Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9b83cb9f392d45797b597155b626b66c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Toba, msamaha na Baraka
Date: May 10, 2022
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Inashangaza kwa sasa watu wengi hawapendi kuambiwa kuhusu kutubu dhambi zao bali wanataka waambiwe watabarikiwa. Kama vile wewe huwezi kumvika mwanao nguo nzuri kabla ya kumuogesha vivyo hivyo na Mungu hawezi kukubariki kabla ya kukutakasa. Unapotubu unasamehewa na kutakaswa dhambi zako kisha unakua umefungua milango ya baraka. Huwezi kubarikiwa bila kutubu kweli.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9b83cb9f392d45797b597155b626b66c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Upendo hauandamani na ubinafsi. Huwezi kusema una upendo wa kweli kama huwezi kujinyima vile unav...
Read More
Uzuri wa Mungu ni kwamba anasamehe na kisha anasahau. Unapotubu dhambi zako na kutaka huruma zake...
Read More
Sala ndiyo chimbuko la fadhila. Kwa njia ya sala tunapata fadhila za Kimungu na Neema za Mungu. A...
Read More
Hakuna Maisha ya Kikristo bila Kusali. Kama kuna Mkristo anaishi bila kusali huyo siyo Mkristo ba...
Read More
Sala ni ufunguo wa kufungulia mema na kufungia Mabaya. Tusali ili tufungue mema katika maisha yet...
Read More
Upendo wa Mungu hauna kikomo. Mama anaweza kumchoka na kumtelekeza mwanae lakini Mungu kamwe hamc...
Read More
Vile unavyomsogelea Mungu ndivyo na yeye anavyokusogelea. Vile unavyomkubali Mungu katika Maisha ...
Read More
Kubarikiwa ni Kutokutindikiwa na kuwa na matumaini ya siku zijazo. Kubarikiwa ni kuwa na amani, f...
Read More
Upendo wa siku zote huo ndio upendo atakao Mungu. Chuki na unafiki ni tabia ya Shetani, umoja ni ...
Read More
Uwe na maono au ndoto ya mambo unayotaka kufanya maishani naye Mungu atakubariki na kujidhihirish...
Read More
Fikiria umenunua zawadi nzuri ya gharama sana na unataka kumpa mtu umpendaye sana. Akipokea zawad...
Read More
Usiogope wala usisite kutubu na kuomba msamaha kwa Mungu. Uwe na Amani na Matumaini katika Huruma...
Read More
Margaret Anyango (Guest) on July 14, 2024
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Anna Mchome (Guest) on May 10, 2024
Sifa kwa Bwana!
Peter Otieno (Guest) on April 7, 2024
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Anna Malela (Guest) on March 20, 2024
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Rose Waithera (Guest) on September 21, 2023
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Francis Njeru (Guest) on April 14, 2023
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Alice Mwikali (Guest) on August 3, 2022
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Sarah Karani (Guest) on May 22, 2022
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Nora Lowassa (Guest) on April 29, 2022
Mungu akubariki!
Elizabeth Malima (Guest) on April 3, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Hellen Nduta (Guest) on January 31, 2022
Dumu katika Bwana.
Michael Mboya (Guest) on July 26, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Joseph Kitine (Guest) on July 3, 2021
Mungu ni mwema, wakati wote!
Wilson Ombati (Guest) on June 2, 2021
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Lydia Wanyama (Guest) on February 18, 2021
Endelea kuwa na imani!
Susan Wangari (Guest) on December 4, 2020
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Wilson Ombati (Guest) on October 15, 2020
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Mariam Kawawa (Guest) on August 8, 2020
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Joyce Mussa (Guest) on May 24, 2020
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Stephen Kikwete (Guest) on May 2, 2020
Mwamini Bwana; anajua njia
Joyce Mussa (Guest) on March 1, 2020
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
James Malima (Guest) on February 25, 2020
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Carol Nyakio (Guest) on November 16, 2019
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Mary Sokoine (Guest) on October 20, 2019
Rehema hushinda hukumu
Elizabeth Malima (Guest) on June 14, 2019
Mwamini katika mpango wake.
Anna Mahiga (Guest) on January 31, 2019
Baraka kwako na familia yako.
Andrew Mahiga (Guest) on January 7, 2019
Katika imani, yote yanawezekana
Mary Kidata (Guest) on November 13, 2018
Imani inaweza kusogeza milima
Margaret Anyango (Guest) on October 20, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Dorothy Nkya (Guest) on October 13, 2018
Neema ya Mungu inatosha kwako
Kevin Maina (Guest) on June 26, 2018
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Irene Akoth (Guest) on May 27, 2018
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Charles Mchome (Guest) on April 28, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
Francis Mrope (Guest) on February 16, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Sharon Kibiru (Guest) on February 16, 2018
Nakuombea 🙏
Grace Njuguna (Guest) on February 10, 2018
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Kevin Maina (Guest) on September 12, 2017
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Ruth Mtangi (Guest) on July 20, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Mary Mrope (Guest) on March 15, 2017
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Peter Tibaijuka (Guest) on February 25, 2017
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Grace Njuguna (Guest) on February 10, 2017
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Vincent Mwangangi (Guest) on January 27, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
James Kawawa (Guest) on September 16, 2016
Tumaini ni nanga ya roho
George Ndungu (Guest) on June 15, 2016
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
George Ndungu (Guest) on May 6, 2016
Neema na amani iwe nawe.
Janet Wambura (Guest) on March 16, 2016
Rehema zake hudumu milele
Lydia Mzindakaya (Guest) on March 11, 2016
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Joy Wacera (Guest) on February 10, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Chris Okello (Guest) on October 6, 2015
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Mercy Atieno (Guest) on April 10, 2015
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia