Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua
Date: August 19, 2015
Author: Melkisedeck Leon Shine
Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..
Kwa wanywaji wazuri wa bia,
chupa ya kwanza πΊ huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza kooβ¦ Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu yake.
chupa ya pili πΊπΊ kimsingi ndipo mazungumzo ya awali na wanywaji jirani huanza na haya huwa mazungumzo ya busara, yakihusu muelekeo wa ligi mbalimbali, siasa, idadi za ajali na kadhalika na wakati huu hata takwimu hutolewa zilizo sahihiβ¦.
Mtu anaweza kukutajia wachezaji wote wa ligi daraja la tatu la huko Ujerumani bila kukosea, hata idadi ya wachezaji wa Yanga bila kukosea.. Ila wakati huu kama unaanzisha mashindano ya kucheua ni wakati mzuri kwani bia ya pili huongeza hisia za kucheua.
Bia ya tatu πΊπΊπΊ huanza kumfanya mnywaji aanze kusikia furaha na pia huu huwa wakati ambapo karanga na korosho huliwa sanaβ¦. Pamoja na mazungumzo kuhusu mpira na siasa, ghafla mazungumzo kuhusu michepuko huanza kujitokezaβ¦..
Bia ya nne πΊπΊπΊπΊ huanza kusababisha masikio yaanze kupoteza nguvu za kusikia kwani utaona mnywaji ghafla amepandisha sauti, na ukijumlisha na kuwa baa zetu huwa na muziki una kelele utadhani waliopo wote wana matatizo ya kusikiaβ¦.. bia hii humsaidia kuongea kwa nguvu kushindana na kelele za muziki.
Bia ya tano πΊπΊπΊπΊπΊ ni hatari kidogo kwani ukiinuka kwenda chooni mara nyingi unarudi hujafunga zipuβ¦β¦na kipindi hiki ni kibaya kwa wanywaji wa kike maana unaweza kumkuta akienda chooni akijiangalia kwenye kioo anaanza kulia peke yake na kulalamika; βMi sipendwi mpaka leo sijaolewaβ au β Mume wangu sijui yukoje hanijaliβ
Japokuwa lazima isemwe ukweli ukifikisha bia hii, maisha ni raha sana unaweza ukaanzisha shoo ya kukata mauno katikati ya baa na kudai wewe ni mkali kuliko Shilole.
Kuanzia bia ya sita πΊπΊπΊπΊπΊπΊ na kuendelea, chochote utakachosema au kufanya ni wazi kesho yake asubuhi utajilaumu sana. β¦β¦. β¦Kuna watu husema ukilewa ndipo unakuwa mkweli, hivyo basi wakati huu hata bosi wako akitokeza unamueleza ukweli jinsi alivyo fala na hajui kuendesha kampuni.
Au unasema ukweli jinsi unavyompenda mke wa jirani yako ambaye mmekaa mnakunywa naye. Kimsingi uwezekano wa kutapika pia upo karibu na kama umekaa na mchumba wako huu ni muda ambao pia uchumba unaweza kuvunjikaβ¦β¦.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa akaona huyo B...
Read More
Kiingereza shidaaaaβ¦β¦!
Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha...
Read More
Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa...
Read More
Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ...
Read More
Angalia kilichotokea
Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "...
Read More
Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki...
Read More
Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.
Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat...
Read More
Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;
Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu...
Read More
Angalia hivi
-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ...
Read More
Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we ...
Read More
Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k...
Read More
Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line
3
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line
3
George Ndungu (Guest) on November 6, 2021
π Naihifadhi hii!
Mariam Hassan (Guest) on October 11, 2021
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Michael Onyango (Guest) on September 24, 2021
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Jane Muthoni (Guest) on September 23, 2021
ππ€£ππ
Salma (Guest) on September 4, 2021
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Grace Majaliwa (Guest) on August 31, 2021
π Kali sana!
Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 16, 2021
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Jacob Kiplangat (Guest) on July 28, 2021
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Stephen Amollo (Guest) on July 3, 2021
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Sarah Mbise (Guest) on June 6, 2021
π€£ Hii imewaka moto!
Rahma (Guest) on May 15, 2021
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Linda Karimi (Guest) on April 8, 2021
π πππ
Lydia Mzindakaya (Guest) on March 25, 2021
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Patrick Kidata (Guest) on March 22, 2021
Hii imenifurahisha sana! ππ
Simon Kiprono (Guest) on March 1, 2021
Hii imenichekesha sana! ππ
Margaret Anyango (Guest) on February 20, 2021
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Nancy Kabura (Guest) on February 15, 2021
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Elizabeth Mtei (Guest) on January 9, 2021
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
Charles Wafula (Guest) on January 7, 2021
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Francis Mrope (Guest) on January 1, 2021
π Umenishika vizuri!
John Lissu (Guest) on December 11, 2020
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Jacob Kiplangat (Guest) on November 21, 2020
Nimefurahia hii sana! ππ
Peter Mwambui (Guest) on November 15, 2020
πππ
Patrick Kidata (Guest) on November 8, 2020
πππ π€£
Wilson Ombati (Guest) on November 4, 2020
π€£ππ
Anna Malela (Guest) on October 30, 2020
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Charles Mrope (Guest) on October 26, 2020
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Mercy Atieno (Guest) on October 7, 2020
Hii imenikuna sana! ππ
James Malima (Guest) on October 6, 2020
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Hekima (Guest) on October 5, 2020
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Francis Njeru (Guest) on September 30, 2020
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Philip Nyaga (Guest) on September 10, 2020
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Edward Chepkoech (Guest) on August 21, 2020
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Rose Lowassa (Guest) on August 15, 2020
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Anna Mahiga (Guest) on August 11, 2020
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Patrick Akech (Guest) on July 31, 2020
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Lydia Mzindakaya (Guest) on July 22, 2020
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Sarah Karani (Guest) on July 16, 2020
π Hii ni ya kuhifadhi!
Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 1, 2020
π Dhahabu ya vichekesho!
Sharifa (Guest) on June 29, 2020
π Kali sana!
Lucy Mushi (Guest) on June 11, 2020
π Siwezi kuacha kucheka!
Francis Njeru (Guest) on June 1, 2020
π Ninakufa hapa!
Richard Mulwa (Guest) on May 26, 2020
πππ€£
Yusra (Guest) on May 26, 2020
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
Patrick Akech (Guest) on May 21, 2020
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Muslima (Guest) on May 11, 2020
π Kicheko bora ya siku!
Mwalimu (Guest) on May 3, 2020
π Hiyo punchline!
Andrew Odhiambo (Guest) on April 23, 2020
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Sarafina (Guest) on April 13, 2020
π€£ Sikutarajia hiyo!
Fatuma (Guest) on April 3, 2020
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Mwafirika (Guest) on March 12, 2020
π Nalia kwa kweli hapa!
Ibrahim (Guest) on February 14, 2020
π Nilihitaji hii!
Francis Njeru (Guest) on February 2, 2020
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Grace Minja (Guest) on February 2, 2020
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Josephine (Guest) on January 31, 2020
π Nacheka hadi nalia!
Khamis (Guest) on January 17, 2020
π Hii ni kali sana!
Anthony Kariuki (Guest) on January 8, 2020
π Nimeipenda kabisa hii!
Faith Kariuki (Guest) on January 5, 2020
Nimeipenda hii joke! ππ
Stephen Amollo (Guest) on December 22, 2019
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Charles Wafula (Guest) on December 17, 2019
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ