Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.
Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, Noβ¦.. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.
Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendeleaβ¦..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanzaβ¦
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last monthβ¦
Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea⦠Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.
Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.
Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.
Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopitaβ¦!!!
Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje�??
Josephine Nduta (Guest) on July 5, 2024
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Monica Nyalandu (Guest) on July 1, 2024
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Stephen Kangethe (Guest) on May 29, 2024
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Samuel Omondi (Guest) on May 28, 2024
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Simon Kiprono (Guest) on May 11, 2024
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Mwanaisha (Guest) on May 9, 2024
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
John Lissu (Guest) on April 18, 2024
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Patrick Akech (Guest) on April 7, 2024
π Bado ninacheka!
Henry Mollel (Guest) on March 21, 2024
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Peter Tibaijuka (Guest) on March 4, 2024
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Latifa (Guest) on February 16, 2024
π Hiyo punchline!
Victor Sokoine (Guest) on February 2, 2024
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
Francis Njeru (Guest) on January 28, 2024
ππ€£ππ
Charles Mrope (Guest) on January 15, 2024
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Charles Mrope (Guest) on January 8, 2024
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Philip Nyaga (Guest) on January 5, 2024
π Bado nacheka!
Andrew Odhiambo (Guest) on December 27, 2023
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Catherine Naliaka (Guest) on December 21, 2023
π Ninashiriki mara moja!
Mwajabu (Guest) on December 16, 2023
π Umeimaliza kabisa!
Francis Mtangi (Guest) on December 15, 2023
ππ€£π₯
Wande (Guest) on November 30, 2023
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
David Nyerere (Guest) on November 28, 2023
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
Francis Mrope (Guest) on November 19, 2023
Asante Ackyshine
Victor Mwalimu (Guest) on November 12, 2023
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Kenneth Murithi (Guest) on November 12, 2023
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Grace Majaliwa (Guest) on September 3, 2023
ππ
Lucy Kimotho (Guest) on August 12, 2023
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Samson Tibaijuka (Guest) on August 11, 2023
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Diana Mumbua (Guest) on August 8, 2023
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Carol Nyakio (Guest) on July 30, 2023
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Stephen Amollo (Guest) on July 20, 2023
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Elijah Mutua (Guest) on July 19, 2023
π€£ Hii imewaka moto!
Robert Okello (Guest) on July 7, 2023
π Nalia kwa kweli hapa!
Betty Kimaro (Guest) on June 30, 2023
Hii imenichekesha sana! ππ
Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 14, 2023
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Monica Adhiambo (Guest) on June 12, 2023
Umetisha! ππ
Jaffar (Guest) on May 4, 2023
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Sarah Karani (Guest) on April 10, 2023
πππ π
Martin Otieno (Guest) on March 12, 2023
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Stephen Mushi (Guest) on February 8, 2023
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
John Kamande (Guest) on February 3, 2023
Hii ni kali sana! ππ€£
Paul Ndomba (Guest) on January 21, 2023
π€£ππ
Betty Akinyi (Guest) on January 15, 2023
Huyu alikuwa na point! ππ
Vincent Mwangangi (Guest) on November 19, 2022
π€£ Sikutarajia hiyo!
Rukia (Guest) on November 13, 2022
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
Daniel Obura (Guest) on November 1, 2022
π Nilihitaji kicheko hicho!
Nora Kidata (Guest) on November 1, 2022
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Margaret Anyango (Guest) on October 16, 2022
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Mary Mrope (Guest) on October 14, 2022
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Benjamin Kibicho (Guest) on October 1, 2022
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
Baraka (Guest) on September 9, 2022
π Hii ni ya kuhifadhi!
Josephine Nekesa (Guest) on September 7, 2022
πππ€£
Victor Kimario (Guest) on September 7, 2022
Nimeipenda hii joke! ππ
Rose Mwinuka (Guest) on September 4, 2022
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
Sarah Karani (Guest) on August 30, 2022
π Hii ni dhahabu!
Zulekha (Guest) on August 19, 2022
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Sarah Karani (Guest) on August 11, 2022
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
Rose Lowassa (Guest) on July 24, 2022
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Farida (Guest) on July 23, 2022
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
John Lissu (Guest) on July 20, 2022
π πππ