Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b8453c47ada0930f952aee909085a0e7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b8453c47ada0930f952aee909085a0e7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b8453c47ada0930f952aee909085a0e7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b8453c47ada0930f952aee909085a0e7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Featured Image

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.





Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.





Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=





Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.





Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.





Meneja akaja kuwasikiliza





Babu: " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"





Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "





Babu; "Lakini hatukuyatumia"





Manager; "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"





Babu: "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"





meneja: "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"





Babu: "Lakini sisi hatukuwasikiliza"





Meneja: "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"





Babu; aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,





Bibi akaandika akampa meneja.





Meneja anaangalia anaona sh. 50,000





Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"





Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"





Meneja akajibu; "Lakini sijalala"





Bibi :"ungeweza kama ungetaka"


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b8453c47ada0930f952aee909085a0e7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Stephen Mushi (Guest) on February 22, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏🤣

Sharon Kibiru (Guest) on February 15, 2022

😅 Nilihitaji kicheko hicho!

Charles Mchome (Guest) on February 11, 2022

😂 Siwezi kuacha kucheka!

Moses Mwita (Guest) on January 6, 2022

😆 Naihifadhi hii!

Grace Mligo (Guest) on December 29, 2021

Mna talent ya jokes! 👏😂

Alice Mwikali (Guest) on December 26, 2021

😅😊😂👏

Simon Kiprono (Guest) on November 29, 2021

Hii imenifurahisha kweli! 😆😂

Victor Sokoine (Guest) on November 8, 2021

Umesema kweli! 👌😂

Charles Mboje (Guest) on September 22, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! 😊😆

Edward Lowassa (Guest) on September 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🤣😊

George Tenga (Guest) on September 10, 2021

😆😂👏

James Kimani (Guest) on August 30, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! 😊😂

Samuel Were (Guest) on August 23, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄

Anthony Kariuki (Guest) on August 12, 2021

😂 Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Edward Chepkoech (Guest) on July 27, 2021

😅😂😄

Issack (Guest) on July 25, 2021

😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!

Agnes Sumaye (Guest) on June 24, 2021

🤣 Hii imenigonga vizuri!

Tabu (Guest) on June 17, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Samuel Were (Guest) on June 12, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! 👏🤣

Patrick Akech (Guest) on June 11, 2021

😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!

Salma (Guest) on May 18, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! 🏆

Francis Mtangi (Guest) on April 24, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! 👏😆

Elijah Mutua (Guest) on April 3, 2021

Asante Ackyshine

Bernard Oduor (Guest) on March 29, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🤣

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 17, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊

Edward Chepkoech (Guest) on March 3, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆

Nahida (Guest) on February 24, 2021

😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Grace Wairimu (Guest) on February 5, 2021

Hii ni joke ya maana sana! 😂👌

Nancy Komba (Guest) on January 30, 2021

😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nora Kidata (Guest) on January 1, 2021

😆👏😂😄

Tabu (Guest) on December 19, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! 😅

Vincent Mwangangi (Guest) on December 9, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏😆

Josephine Nduta (Guest) on November 25, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 7, 2020

Hii ni kali sana! 😂🤣

Tabu (Guest) on October 24, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! 😄

Salum (Guest) on September 24, 2020

🤣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 4, 2020

😂 Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Monica Adhiambo (Guest) on August 30, 2020

Umetisha! 👌😂

Ruth Mtangi (Guest) on August 26, 2020

😂🤣😆

Elizabeth Mtei (Guest) on August 17, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😊😅

Benjamin Kibicho (Guest) on July 20, 2020

😆 Bado nacheka, siwezi kuacha!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 8, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! 👏😂

Fikiri (Guest) on July 4, 2020

😄 Umenishika vizuri!

Lucy Mahiga (Guest) on July 4, 2020

😂😅

James Kimani (Guest) on June 1, 2020

😆 Ninakufa hapa!

Agnes Sumaye (Guest) on May 25, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🤣🤣

Michael Mboya (Guest) on May 12, 2020

Hii ni ya maana sana! 😂👌

Agnes Sumaye (Guest) on May 10, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Peter Mugendi (Guest) on April 17, 2020

🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Janet Mwikali (Guest) on April 11, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! 😆😂

Jackson Makori (Guest) on March 25, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂

Joy Wacera (Guest) on March 19, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆

Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2020

😂🤣😆😅

Farida (Guest) on March 3, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉

Fadhila (Guest) on February 28, 2020

😂 Siwezi kuacha kucheka!

Peter Mugendi (Guest) on January 30, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! 😆👍

Mercy Atieno (Guest) on January 15, 2020

Hii imenikuna! 😆😊

Anthony Kariuki (Guest) on January 6, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂

Catherine Naliaka (Guest) on December 24, 2019

Nimefurahia hii sana! 😆😊

Elizabeth Mrema (Guest) on December 3, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Related Posts

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b8453c47ada0930f952aee909085a0e7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact