Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9b83cb9f392d45797b597155b626b66c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9b83cb9f392d45797b597155b626b66c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9b83cb9f392d45797b597155b626b66c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9b83cb9f392d45797b597155b626b66c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Toba, msamaha na Baraka

Featured Image

Inashangaza kwa sasa watu wengi hawapendi kuambiwa kuhusu kutubu dhambi zao bali wanataka waambiwe watabarikiwa. Kama vile wewe huwezi kumvika mwanao nguo nzuri kabla ya kumuogesha vivyo hivyo na Mungu hawezi kukubariki kabla ya kukutakasa. Unapotubu unasamehewa na kutakaswa dhambi zako kisha unakua umefungua milango ya baraka. Huwezi kubarikiwa bila kutubu kweli.

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9b83cb9f392d45797b597155b626b66c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Margaret Anyango (Guest) on July 14, 2024

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Anna Mchome (Guest) on May 10, 2024

Sifa kwa Bwana!

Peter Otieno (Guest) on April 7, 2024

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Anna Malela (Guest) on March 20, 2024

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Rose Waithera (Guest) on September 21, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Francis Njeru (Guest) on April 14, 2023

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Alice Mwikali (Guest) on August 3, 2022

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Sarah Karani (Guest) on May 22, 2022

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Nora Lowassa (Guest) on April 29, 2022

Mungu akubariki!

Elizabeth Malima (Guest) on April 3, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Hellen Nduta (Guest) on January 31, 2022

Dumu katika Bwana.

Michael Mboya (Guest) on July 26, 2021

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Joseph Kitine (Guest) on July 3, 2021

Mungu ni mwema, wakati wote!

Wilson Ombati (Guest) on June 2, 2021

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Lydia Wanyama (Guest) on February 18, 2021

Endelea kuwa na imani!

Susan Wangari (Guest) on December 4, 2020

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Wilson Ombati (Guest) on October 15, 2020

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Mariam Kawawa (Guest) on August 8, 2020

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Joyce Mussa (Guest) on May 24, 2020

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Stephen Kikwete (Guest) on May 2, 2020

Mwamini Bwana; anajua njia

Joyce Mussa (Guest) on March 1, 2020

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

James Malima (Guest) on February 25, 2020

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Carol Nyakio (Guest) on November 16, 2019

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Mary Sokoine (Guest) on October 20, 2019

Rehema hushinda hukumu

Elizabeth Malima (Guest) on June 14, 2019

Mwamini katika mpango wake.

Anna Mahiga (Guest) on January 31, 2019

Baraka kwako na familia yako.

Andrew Mahiga (Guest) on January 7, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Mary Kidata (Guest) on November 13, 2018

Imani inaweza kusogeza milima

Margaret Anyango (Guest) on October 20, 2018

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Dorothy Nkya (Guest) on October 13, 2018

Neema ya Mungu inatosha kwako

Kevin Maina (Guest) on June 26, 2018

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Irene Akoth (Guest) on May 27, 2018

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Charles Mchome (Guest) on April 28, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Francis Mrope (Guest) on February 16, 2018

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Sharon Kibiru (Guest) on February 16, 2018

Nakuombea 🙏

Grace Njuguna (Guest) on February 10, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Kevin Maina (Guest) on September 12, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Ruth Mtangi (Guest) on July 20, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Mary Mrope (Guest) on March 15, 2017

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Peter Tibaijuka (Guest) on February 25, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Grace Njuguna (Guest) on February 10, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Vincent Mwangangi (Guest) on January 27, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

James Kawawa (Guest) on September 16, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

George Ndungu (Guest) on June 15, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

George Ndungu (Guest) on May 6, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Janet Wambura (Guest) on March 16, 2016

Rehema zake hudumu milele

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 11, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joy Wacera (Guest) on February 10, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Chris Okello (Guest) on October 6, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Mercy Atieno (Guest) on April 10, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Related Posts

Upendo na ubinafsi

Upendo na ubinafsi

Upendo hauandamani na ubinafsi. Huwezi kusema una upendo wa kweli kama huwezi kujinyima vile unav... Read More

Uzuri wa Mungu

Uzuri wa Mungu

Uzuri wa Mungu ni kwamba anasamehe na kisha anasahau. Unapotubu dhambi zako na kutaka huruma zake... Read More

Sala ni chimbuko la Fadhila

Sala ni chimbuko la Fadhila

Sala ndiyo chimbuko la fadhila. Kwa njia ya sala tunapata fadhila za Kimungu na Neema za Mungu. A... Read More

Maisha ya Kikristo ni sala

Maisha ya Kikristo ni sala

Hakuna Maisha ya Kikristo bila Kusali. Kama kuna Mkristo anaishi bila kusali huyo siyo Mkristo ba... Read More

Sala ni ufunguo

Sala ni ufunguo

Sala ni ufunguo wa kufungulia mema na kufungia Mabaya. Tusali ili tufungue mema katika maisha yet... Read More

Upendo wa Mungu

Upendo wa Mungu

Upendo wa Mungu hauna kikomo. Mama anaweza kumchoka na kumtelekeza mwanae lakini Mungu kamwe hamc... Read More

Umuhimu wa kumsogelea Mungu

Umuhimu wa kumsogelea Mungu

Vile unavyomsogelea Mungu ndivyo na yeye anavyokusogelea. Vile unavyomkubali Mungu katika Maisha ... Read More

Maana ya kubarikiwa

Maana ya kubarikiwa

Kubarikiwa ni Kutokutindikiwa na kuwa na matumaini ya siku zijazo. Kubarikiwa ni kuwa na amani, f... Read More

Upendo wa siku zote

Upendo wa siku zote

Upendo wa siku zote huo ndio upendo atakao Mungu. Chuki na unafiki ni tabia ya Shetani, umoja ni ... Read More

Uwe na maono

Uwe na maono

Uwe na maono au ndoto ya mambo unayotaka kufanya maishani naye Mungu atakubariki na kujidhihirish... Read More

Upendo mkuu wa Yesu

Upendo mkuu wa Yesu

Fikiria umenunua zawadi nzuri ya gharama sana na unataka kumpa mtu umpendaye sana. Akipokea zawad... Read More

Kutubu na Kusamehewa dhambi

Kutubu na Kusamehewa dhambi

Usiogope wala usisite kutubu na kuomba msamaha kwa Mungu. Uwe na Amani na Matumaini katika Huruma... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9b83cb9f392d45797b597155b626b66c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact