Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?





ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe Nehemiah ??
Nehemiah : mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"
Akameza mate kisha akaendelea….
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa Nehemiah .!!


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Tibaijuka (Guest) on May 8, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Robert Ndunguru (Guest) on April 9, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Yusra (Guest) on March 2, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lucy Wangui (Guest) on February 27, 2024

🀣πŸ”₯😊

Anna Malela (Guest) on February 17, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Mbithe (Guest) on February 13, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Fadhila (Guest) on February 3, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nassar (Guest) on January 31, 2024

😁 Kicheko bora ya siku!

Irene Makena (Guest) on December 1, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

James Kawawa (Guest) on November 27, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Simon Kiprono (Guest) on November 21, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Andrew Mahiga (Guest) on November 2, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on October 29, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

John Lissu (Guest) on October 15, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 19, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Aziza (Guest) on August 25, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Jacob Kiplangat (Guest) on August 1, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on July 18, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Kawawa (Guest) on June 1, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on April 16, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on April 12, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Nasra (Guest) on March 31, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Diana Mallya (Guest) on March 27, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on March 26, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Janet Sumaye (Guest) on March 23, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Paul Ndomba (Guest) on March 13, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Margaret Mahiga (Guest) on March 1, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

James Malima (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mariam Kawawa (Guest) on December 22, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on December 17, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on November 9, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ann Wambui (Guest) on November 2, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on October 23, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

David Sokoine (Guest) on August 29, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on August 18, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on August 18, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on August 2, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on July 30, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mwanaisha (Guest) on July 18, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Peter Mbise (Guest) on July 6, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on July 1, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on May 9, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mgeni (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Faith Kariuki (Guest) on January 5, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on December 18, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Mgeni (Guest) on December 11, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Tabitha Okumu (Guest) on December 8, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on December 3, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on November 16, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Robert Ndunguru (Guest) on November 15, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on November 6, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on October 29, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Aziza (Guest) on October 14, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Rose Kiwanga (Guest) on September 20, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on August 30, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Aziza (Guest) on July 3, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Akinyi (Guest) on June 29, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on May 18, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on May 18, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on April 19, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Related Posts

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact