Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.





Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, No….. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.





Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendelea…..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanza…
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last month…





Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea… Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.





Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.





Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.





Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita…!!!





Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje…???


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Josephine Nduta (Guest) on July 5, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Monica Nyalandu (Guest) on July 1, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on May 29, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Samuel Omondi (Guest) on May 28, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on May 11, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mwanaisha (Guest) on May 9, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on April 18, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on April 7, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Henry Mollel (Guest) on March 21, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on March 4, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Latifa (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Sokoine (Guest) on February 2, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on January 28, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on January 15, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on January 8, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Philip Nyaga (Guest) on January 5, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on December 27, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Catherine Naliaka (Guest) on December 21, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mwajabu (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Francis Mtangi (Guest) on December 15, 2023

😊🀣πŸ”₯

Wande (Guest) on November 30, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

David Nyerere (Guest) on November 28, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on November 19, 2023

Asante Ackyshine

Victor Mwalimu (Guest) on November 12, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Kenneth Murithi (Guest) on November 12, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on September 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on August 12, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on August 11, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Carol Nyakio (Guest) on July 30, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 20, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on July 19, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Robert Okello (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Betty Kimaro (Guest) on June 30, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 14, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Monica Adhiambo (Guest) on June 12, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jaffar (Guest) on May 4, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Sarah Karani (Guest) on April 10, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on March 12, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on February 8, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

John Kamande (Guest) on February 3, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on January 21, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Betty Akinyi (Guest) on January 15, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on November 19, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rukia (Guest) on November 13, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on November 1, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nora Kidata (Guest) on November 1, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on October 16, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mary Mrope (Guest) on October 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on October 1, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Baraka (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Josephine Nekesa (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on September 7, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on September 4, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on August 30, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Zulekha (Guest) on August 19, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Sarah Karani (Guest) on August 11, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on July 24, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Farida (Guest) on July 23, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Lissu (Guest) on July 20, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Related Posts

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3