Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Featured Image

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo maarufu
ya kwenye daladala.

1.Yatima hadeki
2.Utamu wa chips mimba
3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni
4. Usiyempenda kaja
5. Kobe hapimwi joto
6. Acha kazi uone kaz kupata kaz
7. Ukichezea koki utalowa
8. Heshima pesa kipara kovu tu!
9. Mtumbwi hauna saitmira.
9. Silaha pesa bastola mzigo
10. Hata uoge mjini huendi
11. Chezea mshahara usichezee kazi.
12. Ukiona manyoya ujue kishaliwa
13. Ikisimama Panda
14. Pombe pombe tuu kunywea bar mbwebwe
15. Njia ya chooni haioti nyasi
16. Likizo ya maskini ugonjwa
17. When i grow up i want to be a scania
18. Hata bibi alikuwa binti
19. Kisigino hakikai mbele
20. Kama mapenz pesa kaolewe na benki
21. Hata barabara ina matuta lakin huwez panda viazi
22. Mavi hayana miba lakin ukikanyaga lazma uchechemee
23. Paka haishi kwa msela
24. Ukipendwa ujue kuna boya kaachwa
25. NIPO NIPO KWANZA
26. Mchana nzi ucku mbu
27. Ucmshangae funza kukata viuno ndio mwendo wake
28. Kama umelipenda(gari) bonyeza nyota liwe lako
29. Supermarket hawauzi mkaa
30. We nisubiri mi nakungoja.
31. Zetu dagaa kuku tamaa
32. Hata uwe na heshima vipi huwezi kumpokea askari bunduki
H
😆😆😆😆😜😜😜😝😝😝

Share na wenzako kuongeza siku za kuishi

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mwanais (Guest) on October 15, 2021

😄 Kali sana!

Lydia Mutheu (Guest) on October 6, 2021

😂 Ninaihifadhi hii!

John Kamande (Guest) on September 28, 2021

🤣😄😊

Lydia Wanyama (Guest) on September 22, 2021

😆😂😊

Jane Muthui (Guest) on September 19, 2021

Hii imenibamba sana! 😅🤣

Kevin Maina (Guest) on September 19, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄

Anna Sumari (Guest) on September 10, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! 😊😂

Josephine Nduta (Guest) on September 2, 2021

😂 Kali sana!

Joseph Mallya (Guest) on August 18, 2021

Nimecheka hadi machozi 🤣😭

Paul Kamau (Guest) on July 14, 2021

Umetisha! 👌😂

Alice Mwikali (Guest) on June 17, 2021

Hii ni ya maana sana! 😂👌

Rose Mwinuka (Guest) on June 8, 2021

Hii imenifurahisha sana! 😊😅

George Mallya (Guest) on June 3, 2021

🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Khalifa (Guest) on May 29, 2021

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Robert Okello (Guest) on May 28, 2021

Umesema kweli! 👌😂

Joseph Kitine (Guest) on May 10, 2021

😄 Dhahabu ya vichekesho!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 9, 2021

😆 Nacheka hadi chini sasa hivi!

Jackson Makori (Guest) on April 29, 2021

Nimeipenda hii joke! 😄😂

Alice Mwikali (Guest) on April 27, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉

Monica Adhiambo (Guest) on April 16, 2021

Nimefurahia sana hii joke! 😅😂

Betty Kimaro (Guest) on April 11, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏🤣

Ruth Mtangi (Guest) on March 1, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! 😄😂

Paul Kamau (Guest) on February 21, 2021

Nimefurahia hii sana! 😆😊

Abubakar (Guest) on January 7, 2021

😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mohamed (Guest) on December 25, 2020

😆 Naihifadhi hii!

Kassim (Guest) on November 21, 2020

😂 Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Nancy Kawawa (Guest) on November 4, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😂

Grace Mushi (Guest) on October 17, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! 😊😄

Monica Lissu (Guest) on September 13, 2020

🤣🤣😄😆

Benjamin Masanja (Guest) on September 6, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Nancy Komba (Guest) on August 26, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! 😊😆

Mary Mrope (Guest) on August 4, 2020

😂🤣😂😅

John Kamande (Guest) on July 22, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

John Lissu (Guest) on July 12, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 25, 2020

😊😂🤣

Wilson Ombati (Guest) on June 15, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😂😅

Jamila (Guest) on June 14, 2020

😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Victor Kimario (Guest) on May 25, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆

Elizabeth Mrema (Guest) on April 28, 2020

😂🤣😆👏

Charles Mrope (Guest) on April 21, 2020

😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!

Hassan (Guest) on April 7, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Andrew Mahiga (Guest) on March 28, 2020

Napenda jokes zenu! 😊😅

Anna Malela (Guest) on March 24, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😅

Sumaya (Guest) on March 19, 2020

😄 Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Azima (Guest) on March 18, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Zakaria (Guest) on March 16, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Jane Muthoni (Guest) on March 1, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂😆

Samuel Omondi (Guest) on February 14, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! 😄😅

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 7, 2020

😅 Nilihitaji hii!

Peter Mugendi (Guest) on February 4, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Samson Mahiga (Guest) on February 2, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Raha (Guest) on January 23, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! 😂

Charles Wafula (Guest) on December 22, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Mariam (Guest) on December 15, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! 😆

Aziza (Guest) on December 8, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂

Mercy Atieno (Guest) on December 1, 2019

Mna talent ya jokes! 👏😂

Nancy Kabura (Guest) on November 26, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Betty Kimaro (Guest) on November 14, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏🤣

Jafari (Guest) on October 11, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆

Nancy Akumu (Guest) on September 21, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! 😄

Related Posts

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Sababu ya girlfriend 👧 kuniblock

Sababu ya girlfriend 👧 kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3