Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dogo la Lap Top mkononi, sura inatazama Mbele Very Serious kama nipo kwenye Gwaride la Uhuru!..Mabega juu yanafanya Cheers na Mawingu!, natembea kwa madoidoβ¦..leo nimetoka Likizo Moshi,
"Brother Simu ya ukweli hii..kitu cha Tecno C9 bei poa" hii ilikuwa sauti ya Teja mmoja hivi!
Yaani huyu Teja Bwege kweli,anataka kumuuzia nani sabuni? mimi sio wa kuja!β¦kamwe Siwezi kuibiwa hapa Town,hakuna wizi au utapeli nisioujua!, Mimi nimezaliwa Mwananyamala kwa Manjunju, nikalelewa Tandale kwa Mtogole, Shule ya msingi nimesoma Turiani Magomeni, Hivi Mbwa gani aniibie?β¦kwa Style ipi?
Sipendi kabisa Upuuzi!, Wajinga ndio wataibiwa, sio Mimi!β¦sasa Kwa mwendo wa haraka nikatoka nje kabisa ya Stendi ya Ubungo straight mpaka Stendi ya dala dala za Kariakoo, hapo ndipo nikakutana na Vijana wawili wadogo wakiwa na mzani wa kupimia uzito,β¦hakika napenda sana vijana wanaojituma kama hawa na sio ile Mijizi ya kule ndani Stendi!!,β¦.hapa sasa nikapata wazo!
"Dogo mnapima uzito kwa shilingi ngapi?''
"Mia mbili tu Kaka!"
''Ok"
Kwa mwendo wa kikakamavu nikapanda juu ya mzani,lengo hapa ni kujua uzito wangu, Mtori niliokula mwezi mzima kule kwa Mshekuu sio mchezo, hapa nahisi nacheza kwenye kg za John Cena,
"Mama wee! Dogo mzani mzima huu kweli? Mbona nina kilo 134?" (Nilihamaki)
"Aaah! Brother huoni umepanda na Mabegi juu ya mzani?'''
Hahaha! kweli nimechanganyikiwa!β¦Sasa nikatoa mabegi yote mawili na kurudi juu ya Mzani, hapa ndipo Uzito ukashuka kutoka kg 134 mpaka kg 56!β¦My God kweli Body la "One Pack " haliongopi! thats means mabegi yaliniongezea kg 78! duh hii ni hatari!
"Yaani we Dogo kitambi chote hiki kg 56? huu Mzani Mzima kweli?"
Kimyaβ¦
"Dogo huu Mzani vipi?"
Kimyaβ¦
Dogo ana dharau huyu!β¦Sasa ndio nikabandua macho yangu toka kwenye kioo cha mzani ili nimtazame huyu dogo asiyejibu!β¦.ndipo macho yangu yakakutana na Kigoda tupu kilichochongwa Mvomero!β¦Dogo hakuwepo!β¦.na Mabegi pia hayapo!β¦lap top haipo!β¦.NIMEPIGWA!
Ni dhahiri watoto wa Mjini walikuwa wameniacha juu ya Mzani, wamechukua Lap top ya Milioni na wameniachia Mzani chakavu wa elfu 40, what a stress!β¦.sasa nilirudisha macho kwenye kioo cha uzito na sasa kilisoma KG 38!β¦yaani dakika hii hii nimepungua kilo zingine 18, Hakiyamama nahisi hata utumbo wangu wamebeba!β¦niitieni Ambulance!
ππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌ
Nahida (Guest) on July 10, 2022
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
Lucy Wangui (Guest) on June 25, 2022
πππ π€£
Rashid (Guest) on May 16, 2022
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Charles Mchome (Guest) on May 7, 2022
Asante Ackyshine
Agnes Lowassa (Guest) on May 2, 2022
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Josephine Nekesa (Guest) on April 24, 2022
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Peter Otieno (Guest) on March 29, 2022
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
Richard Mulwa (Guest) on March 16, 2022
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Margaret Anyango (Guest) on March 16, 2022
Hii imenichekesha sana! ππ
Elijah Mutua (Guest) on March 10, 2022
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Samson Mahiga (Guest) on January 5, 2022
π€£π₯π
Lydia Mzindakaya (Guest) on December 31, 2021
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Lydia Mahiga (Guest) on December 22, 2021
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
George Mallya (Guest) on December 15, 2021
ππ€£ππ
Joy Wacera (Guest) on November 23, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 17, 2021
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Nancy Kawawa (Guest) on July 24, 2021
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
Paul Kamau (Guest) on July 23, 2021
Hii ni kali sana! ππ€£
Joyce Aoko (Guest) on July 21, 2021
πππ π
Samuel Were (Guest) on July 20, 2021
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Lydia Wanyama (Guest) on June 28, 2021
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Faith Kariuki (Guest) on June 27, 2021
π€£π€£ππ
Agnes Njeri (Guest) on June 10, 2021
Hii imenibamba sana! π π€£
Salum (Guest) on May 28, 2021
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Edwin Ndambuki (Guest) on May 27, 2021
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Linda Karimi (Guest) on April 5, 2021
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Simon Kiprono (Guest) on March 26, 2021
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Grace Njuguna (Guest) on March 17, 2021
π€£ππ
John Kamande (Guest) on March 14, 2021
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
Lydia Wanyama (Guest) on March 11, 2021
π Bado ninacheka!
Esther Nyambura (Guest) on February 17, 2021
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Elizabeth Mrope (Guest) on February 13, 2021
ππ€£ππ
Anna Mahiga (Guest) on February 10, 2021
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Joseph Kiwanga (Guest) on January 20, 2021
Huyu alikuwa na point! ππ
Arifa (Guest) on January 17, 2021
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Jane Muthui (Guest) on January 10, 2021
Napenda jokes zenu! ππ
Michael Mboya (Guest) on December 4, 2020
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Lucy Kimotho (Guest) on December 3, 2020
Umetisha! ππ
Daudi (Guest) on November 26, 2020
π Umenishika vizuri!
Patrick Kidata (Guest) on November 19, 2020
πππ
Mary Sokoine (Guest) on November 8, 2020
π πππ
Mwanais (Guest) on November 5, 2020
π Kichekesho gani!
Sarafina (Guest) on October 30, 2020
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Michael Mboya (Guest) on October 29, 2020
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Moses Kipkemboi (Guest) on October 25, 2020
Hii imenifurahisha sana! ππ
Mwakisu (Guest) on October 13, 2020
π€£ Sikutarajia hiyo!
John Lissu (Guest) on September 12, 2020
Hii imenikuna sana! ππ
John Mwangi (Guest) on July 9, 2020
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Peter Mugendi (Guest) on June 29, 2020
Nimeipenda hii joke! ππ
Alice Mwikali (Guest) on May 25, 2020
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
John Mushi (Guest) on May 9, 2020
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
Michael Onyango (Guest) on May 2, 2020
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Anthony Kariuki (Guest) on April 28, 2020
π Umeshinda mtandao leo!
Alice Mwikali (Guest) on April 20, 2020
Nimefurahia sana hii! π π
Nancy Komba (Guest) on March 25, 2020
π Kicheko bora ya siku!
David Sokoine (Guest) on March 22, 2020
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Diana Mallya (Guest) on February 5, 2020
π Hii ni dhahabu!
Esther Nyambura (Guest) on February 2, 2020
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Sharifa (Guest) on January 4, 2020
π Nilihitaji kicheko hicho!
Rose Kiwanga (Guest) on December 19, 2019
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£