Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c82aa739b086d5c31f76fc2e6c8f2cb5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Unakumbuka haya enzi za shule?
Date: March 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na hayaβ¦
1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani
2.unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af unamuunguza mwenzio
3.mkiruhusiwa tu unakimbia unataka uwe wa kwanza kwenye njia yenu y kurudia nyumban
4.MTU akikukera unamfungia shule (mnapigana baada ya kufunga shule)
5.MTU akikunyima kitu chake unamwambia "Ahaa eeh utaona sa nne"
6.wadada wembamba ndo wanaongoza kwa kusuta wenzao
7.ukiibiwa daftar jipya unalia kuliko hata uliloandika
8.unajaza mapeni kwenye mkebe(compass) na mengine hayaandiki
9.vifaa vingine kwenye mkebe hujawahi hata kuvitumia mfano bikari labda utolee mwibaπ
10.hakuna habari nzur kama kuambiwa Leo hamna shule mwalim haupo
11.habari mbaya zaidi n kurud nyumban kutoka shule una njaa af unaambiwa chakula mgeni kaja tumempa
12.mtoto wa mwalim utamgundua tu kwanzia sweta begi na viatu vyake
13.usiombee umpige mtoto wa mwalim utataman uache shule
14.unatengeneza kifutio cha ndala af unatishia eti kinafuta hadi peniπ
15.ukaguzi na huna ufagio.. unaomba chelewa kwa watu af unaongeza kijiti katikati
16.siku ukienda na ufagio wanakagua maji, ukienda na naji wanakagua kuni au mboleaπ
π
Dah shule zetu hizi kiboko!!
Ipi umeipitia wewe
Share na wengine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_c82aa739b086d5c31f76fc2e6c8f2cb5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπ, akaenda hospital akawekewa macho ya pakaππ±,
dokt...
Read More
Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil...
Read More
Ni hizi
1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny...
Read More
Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesaβ¦
Trust me Kuna wanawa...
Read More
Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai...
Read More
Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?
Bin...
Read More
Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.
MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f...
Read More
Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.
Swali la kwa...
Read More
Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal...
Read More
Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.
Ba...
Read More
Alice Wanjiru (Guest) on October 17, 2019
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Benjamin Masanja (Guest) on September 14, 2019
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Jane Muthoni (Guest) on September 10, 2019
ππ π
Mariam Kawawa (Guest) on August 30, 2019
π Bado nacheka!
Grace Mushi (Guest) on August 27, 2019
Hii imenibamba sana! π π€£
Mashaka (Guest) on August 10, 2019
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
George Tenga (Guest) on July 28, 2019
Umesema kweli! ππ
Robert Ndunguru (Guest) on July 26, 2019
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
James Kimani (Guest) on June 14, 2019
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Robert Ndunguru (Guest) on June 12, 2019
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Nassor (Guest) on May 8, 2019
π Siwezi kuacha kucheka!
Sarah Achieng (Guest) on May 4, 2019
π Ninakufa hapa!
Maimuna (Guest) on April 14, 2019
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Nancy Kawawa (Guest) on April 2, 2019
ππππ
Dorothy Majaliwa (Guest) on March 26, 2019
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Irene Akoth (Guest) on March 16, 2019
π€£ππ
Grace Minja (Guest) on March 6, 2019
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Chum (Guest) on February 15, 2019
π Nitaiiba hii bila shaka!
Chris Okello (Guest) on January 6, 2019
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Jamal (Guest) on January 1, 2019
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Christopher Oloo (Guest) on December 16, 2018
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Lydia Wanyama (Guest) on December 13, 2018
Hii ni bomba sana! π€£π
Joseph Kawawa (Guest) on October 30, 2018
π Kichekesho gani!
Anna Kibwana (Guest) on September 20, 2018
π Hii imenigonga kweli!
Kazija (Guest) on September 15, 2018
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
Joseph Njoroge (Guest) on August 27, 2018
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Kahina (Guest) on August 24, 2018
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Sharon Kibiru (Guest) on August 22, 2018
ππ€£π
Mwafirika (Guest) on August 12, 2018
π Naihifadhi hii!
John Lissu (Guest) on July 26, 2018
π€£π€£π
Esther Nyambura (Guest) on July 18, 2018
πππ π
Sarah Achieng (Guest) on July 1, 2018
π Bado nacheka!
Raha (Guest) on June 22, 2018
π Dhahabu ya vichekesho!
Monica Adhiambo (Guest) on April 26, 2018
πππ
Andrew Mchome (Guest) on April 14, 2018
ππ€£ππ
Samuel Omondi (Guest) on April 9, 2018
π Umenishika vizuri!
Brian Karanja (Guest) on March 30, 2018
ππππ
Charles Wafula (Guest) on March 23, 2018
π Hii ni ya kuhifadhi!
Samuel Omondi (Guest) on February 3, 2018
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Bernard Oduor (Guest) on January 21, 2018
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Samuel Omondi (Guest) on January 15, 2018
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Lydia Mzindakaya (Guest) on January 1, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Anthony Kariuki (Guest) on December 29, 2017
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Anna Kibwana (Guest) on December 24, 2017
Hii ni kali sana! ππ€£
Tabitha Okumu (Guest) on December 23, 2017
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
Anna Malela (Guest) on November 12, 2017
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Samuel Omondi (Guest) on November 10, 2017
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Janet Mwikali (Guest) on November 6, 2017
Hii ni ya maana sana! ππ
Agnes Njeri (Guest) on October 27, 2017
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
Joseph Kiwanga (Guest) on October 25, 2017
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Hashim (Guest) on October 12, 2017
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Lucy Mahiga (Guest) on October 9, 2017
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Catherine Naliaka (Guest) on October 5, 2017
Hii imenichekesha sana! π€£π
Richard Mulwa (Guest) on September 28, 2017
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Andrew Mchome (Guest) on September 22, 2017
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Athumani (Guest) on September 21, 2017
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Mary Kidata (Guest) on September 3, 2017
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
George Mallya (Guest) on September 1, 2017
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Joyce Aoko (Guest) on August 28, 2017
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Shamsa (Guest) on August 12, 2017
Asante Ackyshine