Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.
Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, Noβ¦.. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.
Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendeleaβ¦..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanzaβ¦
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last monthβ¦
Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea⦠Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.
Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.
Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.
Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopitaβ¦!!!
Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje�??
Joyce Mussa (Guest) on January 26, 2020
πππ
Linda Karimi (Guest) on January 19, 2020
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
James Kawawa (Guest) on December 16, 2019
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Peter Otieno (Guest) on December 13, 2019
π Siwezi kuacha kucheka!
Tabitha Okumu (Guest) on November 29, 2019
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Sharon Kibiru (Guest) on November 15, 2019
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
George Ndungu (Guest) on November 9, 2019
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Samuel Omondi (Guest) on October 27, 2019
π πππ
Mary Kidata (Guest) on October 19, 2019
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Peter Mbise (Guest) on October 12, 2019
Hii imenikuna! ππ
Elizabeth Mtei (Guest) on October 10, 2019
Hii imenibamba sana! π π€£
Mohamed (Guest) on September 16, 2019
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Ruth Mtangi (Guest) on September 1, 2019
π Kali sana!
Rose Mwinuka (Guest) on August 25, 2019
π Kichekesho kamili!
Ann Wambui (Guest) on August 10, 2019
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Elizabeth Mtei (Guest) on August 9, 2019
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
David Nyerere (Guest) on July 23, 2019
ππππ
Samson Tibaijuka (Guest) on July 20, 2019
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Josephine Nduta (Guest) on June 25, 2019
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Elizabeth Mtei (Guest) on June 15, 2019
π€£π€£π
Yusuf (Guest) on June 12, 2019
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Frank Sokoine (Guest) on May 5, 2019
π Kali sana!
Elizabeth Mtei (Guest) on April 26, 2019
π ππ
James Mduma (Guest) on April 19, 2019
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Hassan (Guest) on March 10, 2019
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Alex Nakitare (Guest) on March 8, 2019
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Sarah Karani (Guest) on March 7, 2019
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Elizabeth Mrema (Guest) on February 28, 2019
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Francis Mrope (Guest) on January 30, 2019
π Ninakufa hapa!
Zakia (Guest) on January 22, 2019
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Rahim (Guest) on January 5, 2019
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Dorothy Nkya (Guest) on December 24, 2018
π Siwezi kuacha kucheka!
Philip Nyaga (Guest) on December 18, 2018
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
David Ochieng (Guest) on December 17, 2018
π Siwezi kuacha kucheka!
Mary Kidata (Guest) on November 13, 2018
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Edith Cherotich (Guest) on November 1, 2018
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Benjamin Kibicho (Guest) on October 20, 2018
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Jacob Kiplangat (Guest) on October 3, 2018
ππ€£ππ
Mchawi (Guest) on September 11, 2018
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Victor Mwalimu (Guest) on August 31, 2018
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
David Ochieng (Guest) on August 22, 2018
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Grace Wairimu (Guest) on August 19, 2018
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
George Wanjala (Guest) on August 6, 2018
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Lucy Wangui (Guest) on June 23, 2018
π Bado nacheka!
Jane Malecela (Guest) on June 15, 2018
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Charles Mchome (Guest) on June 6, 2018
Kama kawaida! Bado nacheka! π
Raphael Okoth (Guest) on March 22, 2018
ππ
Lucy Mahiga (Guest) on March 22, 2018
π Kali sana!
Alice Wanjiru (Guest) on March 21, 2018
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Robert Okello (Guest) on March 18, 2018
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Farida (Guest) on March 18, 2018
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Margaret Anyango (Guest) on March 17, 2018
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Lucy Mushi (Guest) on March 17, 2018
π Hii ni hazina ya kichekesho!
Carol Nyakio (Guest) on February 13, 2018
Napenda jokes zenu! ππ
Elijah Mutua (Guest) on February 7, 2018
π Umenishika vizuri!
Joseph Kitine (Guest) on February 2, 2018
π€£πππ
Faith Kariuki (Guest) on January 4, 2018
Hii imenikuna sana! ππ
Alice Mrema (Guest) on December 26, 2017
π€£ππ
Grace Minja (Guest) on December 10, 2017
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Peter Mbise (Guest) on November 30, 2017
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!