
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina.
Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.
Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.
Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.
Wakaingia msituni kila mtu njia yake.
β¦ Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa.
Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini⦠alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa.
Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, βVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?β
Mkenya akamjibu: βMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!β
Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.
Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.
Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.
Wakaingia msituni kila mtu njia yake.
β¦ Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa.
Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini⦠alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa.
Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, βVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?β
Mkenya akamjibu: βMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!β
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Zuhura (Guest) on September 2, 2021
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Monica Nyalandu (Guest) on August 19, 2021
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Joyce Mussa (Guest) on August 6, 2021
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Simon Kiprono (Guest) on July 31, 2021
πππ π€£
Peter Otieno (Guest) on July 29, 2021
π Hiyo punchline!
Josephine (Guest) on July 24, 2021
π Hii ni hazina ya kichekesho!
Abdullah (Guest) on July 18, 2021
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Nuru (Guest) on July 8, 2021
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Rose Lowassa (Guest) on June 23, 2021
Hii imenibamba sana! ππ
Elijah Mutua (Guest) on June 16, 2021
π Bado nacheka!
Alice Mrema (Guest) on June 14, 2021
ππππ
Mary Njeri (Guest) on June 3, 2021
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
David Nyerere (Guest) on May 28, 2021
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Lydia Mzindakaya (Guest) on May 2, 2021
πππ
Andrew Odhiambo (Guest) on April 27, 2021
Umetisha! ππ
Hassan (Guest) on April 11, 2021
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Francis Njeru (Guest) on April 11, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Sharifa (Guest) on March 26, 2021
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Joyce Aoko (Guest) on March 24, 2021
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Anthony Kariuki (Guest) on March 8, 2021
π Nalia kwa kweli hapa!
Victor Mwalimu (Guest) on March 6, 2021
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Victor Kimario (Guest) on March 1, 2021
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Elizabeth Mrope (Guest) on February 28, 2021
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
Rose Waithera (Guest) on February 20, 2021
π€£ππ
Nora Lowassa (Guest) on February 13, 2021
πππ€£
Abdullah (Guest) on February 13, 2021
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Janet Sumaye (Guest) on February 4, 2021
Hii imenichekesha sana! π€£π
Fredrick Mutiso (Guest) on January 28, 2021
π Kali sana!
Zawadi (Guest) on January 23, 2021
π Nitaiiba hii bila shaka!
Richard Mulwa (Guest) on January 14, 2021
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Khatib (Guest) on January 2, 2021
π Nilihitaji hii!
Vincent Mwangangi (Guest) on January 1, 2021
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Lucy Mushi (Guest) on December 15, 2020
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Salum (Guest) on December 11, 2020
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Fadhili (Guest) on November 6, 2020
π Ninashiriki mara moja!
George Mallya (Guest) on October 10, 2020
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Victor Sokoine (Guest) on September 22, 2020
Hii ni bomba sana! π€£π
Lucy Wangui (Guest) on September 9, 2020
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Lydia Mutheu (Guest) on August 16, 2020
ππ€£ππ
Irene Akoth (Guest) on August 4, 2020
ππ€£ππ
Ali (Guest) on July 21, 2020
π Kali sana!
Alice Wanjiru (Guest) on July 17, 2020
Hii imenikuna sana! ππ
Josephine Nekesa (Guest) on June 15, 2020
ππ€£ππ
Lydia Wanyama (Guest) on June 10, 2020
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Christopher Oloo (Guest) on May 23, 2020
π ππ
Edward Lowassa (Guest) on May 14, 2020
Asante Ackyshine
Agnes Njeri (Guest) on April 18, 2020
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Esther Cheruiyot (Guest) on April 16, 2020
ππ€£π₯
Joyce Mussa (Guest) on April 12, 2020
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Ann Awino (Guest) on March 20, 2020
π Umenishika vizuri!
Patrick Akech (Guest) on March 7, 2020
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Yusuf (Guest) on February 21, 2020
π Siwezi kuacha kucheka!
Mwanais (Guest) on February 16, 2020
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Agnes Njeri (Guest) on January 5, 2020
π Kicheko bora ya siku!
Bernard Oduor (Guest) on January 2, 2020
Hii ni kali sana! ππ€£
Diana Mumbua (Guest) on December 27, 2019
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Zuhura (Guest) on December 26, 2019
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Ndoto (Guest) on December 22, 2019
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Elizabeth Malima (Guest) on December 20, 2019
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Michael Mboya (Guest) on November 27, 2019
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£