Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala
Date: August 17, 2021
Author: SW - Melkisedeck Shine
Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo maarufu
ya kwenye daladala.
1.Yatima hadeki
2.Utamu wa chips mimba
3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni
4. Usiyempenda kaja
5. Kobe hapimwi joto
6. Acha kazi uone kaz kupata kaz
7. Ukichezea koki utalowa
8. Heshima pesa kipara kovu tu!
9. Mtumbwi hauna saitmira.
9. Silaha pesa bastola mzigo
10. Hata uoge mjini huendi
11. Chezea mshahara usichezee kazi.
12. Ukiona manyoya ujue kishaliwa
13. Ikisimama Panda
14. Pombe pombe tuu kunywea bar mbwebwe
15. Njia ya chooni haioti nyasi
16. Likizo ya maskini ugonjwa
17. When i grow up i want to be a scania
18. Hata bibi alikuwa binti
19. Kisigino hakikai mbele
20. Kama mapenz pesa kaolewe na benki
21. Hata barabara ina matuta lakin huwez panda viazi
22. Mavi hayana miba lakin ukikanyaga lazma uchechemee
23. Paka haishi kwa msela
24. Ukipendwa ujue kuna boya kaachwa
25. NIPO NIPO KWANZA
26. Mchana nzi ucku mbu
27. Ucmshangae funza kukata viuno ndio mwendo wake
28. Kama umelipenda(gari) bonyeza nyota liwe lako
29. Supermarket hawauzi mkaa
30. We nisubiri mi nakungoja.
31. Zetu dagaa kuku tamaa
32. Hata uwe na heshima vipi huwezi kumpokea askari bunduki
H
😆😆😆😆😜😜😜😝😝😝
Share na wenzako kuongeza siku za kuishi
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ...
Read More
Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…
1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa...
Read More
Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et
"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"
Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu...
Read More
Kumkomoa…
MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M...
Read More
Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M...
Read More
Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..
Kwa wanywaji wazuri wa bia,
chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet...
Read More
Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua...
Read More
Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ...
Read More
*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata...
Read More
Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume...
Read More
Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there...
Read More
Mwanais (Guest) on October 15, 2021
😄 Kali sana!
Lydia Mutheu (Guest) on October 6, 2021
😂 Ninaihifadhi hii!
John Kamande (Guest) on September 28, 2021
🤣😄😊
Lydia Wanyama (Guest) on September 22, 2021
😆😂😊
Jane Muthui (Guest) on September 19, 2021
Hii imenibamba sana! 😅🤣
Kevin Maina (Guest) on September 19, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😄
Anna Sumari (Guest) on September 10, 2021
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! 😊😂
Josephine Nduta (Guest) on September 2, 2021
😂 Kali sana!
Joseph Mallya (Guest) on August 18, 2021
Nimecheka hadi machozi 🤣😭
Paul Kamau (Guest) on July 14, 2021
Umetisha! 👌😂
Alice Mwikali (Guest) on June 17, 2021
Hii ni ya maana sana! 😂👌
Rose Mwinuka (Guest) on June 8, 2021
Hii imenifurahisha sana! 😊😅
George Mallya (Guest) on June 3, 2021
🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!
Khalifa (Guest) on May 29, 2021
😃 Hali imeboreshwa papo hapo!
Robert Okello (Guest) on May 28, 2021
Umesema kweli! 👌😂
Joseph Kitine (Guest) on May 10, 2021
😄 Dhahabu ya vichekesho!
Moses Kipkemboi (Guest) on May 9, 2021
😆 Nacheka hadi chini sasa hivi!
Jackson Makori (Guest) on April 29, 2021
Nimeipenda hii joke! 😄😂
Alice Mwikali (Guest) on April 27, 2021
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉
Monica Adhiambo (Guest) on April 16, 2021
Nimefurahia sana hii joke! 😅😂
Betty Kimaro (Guest) on April 11, 2021
Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏🤣
Ruth Mtangi (Guest) on March 1, 2021
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! 😄😂
Paul Kamau (Guest) on February 21, 2021
Nimefurahia hii sana! 😆😊
Abubakar (Guest) on January 7, 2021
😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Mohamed (Guest) on December 25, 2020
😆 Naihifadhi hii!
Kassim (Guest) on November 21, 2020
😂 Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Nancy Kawawa (Guest) on November 4, 2020
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😂
Grace Mushi (Guest) on October 17, 2020
Hii ni ya kufurahisha sana! 😊😄
Monica Lissu (Guest) on September 13, 2020
🤣🤣😄😆
Benjamin Masanja (Guest) on September 6, 2020
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁
Nancy Komba (Guest) on August 26, 2020
Hii imenipa kicheko cha siku! 😊😆
Mary Mrope (Guest) on August 4, 2020
😂🤣😂😅
John Kamande (Guest) on July 22, 2020
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂
John Lissu (Guest) on July 12, 2020
Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣
Nicholas Wanjohi (Guest) on June 25, 2020
😊😂🤣
Wilson Ombati (Guest) on June 15, 2020
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😂😅
Jamila (Guest) on June 14, 2020
😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Victor Kimario (Guest) on May 25, 2020
Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆
Elizabeth Mrema (Guest) on April 28, 2020
😂🤣😆👏
Charles Mrope (Guest) on April 21, 2020
😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!
Hassan (Guest) on April 7, 2020
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣
Andrew Mahiga (Guest) on March 28, 2020
Napenda jokes zenu! 😊😅
Anna Malela (Guest) on March 24, 2020
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😅
Sumaya (Guest) on March 19, 2020
😄 Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Azima (Guest) on March 18, 2020
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰
Zakaria (Guest) on March 16, 2020
😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Jane Muthoni (Guest) on March 1, 2020
Hii imenipa kicheko cha siku! 😂😆
Samuel Omondi (Guest) on February 14, 2020
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! 😄😅
Nicholas Wanjohi (Guest) on February 7, 2020
😅 Nilihitaji hii!
Peter Mugendi (Guest) on February 4, 2020
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂
Samson Mahiga (Guest) on February 2, 2020
Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣
Raha (Guest) on January 23, 2020
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! 😂
Charles Wafula (Guest) on December 22, 2019
Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭
Mariam (Guest) on December 15, 2019
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! 😆
Aziza (Guest) on December 8, 2019
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂
Mercy Atieno (Guest) on December 1, 2019
Mna talent ya jokes! 👏😂
Nancy Kabura (Guest) on November 26, 2019
😁 Kicheko bora ya siku!
Betty Kimaro (Guest) on November 14, 2019
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏🤣
Jafari (Guest) on October 11, 2019
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆
Nancy Akumu (Guest) on September 21, 2019
Kama kawaida! Bado nacheka! 😄