Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?





ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe Nehemiah ??
Nehemiah : mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"
Akameza mate kisha akaendelea….
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa Nehemiah .!!


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Henry Sokoine (Guest) on April 8, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on April 3, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on March 13, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Sumaya (Guest) on March 3, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on February 21, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on February 14, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Grace Mushi (Guest) on February 11, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on January 25, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on January 9, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mtei (Guest) on December 26, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kangethe (Guest) on December 18, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Kevin Maina (Guest) on December 17, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Thomas Mtaki (Guest) on December 14, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on October 30, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on October 20, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on October 16, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on October 14, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Linda Karimi (Guest) on October 13, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on September 13, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on August 28, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Nancy Kabura (Guest) on August 19, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Salum (Guest) on July 30, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Victor Kimario (Guest) on July 16, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mashaka (Guest) on June 22, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Victor Malima (Guest) on May 19, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on May 1, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on April 22, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on March 30, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Simon Kiprono (Guest) on March 28, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on March 28, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Alice Jebet (Guest) on February 23, 2020

😊🀣πŸ”₯

Rose Amukowa (Guest) on February 2, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 22, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rukia (Guest) on January 12, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on December 22, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on December 5, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

James Kimani (Guest) on November 19, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Philip Nyaga (Guest) on October 7, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Elijah Mutua (Guest) on August 27, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Bahati (Guest) on August 19, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Francis Mtangi (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nora Lowassa (Guest) on July 13, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Elijah Mutua (Guest) on July 5, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Kenneth Murithi (Guest) on July 4, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Henry Sokoine (Guest) on June 16, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Elizabeth Malima (Guest) on June 11, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Kenneth Murithi (Guest) on May 24, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Henry Mollel (Guest) on May 17, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 12, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on April 9, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on April 7, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on March 18, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on February 7, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Monica Adhiambo (Guest) on February 5, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on February 4, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on January 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Amir (Guest) on January 2, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on December 12, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3