Mimi Nimecheka sana
ππππππππππ
ZIARA ZA KUSHTUKIZAππ
Mimi ni msomaji mzuri wa magazeti, na msikilizaji mzuri wa redio, huwa naangalia luninga mara chache sana kama nikibahatika kupita mahala kuna luninga. Sasa wiki hii nimesikia mengi kuhusu hizi ziara za kushtukiza za viongozi wetu, nikaona hili ni jambo zuri tena linafaa kuigwa na sisi wananchi wapenda maendeleo. Nikaona nijipange na mimi nifanye ziara kadhaa za kushtukiza katika sehemu mbalimbali zinazonihusu.
Nikaona nianze na ziara ya kushtukiza pale shuleni kwa huyu mwanangu, maana kila siku anakunywa chai na kuondoka na daftari zake na mie sijawahi kwenda shuleni kwao toka nilipomuandikisha shule mwezi Januari. Nilifika shuleni na kumuona mwalimu mkuu, ambae alianza kutetemeka nilipomuambia kuwa nimekuja pale kwa ziara ya kustukiza, sijui alidhani mi ni mmoja wa Mawaziri wapya, maana nilimuona jasho linamtiririka ghafla. Akanikaribisha ofisi yake iliyokuwa na vitabu kila kona, na kuita waalimu wote na kunitambulisha kuwa ni kiongozi nimekuja kwenye ziara ya kustukiza.
Nilipojitambulisha kuwa ni mzazi, waalimu wote nikawaona waanza kupumua kwa raha. Nikawaambia kuwa mimi nina mwanafunzi pale na nilikuja ziara ya kustukiza kujua maendeleo yake. Baada ya mwalimu mkuu kusaka jina la mwanangu nae akanambia, βMzee huyu mtoto hajaja shule mwezi wa tatu sasa, tulijaribu kukutafuta ikashindikana, hatujui yu wapiβ Jasho likaanza kunitoka mimi, yule mtoto kila asubuhi nampa nauli anaenda shule, na mara nyingi ananiomba michango kumbe hata shule haji. Niliondoka bila kuaga presha ikiwa juu.
Nikaona niende kwenye genge la mke wangu nae nikamfanyie ziara ya ghafla nimhadithie mambo ya mwanae, nilipofika pale nikakuta kuna mdada mwingine anauza genge. Nikamsalimu, na kumuuliza mwenye genge ntampataje, jibu lake lingeniua kama ningekuwa si mkakamavu, βMume wake kaja kumchukua na gari wameenda kununua shamba Bagamoyoβ. Nikaondoka nimechanganyikiwa, nikajuwa hapa dawa yangu moja tu, nayo ni Sabrina, mtoto wa Kinyaturu pale ambapo nikipata maudhi huwa naenda kubembelezwa.
Nikatwanga mguu kwa Sabrina nae nikamfanyie ziara ya ghafla ili anipoze moyo. Nilipogonga mlango wa chumba chake akatoka mbaba wa miraba minne, akanisalimia kwa upole, βSalama kaka unasemaje?β Jibu likanitoka βSamahani mie nilimkopesha huyu dada wa chumba hiki vitenge, nilikuja kuuliza kama ameshapata hela yanguβ Ziara za kushtukiza zinataka moyo wa chuma jamani
Charles Mboje (Guest) on March 21, 2022
π€£πππ
Joseph Mallya (Guest) on March 6, 2022
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Stephen Kangethe (Guest) on March 6, 2022
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Christopher Oloo (Guest) on March 4, 2022
πππ
Lydia Mutheu (Guest) on February 14, 2022
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Charles Mboje (Guest) on January 30, 2022
π€£ Sikutarajia hiyo!
Athumani (Guest) on December 6, 2021
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
Robert Ndunguru (Guest) on November 14, 2021
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Ibrahim (Guest) on October 30, 2021
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Salma (Guest) on October 25, 2021
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Lydia Wanyama (Guest) on October 22, 2021
Hii imenichekesha sana! ππ
Sharifa (Guest) on October 7, 2021
π Nilihitaji kicheko hicho!
Mariam Kawawa (Guest) on September 1, 2021
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 4, 2021
π Bado nacheka!
Nyota (Guest) on August 2, 2021
π Naihifadhi hii!
Ann Awino (Guest) on July 1, 2021
Hii imenikuna! ππ
Andrew Mchome (Guest) on June 24, 2021
π€£ Hii imewaka moto!
Rose Kiwanga (Guest) on June 20, 2021
πππ
Janet Wambura (Guest) on May 17, 2021
Hii imenichekesha sana! π€£π
Ann Wambui (Guest) on May 15, 2021
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Elijah Mutua (Guest) on May 1, 2021
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Nicholas Wanjohi (Guest) on April 29, 2021
π Kichekesho gani!
Stephen Amollo (Guest) on April 26, 2021
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Isaac Kiptoo (Guest) on April 4, 2021
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
Edwin Ndambuki (Guest) on February 26, 2021
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
James Malima (Guest) on January 23, 2021
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 19, 2021
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Thomas Mtaki (Guest) on January 15, 2021
ππ€£ππ
Margaret Anyango (Guest) on December 30, 2020
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
Mgeni (Guest) on December 19, 2020
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Nahida (Guest) on December 16, 2020
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Joseph Njoroge (Guest) on November 25, 2020
π Kichekesho kamili!
Dorothy Majaliwa (Guest) on November 22, 2020
π€£ππ
Daniel Obura (Guest) on November 5, 2020
π πππ
Sekela (Guest) on October 21, 2020
π Naihifadhi hii!
John Lissu (Guest) on October 9, 2020
Nimecheka hadi machozi π€£π
Henry Mollel (Guest) on August 28, 2020
π Bado ninacheka!
Salma (Guest) on August 9, 2020
π Nimeipenda kabisa hii!
Chris Okello (Guest) on August 4, 2020
π€£ππ
Mary Kendi (Guest) on July 28, 2020
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Andrew Mchome (Guest) on July 24, 2020
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Anna Sumari (Guest) on June 30, 2020
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Alex Nakitare (Guest) on April 29, 2020
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Andrew Mahiga (Guest) on April 10, 2020
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Nancy Kawawa (Guest) on April 8, 2020
π Hii imenigonga kweli!
Alice Jebet (Guest) on April 4, 2020
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
James Mduma (Guest) on March 28, 2020
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Andrew Mchome (Guest) on March 24, 2020
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Chris Okello (Guest) on March 10, 2020
ππ€£
Emily Chepngeno (Guest) on March 3, 2020
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Issack (Guest) on February 29, 2020
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Elizabeth Malima (Guest) on January 18, 2020
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Linda Karimi (Guest) on January 17, 2020
Nimefurahia sana hii joke! π π
Mary Sokoine (Guest) on December 7, 2019
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Joyce Aoko (Guest) on November 11, 2019
ππ€£π₯
Joyce Nkya (Guest) on October 24, 2019
Nimefurahia hii sana! ππ
Lydia Mutheu (Guest) on October 17, 2019
π Nacheka hadi chini!
Daniel Obura (Guest) on September 29, 2019
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Andrew Mchome (Guest) on September 29, 2019
π ππ
Linda Karimi (Guest) on September 25, 2019
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ