Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Utani wa wachaga

Featured Image

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita "vishohia". Wanawake wa Rombo ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji.

2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.

3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchinja… wengi wanamiliki mabucha. Wana hasira sana na ni wakatili.. Akikuchoma kisu, siku ya mazishi anakuja kudai kisu chake.

4. WAMACHAME; hawa ni wezi sana, ukifanya nae dili umeliwa. Ni wasiri sana lakini wako makini mno hasa kwenye pesa. Wakiwa na hasira hawaoneshi waziwazi, so Mmachame anaweza kukuua huku akitabasamu. Sio waaminifu sana lakini wanaenda kanisani mara nyingi zaidi kuliko Wachaga wote. Wanawake wa machame wanaitwa 'Wapalestina'.. Mume ukitajirika mkeo anakuua ili arithi mali.

5. WAURU; hawa hupenda kusoma sana lakini hawapendi maendeleo kabisa. Hadi leo eneo lao la Kishumundu linatumika ku-identify wachagga washamba. Wanawake wakifikisha umri wa miaka 40 hua wehu na wanaume huwa vichaa mapema zaidi. Wanaume ni wavivu, lakini wanawake ni wachapakazi hodari. Wanazurura mjini na mabeseni wakiuza ndizi mbivu.. Ukioa Uru jiandae kulea kichaa.

6. WASIHA; Kwanza hawapendi kuitwa Wachagga. Wanajiita watu wa West-Kilimanjaro. Ni mchanganyiko wa Wachagga na WaMeru. Hawapendi shule ila wanapenda zaidi kazi za ufundi na kilimo. Viazi vingi vya Chips Arusha na Moshi vinatoka kwao. Wanawake zao wana "vigimbi" mguuni sababu ya kulima mno.!

7. WAKIRUA; wanapenda sifa kama Wahaya. Wanawake wa Kirua ni wachawi kupindukia.. Wanaloga hata jiwe ili tu alikomoe.. Wanaume wa Kirua hawapendi kuoa kwao.. Hawapendi kuishi mjini maana wanaogopa gharama.. lakini siku wakija mjini wawili tu utadhani wako mia.

8. WA OLD-MOSHI; Hawa ni mafundi stadi wa ujenzi wa nyumba, japo hawajengi kwao. Mpaka leo hamna daladala ya kwenda Old-Moshi inayoanzia Moshi mjini, maana ni wabishi kulipa nauli na pesa inaishia kwenye mbege njiani. Wanaume wamezoea kutoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri na kurudi saa sita ya usiku kwa miguu.!

Wachaga mnisamehe!
πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒβœ‹βœ‹

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 21, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on June 4, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Moses Mwita (Guest) on April 28, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Ruth Mtangi (Guest) on March 18, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Kassim (Guest) on March 16, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Nassor (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

John Mushi (Guest) on February 28, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Tabitha Okumu (Guest) on February 18, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on February 1, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam (Guest) on January 28, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rabia (Guest) on January 19, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on December 29, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Margaret Mahiga (Guest) on December 18, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on December 5, 2023

😊🀣πŸ”₯

Peter Mbise (Guest) on November 28, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Robert Okello (Guest) on November 24, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwalimu (Guest) on November 3, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Jane Muthui (Guest) on October 13, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Moses Mwita (Guest) on October 10, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Halima (Guest) on October 4, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Josephine Nekesa (Guest) on August 4, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mwajuma (Guest) on August 1, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on July 30, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on July 30, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Stephen Kikwete (Guest) on July 17, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on July 9, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Ochieng (Guest) on July 7, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Francis Njeru (Guest) on June 14, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Ndoto (Guest) on May 24, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Salma (Guest) on May 18, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Raphael Okoth (Guest) on May 18, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Grace Minja (Guest) on May 4, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on April 30, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on April 25, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jafari (Guest) on April 15, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Janet Sumari (Guest) on March 27, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on March 25, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on March 11, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Leila (Guest) on March 2, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Stephen Kangethe (Guest) on February 25, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on February 25, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on February 21, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on February 12, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Rahma (Guest) on February 4, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on January 27, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Charles Mrope (Guest) on January 15, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on January 13, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Victor Malima (Guest) on January 9, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Zawadi (Guest) on December 26, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Linda Karimi (Guest) on December 12, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on November 1, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Zubeida (Guest) on October 24, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 17, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mchawi (Guest) on September 18, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Kijakazi (Guest) on August 24, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Shani (Guest) on August 6, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Mwangi (Guest) on July 29, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Christopher Oloo (Guest) on July 19, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Henry Mollel (Guest) on July 19, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Related Posts

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact