Sidebar with Floating Button
AckySHINE Katoliki
AckyShine

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Featured Image

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Maria Bikira Milele, na mkubwa wa Familia Takatifu. Umechaguliwa na Mwakilishi wa Kristu kama Msimamizi wa kimbingu na mlinzi wa Kanisa alilolianzisha Kristu. Ndiyo maana ninakuomba kwa matumaini makuu usaidizi wako wenye nguvu kwa ajili ya Kanisa zima duniani.

Mlinde kwa namna ya pekee, kwa upendo wa kikweli wa ki-baba, Baba Mtakatifu na Maaskofu wote na Mapadre wenye ushirika na Kiti cha Petro. Uwe mlinzi wao wote wanaotumikia wokovu wa wanadamu kati ya majaribu na mahangaiko ya maisha haya, na utujalie kwamba watu wote wa dunia hii wamfuate Kristu na Kanisa alilolianzisha.


Mpendwa Mtakatifu Yosefu, ukubali majitoleo ya nafsi yangu ambayo sasa ninafanya. Ninajiweka wakfu kwako kwa ajili ya utumishi wako, ili daima wewe uwe baba yangu, mlinzi wangu, na kiongozi wangu katika njia ya wokovu. Unijalie usafi mkuu wa moyo na matamanio makuu ya maisha ya kiroho. Unijalie ili matendo yangu yote, kwa mfano wako, yawe kwa ajili ya sifa na utukufu wa Mungu, pamoja na Moyo wa kimungu wa Yesu, moyo safi wa Maria, na moyo wako wa ki-baba. Uniombee, nami nishiriki kifo chako cha furaha na kitakatifu.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Dorothy Nkya (Guest) on August 17, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Mwanaidi (Guest) on July 17, 2017

🙏🙏🙏

Michael Mboya (Guest) on May 23, 2017

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Daniel Obura (Guest) on March 6, 2017

🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe

Grace Mligo (Guest) on February 5, 2017

🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike

Peter Tibaijuka (Guest) on December 5, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Moses Kipkemboi (Guest) on November 17, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

David Chacha (Guest) on October 5, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Mary Njeri (Guest) on July 16, 2016

🙏❤️✨ Asante Mungu kwa kila kitu

Mercy Atieno (Guest) on June 2, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Joseph Mallya (Guest) on April 26, 2016

🙏🌟 Mungu akujalie amani

John Lissu (Guest) on April 25, 2016

🙏💖 Nakushukuru Mungu

Robert Okello (Guest) on April 17, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Mariam Kawawa (Guest) on April 13, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mercy Atieno (Guest) on March 25, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Anna Kibwana (Guest) on March 19, 2016

Rehema hushinda hukumu

Benjamin Masanja (Guest) on March 11, 2016

Mungu akubariki!

Grace Majaliwa (Guest) on November 1, 2015

🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku

Charles Mrope (Guest) on July 3, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

Grace Mligo (Guest) on May 31, 2015

🙏❤️ Mungu ni mkombozi

Nancy Kabura (Guest) on May 19, 2015

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Mary Mrope (Guest) on May 16, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Mary Mrope (Guest) on April 23, 2015

Amina

Related Posts

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact