Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!
Date: December 20, 2015
Author: Melkisedeck Leon Shine
Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?
ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe Nehemiah ??
Nehemiah : mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiweβ¦β¦"
Akameza mate kisha akaendeleaβ¦.
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa Nehemiah .!!
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Kumkomoaβ¦
MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M...
Read More
Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,
Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000....
Read More
Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b...
Read More
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.
...
Read More
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha!
MKE; Vipi leo mbona mpole?
MUME; Ofisi yetu imeungua ...
Read More
Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya
KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO...
Read More
GARLFREND»»hellow sweetheart
BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)
GARLFRENDΒ»...
Read More
GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJEβ¦
mke wa laki sita
unalala nae ndaniβ¦.
BANG...
Read More
Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.
Anaweza kukuacha kwa s...
Read More
Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu
Dah!!
Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani,
mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ...
Read More
Unakuta MTU mwaka Mzima
Umehudhuria,Β birthday...
Read More
Henry Sokoine (Guest) on April 8, 2021
π πππ
Victor Sokoine (Guest) on April 3, 2021
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Mwanahawa (Guest) on March 13, 2021
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Sumaya (Guest) on March 3, 2021
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Charles Wafula (Guest) on February 21, 2021
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Alice Jebet (Guest) on February 14, 2021
π€£ππ
Grace Mushi (Guest) on February 11, 2021
π€£π€£π
Sarah Karani (Guest) on January 25, 2021
ππ€£ππ
Robert Okello (Guest) on January 9, 2021
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Elizabeth Mtei (Guest) on December 26, 2020
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Stephen Kangethe (Guest) on December 18, 2020
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
Kevin Maina (Guest) on December 17, 2020
Nimecheka hadi nina furaha sana! π€£π
Thomas Mtaki (Guest) on December 14, 2020
Hii imenikuna sana! ππ
Rose Mwinuka (Guest) on October 30, 2020
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
Irene Makena (Guest) on October 20, 2020
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Anna Mchome (Guest) on October 16, 2020
Nimefurahia hii sana! ππ
Chris Okello (Guest) on October 14, 2020
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
Linda Karimi (Guest) on October 13, 2020
Umesema kweli! ππ
Edward Chepkoech (Guest) on September 13, 2020
π€£π€£ππ
Isaac Kiptoo (Guest) on August 28, 2020
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Nancy Kabura (Guest) on August 19, 2020
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Rose Lowassa (Guest) on July 31, 2020
ππ€£ππ
Salum (Guest) on July 30, 2020
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Victor Kimario (Guest) on July 16, 2020
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Mashaka (Guest) on June 22, 2020
π Kichekesho kamili!
Victor Malima (Guest) on May 19, 2020
πππ€£
Elizabeth Mtei (Guest) on May 1, 2020
π Kali sana!
Ruth Wanjiku (Guest) on April 22, 2020
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Lucy Kimotho (Guest) on March 30, 2020
π Hiyo punchline!
Simon Kiprono (Guest) on March 28, 2020
Nimefurahia sana hii joke! π π
Charles Mchome (Guest) on March 28, 2020
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Alice Jebet (Guest) on February 23, 2020
ππ€£π₯
Rose Amukowa (Guest) on February 2, 2020
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Nicholas Wanjohi (Guest) on January 22, 2020
Huyu alikuwa na point! ππ
Rukia (Guest) on January 12, 2020
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Irene Akoth (Guest) on December 22, 2019
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Edith Cherotich (Guest) on December 5, 2019
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
James Kimani (Guest) on November 19, 2019
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Philip Nyaga (Guest) on October 7, 2019
πππ
Elijah Mutua (Guest) on August 27, 2019
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Bahati (Guest) on August 19, 2019
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Francis Mtangi (Guest) on July 19, 2019
π Hii ni ya kuhifadhi!
Nora Lowassa (Guest) on July 13, 2019
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Elijah Mutua (Guest) on July 5, 2019
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Kenneth Murithi (Guest) on July 4, 2019
π€£ Sikutarajia hiyo!
Henry Sokoine (Guest) on June 16, 2019
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Elizabeth Malima (Guest) on June 11, 2019
π Ninacheka sana sasa hivi!
Kenneth Murithi (Guest) on May 24, 2019
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Henry Mollel (Guest) on May 17, 2019
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Joseph Kiwanga (Guest) on May 12, 2019
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Nancy Kawawa (Guest) on April 9, 2019
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Frank Sokoine (Guest) on April 7, 2019
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
Mary Njeri (Guest) on March 24, 2019
ππ
Agnes Sumaye (Guest) on March 18, 2019
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Elijah Mutua (Guest) on February 7, 2019
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Monica Adhiambo (Guest) on February 5, 2019
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Charles Mchome (Guest) on February 4, 2019
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Patrick Mutua (Guest) on January 14, 2019
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Amir (Guest) on January 2, 2019
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Frank Macha (Guest) on December 12, 2018
Hii imenikuna! ππ