Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.
Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.
Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=
Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.
Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.
Meneja akaja kuwasikiliza
Babu: " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"
Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "
Babu; "Lakini hatukuyatumia"
Manager; "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"
Babu: "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"
meneja: "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"
Babu: "Lakini sisi hatukuwasikiliza"
Meneja: "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"
Babu; aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,
Bibi akaandika akampa meneja.
Meneja anaangalia anaona sh. 50,000
Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"
Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"
Meneja akajibu; "Lakini sijalala"
Bibi :"ungeweza kama ungetaka"
Stephen Mushi (Guest) on February 22, 2022
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏🤣
Sharon Kibiru (Guest) on February 15, 2022
😅 Nilihitaji kicheko hicho!
Charles Mchome (Guest) on February 11, 2022
😂 Siwezi kuacha kucheka!
Moses Mwita (Guest) on January 6, 2022
😆 Naihifadhi hii!
Grace Mligo (Guest) on December 29, 2021
Mna talent ya jokes! 👏😂
Alice Mwikali (Guest) on December 26, 2021
😅😊😂👏
Simon Kiprono (Guest) on November 29, 2021
Hii imenifurahisha kweli! 😆😂
Victor Sokoine (Guest) on November 8, 2021
Umesema kweli! 👌😂
Charles Mboje (Guest) on September 22, 2021
Nimecheka hadi nimepata furaha! 😊😆
Edward Lowassa (Guest) on September 20, 2021
Nimecheka hadi nina furaha sana! 🤣😊
George Tenga (Guest) on September 10, 2021
😆😂👏
James Kimani (Guest) on August 30, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha! 😊😂
Samuel Were (Guest) on August 23, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄
Anthony Kariuki (Guest) on August 12, 2021
😂 Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Edward Chepkoech (Guest) on July 27, 2021
😅😂😄
Issack (Guest) on July 25, 2021
😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!
Agnes Sumaye (Guest) on June 24, 2021
🤣 Hii imenigonga vizuri!
Tabu (Guest) on June 17, 2021
😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Samuel Were (Guest) on June 12, 2021
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! 👏🤣
Patrick Akech (Guest) on June 11, 2021
😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!
Salma (Guest) on May 18, 2021
Hii kichekesho inastahili tuzo! 🏆
Francis Mtangi (Guest) on April 24, 2021
Kweli ni jokes za ukweli! 👏😆
Elijah Mutua (Guest) on April 3, 2021
Asante Ackyshine
Bernard Oduor (Guest) on March 29, 2021
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🤣
Lydia Mzindakaya (Guest) on March 17, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊
Edward Chepkoech (Guest) on March 3, 2021
Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆
Nahida (Guest) on February 24, 2021
😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Grace Wairimu (Guest) on February 5, 2021
Hii ni joke ya maana sana! 😂👌
Nancy Komba (Guest) on January 30, 2021
😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Nora Kidata (Guest) on January 1, 2021
😆👏😂😄
Tabu (Guest) on December 19, 2020
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! 😅
Vincent Mwangangi (Guest) on December 9, 2020
Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏😆
Josephine Nduta (Guest) on November 25, 2020
Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣
Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 7, 2020
Hii ni kali sana! 😂🤣
Tabu (Guest) on October 24, 2020
Hii ni dhahabu ya vichekesho! 😄
Salum (Guest) on September 24, 2020
🤣 Ujuzi wa hali ya juu!
Nicholas Wanjohi (Guest) on September 4, 2020
😂 Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Monica Adhiambo (Guest) on August 30, 2020
Umetisha! 👌😂
Ruth Mtangi (Guest) on August 26, 2020
😂🤣😆
Elizabeth Mtei (Guest) on August 17, 2020
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😊😅
Benjamin Kibicho (Guest) on July 20, 2020
😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!
Jacob Kiplangat (Guest) on July 8, 2020
Mna kipaji cha ucheshi! 👏😂
Fikiri (Guest) on July 4, 2020
😄 Umenishika vizuri!
Lucy Mahiga (Guest) on July 4, 2020
😂😅
James Kimani (Guest) on June 1, 2020
😆 Ninakufa hapa!
Agnes Sumaye (Guest) on May 25, 2020
Nimecheka kwa sauti! 🤣🤣
Michael Mboya (Guest) on May 12, 2020
Hii ni ya maana sana! 😂👌
Agnes Sumaye (Guest) on May 10, 2020
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂
Peter Mugendi (Guest) on April 17, 2020
🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!
Janet Mwikali (Guest) on April 11, 2020
Hizi jokes zinabamba sana! 😆😂
Jackson Makori (Guest) on March 25, 2020
Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂
Joy Wacera (Guest) on March 19, 2020
Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆
Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2020
😂🤣😆😅
Farida (Guest) on March 3, 2020
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉
Fadhila (Guest) on February 28, 2020
😂 Siwezi kuacha kucheka!
Peter Mugendi (Guest) on January 30, 2020
Hizi jokes ni za ukweli! 😆👍
Mercy Atieno (Guest) on January 15, 2020
Hii imenikuna! 😆😊
Anthony Kariuki (Guest) on January 6, 2020
Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂
Catherine Naliaka (Guest) on December 24, 2019
Nimefurahia hii sana! 😆😊
Elizabeth Mrema (Guest) on December 3, 2019
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣