Uwe na subira Baada ya kuomba kwa Mungu. Sio kila unachoomba kwa Mungu utakipata kwa wakati huo huo au kwa wakati unaofikiri. Mungu ni Mwaminifu Sana Kwenye kujibu maombi lakini vile vile ni mwenye Hekima Kwenye kukujibu, anajua wakati gani ni sahihi kukujibu maombi yako. Anaweza kukujibu saa hiyo hiyo, kesho, keshokutwa au hata mwakani kwa kuangalia wakati ufaao na kwa manufaa yako. Kwa hiyo unapoona hujajibiwa usife moyo, bali uwe na matumaini. Mungu anajua akujibu lini kwa kuwa anajua ni lini wakati ufaao na ni lini kitu kipi kina kufaa.

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5378c76900f63b42af6a6204cfb6a1df, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Uwe na subira Baada ya kuomba

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5378c76900f63b42af6a6204cfb6a1df, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Janet Mbithe (Guest) on May 14, 2024
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Benjamin Kibicho (Guest) on February 10, 2024
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Andrew Odhiambo (Guest) on December 1, 2023
Mwamini katika mpango wake.
Edward Lowassa (Guest) on October 14, 2023
Dumu katika Bwana.
John Malisa (Guest) on April 16, 2023
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Thomas Mtaki (Guest) on April 2, 2023
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Janet Mwikali (Guest) on March 24, 2023
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Lucy Wangui (Guest) on March 18, 2023
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
David Musyoka (Guest) on October 24, 2022
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
George Wanjala (Guest) on June 6, 2022
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Carol Nyakio (Guest) on April 16, 2022
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Lydia Mzindakaya (Guest) on February 16, 2022
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Esther Cheruiyot (Guest) on January 26, 2022
Rehema hushinda hukumu
Patrick Kidata (Guest) on January 9, 2022
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Edward Lowassa (Guest) on December 2, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Monica Nyalandu (Guest) on November 2, 2021
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Christopher Oloo (Guest) on October 8, 2021
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Christopher Oloo (Guest) on May 11, 2021
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Janet Sumari (Guest) on January 19, 2021
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
George Mallya (Guest) on January 11, 2021
Nguvu hutoka kwa Bwana
George Tenga (Guest) on December 15, 2020
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Daniel Obura (Guest) on September 18, 2020
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Linda Karimi (Guest) on July 25, 2020
Imani inaweza kusogeza milima
Ann Wambui (Guest) on April 27, 2020
Sifa kwa Bwana!
Peter Mbise (Guest) on February 12, 2020
Mungu akubariki!
Lucy Kimotho (Guest) on December 24, 2019
Katika imani, yote yanawezekana
Miriam Mchome (Guest) on June 25, 2019
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Anna Kibwana (Guest) on April 19, 2019
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Frank Macha (Guest) on April 7, 2019
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Victor Sokoine (Guest) on February 7, 2019
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Francis Njeru (Guest) on January 13, 2019
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Mary Mrope (Guest) on November 20, 2018
Neema na amani iwe nawe.
Alex Nakitare (Guest) on November 13, 2018
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Anna Kibwana (Guest) on November 5, 2018
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Monica Adhiambo (Guest) on August 29, 2018
Baraka kwako na familia yako.
John Malisa (Guest) on July 6, 2018
Neema ya Mungu inatosha kwako
John Lissu (Guest) on April 12, 2018
Mwamini Bwana; anajua njia
Alice Wanjiru (Guest) on April 7, 2018
Mungu ni mwema, wakati wote!
Anthony Kariuki (Guest) on March 12, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Susan Wangari (Guest) on November 5, 2017
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Anna Kibwana (Guest) on January 5, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Philip Nyaga (Guest) on July 6, 2016
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Nora Lowassa (Guest) on July 4, 2016
Nakuombea 🙏
Frank Sokoine (Guest) on May 23, 2016
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
David Nyerere (Guest) on May 2, 2016
Tumaini ni nanga ya roho
Andrew Odhiambo (Guest) on March 27, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Peter Mwambui (Guest) on September 2, 2015
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Stephen Kangethe (Guest) on July 25, 2015
Rehema zake hudumu milele
Betty Akinyi (Guest) on June 25, 2015
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Isaac Kiptoo (Guest) on April 13, 2015
Endelea kuwa na imani!