) on March 24, 2023

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lucy Wangui (Guest) on March 18, 2023

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

David Musyoka (Guest) on October 24, 2022

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

George Wanjala (Guest) on June 6, 2022

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Carol Nyakio (Guest) on April 16, 2022

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Lydia Mzindakaya (Guest) on February 16, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Esther Cheruiyot (Guest) on January 26, 2022

Rehema hushinda hukumu

Patrick Kidata (Guest) on January 9, 2022

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Edward Lowassa (Guest) on December 2, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Monica Nyalandu (Guest) on November 2, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Christopher Oloo (Guest) on October 8, 2021

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Christopher Oloo (Guest) on May 11, 2021

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Janet Sumari (Guest) on January 19, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

George Mallya (Guest) on January 11, 2021

Nguvu hutoka kwa Bwana

George Tenga (Guest) on December 15, 2020

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Daniel Obura (Guest) on September 18, 2020

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Linda Karimi (Guest) on July 25, 2020

Imani inaweza kusogeza milima

Ann Wambui (Guest) on April 27, 2020

Sifa kwa Bwana!

Peter Mbise (Guest) on February 12, 2020

Mungu akubariki!

Lucy Kimotho (Guest) on December 24, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Miriam Mchome (Guest) on June 25, 2019

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Anna Kibwana (Guest) on April 19, 2019

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Frank Macha (Guest) on April 7, 2019

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Victor Sokoine (Guest) on February 7, 2019

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Francis Njeru (Guest) on January 13, 2019

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Mary Mrope (Guest) on November 20, 2018

Neema na amani iwe nawe.

Alex Nakitare (Guest) on November 13, 2018

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Anna Kibwana (Guest) on November 5, 2018

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Monica Adhiambo (Guest) on August 29, 2018

Baraka kwako na familia yako.

John Malisa (Guest) on July 6, 2018

Neema ya Mungu inatosha kwako

John Lissu (Guest) on April 12, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Alice Wanjiru (Guest) on April 7, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

Anthony Kariuki (Guest) on March 12, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Susan Wangari (Guest) on November 5, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Anna Kibwana (Guest) on January 5, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Philip Nyaga (Guest) on July 6, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Nora Lowassa (Guest) on July 4, 2016

Nakuombea 🙏

Frank Sokoine (Guest) on May 23, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

David Nyerere (Guest) on May 2, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Andrew Odhiambo (Guest) on March 27, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Peter Mwambui (Guest) on September 2, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Stephen Kangethe (Guest) on July 25, 2015

Rehema zake hudumu milele

Betty Akinyi (Guest) on June 25, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Isaac Kiptoo (Guest) on April 13, 2015

Endelea kuwa na imani!

Related Posts

Maisha ya Kikristo ni sala

Maisha ya Kikristo ni sala

Hakuna Maisha ya Kikristo bila Kusali. Kama kuna Mkristo anaishi bila kusali huyo siyo Mkristo ba... Read More

Upendo mkuu wa Yesu

Upendo mkuu wa Yesu

Fikiria umenunua zawadi nzuri ya gharama sana na unataka kumpa mtu umpendaye sana. Akipokea zawad... Read More

Tumaini kwa Mungu

Tumaini kwa Mungu

Mtumainie Mungu kwa maana Mungu hawatupi wale wamtumainiao na kumgoja. Mkono wake upo tayari kwa ... Read More

Upendo wa siku zote

Upendo wa siku zote

Upendo wa siku zote huo ndio upendo atakao Mungu. Chuki na unafiki ni tabia ya Shetani, umoja ni ... Read More

Maana ya kubarikiwa

Maana ya kubarikiwa

Kubarikiwa ni Kutokutindikiwa na kuwa na matumaini ya siku zijazo. Kubarikiwa ni kuwa na amani, f... Read More

Mungu anajibu sala kutokana na nia

Mungu anajibu sala kutokana na nia

Mungu anamjibu mtu sala zake kutokana na anachonuia.

... Read More
Mnyororo wa Baraka za Mungu

Mnyororo wa Baraka za Mungu

Usiache kusali na kutenda mema kwa kuwa huwezi jua ni watu wangapi wanategemea sala na matendo ya... Read More

Njia ya sala

Njia ya sala

Kwa njia ya sala Binadamu anampa Mungu Utukufu, Mungu anampa Binadamu Wokovu na Neema.

... Read More
Sala ni chimbuko la Fadhila

Sala ni chimbuko la Fadhila

Sala ndiyo chimbuko la fadhila. Kwa njia ya sala tunapata fadhila za Kimungu na Neema za Mungu. A... Read More

Upendo wa KiMungu

Upendo wa KiMungu

Huwezi kusema unampenda Mungu usiyemuona kama huwapendi watu wale unaowaona. Mpende jirani yako k... Read More

Namna Mungu anavyojibu Sala au Maombi

Namna Mungu anavyojibu Sala au Maombi

Mungu ni mwenye Hekima, anajibu Sala zetu kwa kutupa kile tunachohitaji na chenye kutufaa na Sio ... Read More

Upendo na chuki havitangamani

Upendo na chuki havitangamani

Upendo wa kweli hauambatani na chuki. Huwezi kusema una Upendo wakati kuna watu wengine unawapend... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5378c76900f63b42af6a6204cfb6a1df, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact