1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwakoβ¦
2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?
3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.
4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:
WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake
WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform
WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi
WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!
WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja
5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"
6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaaβ¦β¦!
7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"
8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi⦠Wamefunga duka?
9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"
10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."
Esther Nyambura (Guest) on February 4, 2019
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Janet Sumari (Guest) on January 22, 2019
π Kichekesho kamili!
Mary Sokoine (Guest) on December 3, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
James Kimani (Guest) on November 30, 2018
π€£ππ
Betty Cheruiyot (Guest) on November 10, 2018
Hii imenichekesha sana! π€£π
Kahina (Guest) on October 23, 2018
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Amina (Guest) on October 7, 2018
π Umenishika vizuri!
Miriam Mchome (Guest) on October 2, 2018
π Hii ni ya kuhifadhi!
George Ndungu (Guest) on September 28, 2018
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Shamim (Guest) on September 26, 2018
π Hii imenigonga kweli!
Mchuma (Guest) on September 23, 2018
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Mary Mrope (Guest) on September 22, 2018
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Sofia (Guest) on September 22, 2018
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Zakaria (Guest) on September 19, 2018
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Frank Sokoine (Guest) on September 12, 2018
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Khamis (Guest) on August 28, 2018
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Alice Jebet (Guest) on August 26, 2018
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Samson Mahiga (Guest) on August 26, 2018
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Maida (Guest) on August 3, 2018
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Mashaka (Guest) on August 2, 2018
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Nchi (Guest) on July 11, 2018
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Martin Otieno (Guest) on June 22, 2018
π Siwezi kuacha kucheka!
David Sokoine (Guest) on June 10, 2018
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
David Nyerere (Guest) on May 31, 2018
πππ π€£
Joseph Kawawa (Guest) on May 25, 2018
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Paul Ndomba (Guest) on April 28, 2018
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Margaret Mahiga (Guest) on April 7, 2018
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Aziza (Guest) on March 22, 2018
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Kahina (Guest) on March 14, 2018
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Agnes Lowassa (Guest) on March 13, 2018
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Fredrick Mutiso (Guest) on March 7, 2018
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Patrick Mutua (Guest) on March 1, 2018
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Lucy Mushi (Guest) on February 22, 2018
ππππ
Anna Mchome (Guest) on February 10, 2018
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Kijakazi (Guest) on February 3, 2018
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Nancy Kabura (Guest) on January 21, 2018
Hii imenichekesha sana! ππ
Hellen Nduta (Guest) on January 13, 2018
πππ
Miriam Mchome (Guest) on January 4, 2018
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Francis Mtangi (Guest) on January 4, 2018
π Hii ni dhahabu!
Fredrick Mutiso (Guest) on December 28, 2017
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Sharon Kibiru (Guest) on December 18, 2017
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Sarah Mbise (Guest) on December 9, 2017
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Mary Kidata (Guest) on December 9, 2017
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Patrick Akech (Guest) on October 26, 2017
π Naihifadhi hii!
Baridi (Guest) on October 9, 2017
Asante Ackyshine
Zulekha (Guest) on August 1, 2017
π Siwezi kuacha kucheka!
Joseph Njoroge (Guest) on July 26, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Dorothy Majaliwa (Guest) on July 15, 2017
Hii imenibamba sana! ππ
Zuhura (Guest) on July 2, 2017
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
James Malima (Guest) on June 29, 2017
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Grace Mligo (Guest) on June 23, 2017
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Miriam Mchome (Guest) on June 17, 2017
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
Mjaka (Guest) on June 6, 2017
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
Stephen Kangethe (Guest) on May 31, 2017
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Alex Nyamweya (Guest) on May 24, 2017
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Grace Majaliwa (Guest) on May 23, 2017
Kama kawaida! Bado nacheka! π
Mariam (Guest) on April 7, 2017
π Nitaiiba hii bila shaka!
Margaret Mahiga (Guest) on March 18, 2017
π Dhahabu ya vichekesho!
Joseph Kawawa (Guest) on March 14, 2017
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Edwin Ndambuki (Guest) on March 4, 2017
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π