Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.
MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week
(Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS): Dear hakuna tution wiki hii nakuja kwako…..

BOSS anamwambia sekretari wake: Siendi Serena tena coz mjukuu wangu atanitembelea.
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena
MUME (anampigia Mpango): dah! mpenzi, huyu mke wangu haendi tena. Shit! So hadi next time plz
Mpango wa kando a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi): Darasa kama kawaida sorry for the earlier message.
MWANAFUNZI: darling tution inaendelea kumbe, so nakuja wiki ijayo!!
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya Serena iko palepale……

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lydia Mutheu (Guest) on March 15, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Aziza (Guest) on March 12, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Lydia Mahiga (Guest) on March 7, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Andrew Odhiambo (Guest) on February 24, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on January 26, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mwanakhamis (Guest) on January 26, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Rose Kiwanga (Guest) on January 1, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

John Kamande (Guest) on December 22, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on December 17, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on November 14, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on November 11, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kazija (Guest) on October 18, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Shukuru (Guest) on September 23, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Monica Nyalandu (Guest) on September 1, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on August 20, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on June 25, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on May 31, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sarah Karani (Guest) on May 21, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Wande (Guest) on April 26, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Moses Kipkemboi (Guest) on April 25, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Tambwe (Guest) on April 16, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwanaisha (Guest) on April 11, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Mahiga (Guest) on March 29, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nora Lowassa (Guest) on March 23, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on March 22, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on February 1, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Maida (Guest) on January 15, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Charles Wafula (Guest) on December 28, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rahim (Guest) on December 13, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Thomas Mtaki (Guest) on December 3, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on November 6, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on September 24, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Mwajabu (Guest) on September 22, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Peter Mwambui (Guest) on July 27, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Shamim (Guest) on May 22, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Mariam Hassan (Guest) on May 9, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Lucy Mushi (Guest) on March 6, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on February 13, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on February 9, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Catherine Mkumbo (Guest) on January 30, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 14, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Safiya (Guest) on January 7, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Benjamin Kibicho (Guest) on January 4, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Baraka (Guest) on January 1, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lucy Kimotho (Guest) on December 14, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

John Mwangi (Guest) on December 4, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Nahida (Guest) on November 23, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on November 5, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mashaka (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Grace Majaliwa (Guest) on October 20, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on October 10, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mary Kidata (Guest) on October 3, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Diana Mallya (Guest) on October 1, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Athumani (Guest) on September 10, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Kawawa (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Benjamin Masanja (Guest) on August 20, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Patrick Kidata (Guest) on July 10, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ann Awino (Guest) on June 1, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles