Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_edc8f8de4d055a059f5e30616bc4fefe, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_edc8f8de4d055a059f5e30616bc4fefe, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_edc8f8de4d055a059f5e30616bc4fefe, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_edc8f8de4d055a059f5e30616bc4fefe, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Featured Image

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dogo la Lap Top mkononi, sura inatazama Mbele Very Serious kama nipo kwenye Gwaride la Uhuru!..Mabega juu yanafanya Cheers na Mawingu!, natembea kwa madoido…..leo nimetoka Likizo Moshi,

"Brother Simu ya ukweli hii..kitu cha Tecno C9 bei poa" hii ilikuwa sauti ya Teja mmoja hivi!

Yaani huyu Teja Bwege kweli,anataka kumuuzia nani sabuni? mimi sio wa kuja!…kamwe Siwezi kuibiwa hapa Town,hakuna wizi au utapeli nisioujua!, Mimi nimezaliwa Mwananyamala kwa Manjunju, nikalelewa Tandale kwa Mtogole, Shule ya msingi nimesoma Turiani Magomeni, Hivi Mbwa gani aniibie?…kwa Style ipi?

Sipendi kabisa Upuuzi!, Wajinga ndio wataibiwa, sio Mimi!…sasa Kwa mwendo wa haraka nikatoka nje kabisa ya Stendi ya Ubungo straight mpaka Stendi ya dala dala za Kariakoo, hapo ndipo nikakutana na Vijana wawili wadogo wakiwa na mzani wa kupimia uzito,…hakika napenda sana vijana wanaojituma kama hawa na sio ile Mijizi ya kule ndani Stendi!!,….hapa sasa nikapata wazo!

"Dogo mnapima uzito kwa shilingi ngapi?''

"Mia mbili tu Kaka!"

''Ok"

Kwa mwendo wa kikakamavu nikapanda juu ya mzani,lengo hapa ni kujua uzito wangu, Mtori niliokula mwezi mzima kule kwa Mshekuu sio mchezo, hapa nahisi nacheza kwenye kg za John Cena,

"Mama wee! Dogo mzani mzima huu kweli? Mbona nina kilo 134?" (Nilihamaki)

"Aaah! Brother huoni umepanda na Mabegi juu ya mzani?'''

Hahaha! kweli nimechanganyikiwa!…Sasa nikatoa mabegi yote mawili na kurudi juu ya Mzani, hapa ndipo Uzito ukashuka kutoka kg 134 mpaka kg 56!…My God kweli Body la "One Pack " haliongopi! thats means mabegi yaliniongezea kg 78! duh hii ni hatari!

"Yaani we Dogo kitambi chote hiki kg 56? huu Mzani Mzima kweli?"

Kimya…

"Dogo huu Mzani vipi?"

Kimya…

Dogo ana dharau huyu!…Sasa ndio nikabandua macho yangu toka kwenye kioo cha mzani ili nimtazame huyu dogo asiyejibu!….ndipo macho yangu yakakutana na Kigoda tupu kilichochongwa Mvomero!…Dogo hakuwepo!….na Mabegi pia hayapo!…lap top haipo!….NIMEPIGWA!

Ni dhahiri watoto wa Mjini walikuwa wameniacha juu ya Mzani, wamechukua Lap top ya Milioni na wameniachia Mzani chakavu wa elfu 40, what a stress!….sasa nilirudisha macho kwenye kioo cha uzito na sasa kilisoma KG 38!…yaani dakika hii hii nimepungua kilo zingine 18, Hakiyamama nahisi hata utumbo wangu wamebeba!…niitieni Ambulance!

πŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌ

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_edc8f8de4d055a059f5e30616bc4fefe, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nahida (Guest) on July 10, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on June 25, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Rashid (Guest) on May 16, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Charles Mchome (Guest) on May 7, 2022

Asante Ackyshine

Agnes Lowassa (Guest) on May 2, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Josephine Nekesa (Guest) on April 24, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Otieno (Guest) on March 29, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on March 16, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on March 16, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on March 10, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on January 5, 2022

🀣πŸ”₯😊

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 31, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on December 22, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

George Mallya (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Joy Wacera (Guest) on November 23, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 17, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on July 24, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on July 23, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Aoko (Guest) on July 21, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Samuel Were (Guest) on July 20, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Lydia Wanyama (Guest) on June 28, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Faith Kariuki (Guest) on June 27, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on June 10, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Salum (Guest) on May 28, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Edwin Ndambuki (Guest) on May 27, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Linda Karimi (Guest) on April 5, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Simon Kiprono (Guest) on March 26, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on March 17, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

John Kamande (Guest) on March 14, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Lydia Wanyama (Guest) on March 11, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Esther Nyambura (Guest) on February 17, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Elizabeth Mrope (Guest) on February 13, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Mahiga (Guest) on February 10, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on January 20, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Arifa (Guest) on January 17, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Jane Muthui (Guest) on January 10, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on December 4, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on December 3, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Daudi (Guest) on November 26, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Patrick Kidata (Guest) on November 19, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mwanais (Guest) on November 5, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sarafina (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Michael Mboya (Guest) on October 29, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Moses Kipkemboi (Guest) on October 25, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwakisu (Guest) on October 13, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Lissu (Guest) on September 12, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

John Mwangi (Guest) on July 9, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on June 29, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on May 25, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

John Mushi (Guest) on May 9, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on May 2, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Anthony Kariuki (Guest) on April 28, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Alice Mwikali (Guest) on April 20, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Nancy Komba (Guest) on March 25, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

David Sokoine (Guest) on March 22, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Diana Mallya (Guest) on February 5, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Esther Nyambura (Guest) on February 2, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Sharifa (Guest) on January 4, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Rose Kiwanga (Guest) on December 19, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_edc8f8de4d055a059f5e30616bc4fefe, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact