Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 258

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ David Chacha Guest Feb 24, 2020
πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!
πŸ‘₯ Joyce Mussa Guest Feb 24, 2020
πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„
πŸ‘₯ Catherine Naliaka Guest Dec 28, 2019
Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚
πŸ‘₯ Alice Mwikali Guest Dec 14, 2019
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„
πŸ‘₯ Francis Njeru Guest Oct 29, 2019
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚
πŸ‘₯ Janet Mbithe Guest Oct 24, 2019
😊🀣πŸ”₯
πŸ‘₯ Josephine Nduta Guest Oct 5, 2019
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…
πŸ‘₯ Stephen Mushi Guest Sep 11, 2019
Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š
πŸ‘₯ Janet Sumaye Guest Aug 23, 2019
Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†
πŸ‘₯ Joseph Kiwanga Guest Aug 18, 2019
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†
πŸ‘₯ John Kamande Guest Aug 7, 2019
Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„
πŸ‘₯ Umi Guest Aug 3, 2019
🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
πŸ‘₯ Henry Sokoine Guest Jun 24, 2019
Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚
πŸ‘₯ Victor Kimario Guest Jun 18, 2019
🀣πŸ”₯😊
πŸ‘₯ Henry Mollel Guest Jun 15, 2019
πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!
πŸ‘₯ Rukia Guest May 24, 2019
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚
πŸ‘₯ Lucy Mahiga Guest May 22, 2019
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£
πŸ‘₯ Lucy Mahiga Guest May 21, 2019
Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†
πŸ‘₯ Joseph Kiwanga Guest Apr 15, 2019
πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!
πŸ‘₯ Neema Guest Apr 13, 2019
πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Mar 10, 2019
Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊
πŸ‘₯ Grace Majaliwa Guest Feb 21, 2019
πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š
πŸ‘₯ Esther Nyambura Guest Feb 4, 2019
Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…
πŸ‘₯ Janet Sumari Guest Jan 22, 2019
πŸ˜„ Kichekesho kamili!
πŸ‘₯ Mary Sokoine Guest Dec 3, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚
πŸ‘₯ James Kimani Guest Nov 30, 2018
πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†
πŸ‘₯ Betty Cheruiyot Guest Nov 10, 2018
Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†
πŸ‘₯ Kahina Guest Oct 23, 2018
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†
πŸ‘₯ Amina Guest Oct 7, 2018
πŸ˜„ Umenishika vizuri!
πŸ‘₯ Miriam Mchome Guest Oct 2, 2018
πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!
πŸ‘₯ George Ndungu Guest Sep 28, 2018
Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭
πŸ‘₯ Shamim Guest Sep 26, 2018
πŸ˜† Hii imenigonga kweli!
πŸ‘₯ Mchuma Guest Sep 23, 2018
πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
πŸ‘₯ Mary Mrope Guest Sep 22, 2018
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š
πŸ‘₯ Sofia Guest Sep 22, 2018
🀣 Nalia kwa kicheko kweli!
πŸ‘₯ Zakaria Guest Sep 19, 2018
πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
πŸ‘₯ Frank Sokoine Guest Sep 12, 2018
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…
πŸ‘₯ Khamis Guest Aug 28, 2018
🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
πŸ‘₯ Alice Jebet Guest Aug 26, 2018
Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯
πŸ‘₯ Samson Mahiga Guest Aug 26, 2018
Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣
πŸ‘₯ Maida Guest Aug 3, 2018
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ
πŸ‘₯ Mashaka Guest Aug 2, 2018
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚
πŸ‘₯ Nchi Guest Jul 11, 2018
🀣 Kichekesho bora kabisa!
πŸ‘₯ Martin Otieno Guest Jun 22, 2018
πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!
πŸ‘₯ David Sokoine Guest Jun 10, 2018
Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ‘₯ David Nyerere Guest May 31, 2018
πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£
πŸ‘₯ Joseph Kawawa Guest May 25, 2018
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Apr 28, 2018
🀣 Ujuzi wa hali ya juu!
πŸ‘₯ Margaret Mahiga Guest Apr 7, 2018
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…
πŸ‘₯ Aziza Guest Mar 22, 2018
πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!
πŸ‘₯ Kahina Guest Mar 14, 2018
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†
πŸ‘₯ Agnes Lowassa Guest Mar 13, 2018
Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘
πŸ‘₯ Fredrick Mutiso Guest Mar 7, 2018
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†
πŸ‘₯ Patrick Mutua Guest Mar 1, 2018
Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚
πŸ‘₯ Lucy Mushi Guest Feb 22, 2018
πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„
πŸ‘₯ Anna Mchome Guest Feb 10, 2018
🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!
πŸ‘₯ Kijakazi Guest Feb 3, 2018
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†
πŸ‘₯ Nancy Kabura Guest Jan 21, 2018
Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚
πŸ‘₯ Hellen Nduta Guest Jan 13, 2018
πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š
πŸ‘₯ Miriam Mchome Guest Jan 4, 2018
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About