Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ilikuwa kwenye shelf ya chini, wakati anainama apate kuitazama vizuri kwa bahati mbaya (au nzuri!), shuzi likamtoka- druuuuuu, soni ikamuingia huku akigeuka haraka kuangalia kama kuna yeyote dukani pale ameliskia shuzi lake, macho yakagongana na mwenye duka ambaye alikuwa karibu huku uso ukiwa umejaa tabasamu zito, mwana mama hakuwa na uhakika kama amesikika au hakusikika, akaona atumie nafasi ile kuyeyusha…Akauliza "Hii pete bei gani?" . Jamaa mwenye duka, huku akiangua kicheko, akajibu "Umeiona tu umejamba, je nikikuambia bei yake si utakunya kabisa?"
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 31, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Alice Mwikali (Guest) on October 28, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Agnes Sumaye (Guest) on October 24, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on October 16, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Rubea (Guest) on October 11, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Patrick Kidata (Guest) on October 6, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on August 6, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on June 13, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ann Awino (Guest) on May 25, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mwagonda (Guest) on March 30, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Samuel Were (Guest) on March 20, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mzee (Guest) on March 17, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Henry Sokoine (Guest) on February 26, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on February 15, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on February 1, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Margaret Mahiga (Guest) on January 21, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on January 21, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Mwangi (Guest) on January 8, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on December 19, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Lucy Mahiga (Guest) on December 14, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on November 26, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nashon (Guest) on November 14, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Zakia (Guest) on November 8, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on October 23, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on October 18, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Elizabeth Mrema (Guest) on October 16, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Victor Sokoine (Guest) on September 15, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on August 26, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Omar (Guest) on August 7, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Grace Minja (Guest) on July 23, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on July 5, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Chris Okello (Guest) on June 26, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on June 20, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Baraka (Guest) on June 17, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Lucy Wangui (Guest) on June 13, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Tabu (Guest) on May 19, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Benjamin Kibicho (Guest) on May 18, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Zakia (Guest) on May 18, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Francis Njeru (Guest) on May 1, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Raphael Okoth (Guest) on May 1, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on March 9, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Thomas Mtaki (Guest) on March 3, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on February 23, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Sarah Achieng (Guest) on February 20, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Michael Mboya (Guest) on February 20, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Grace Majaliwa (Guest) on February 19, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on January 16, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on December 23, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Martin Otieno (Guest) on November 29, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Tambwe (Guest) on November 10, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on November 6, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Philip Nyaga (Guest) on October 10, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Alex Nyamweya (Guest) on October 9, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on September 22, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

John Mwangi (Guest) on September 18, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on September 4, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on August 28, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on July 22, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on July 11, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on June 28, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Related Posts

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.