Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.





Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, No….. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.





Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendelea…..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanza…
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last month…





Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea… Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.





Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.





Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.





Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita…!!!





Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje…???


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joyce Mussa (Guest) on January 26, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on January 19, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on December 16, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Peter Otieno (Guest) on December 13, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Tabitha Okumu (Guest) on November 29, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on November 15, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Ndungu (Guest) on November 9, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Samuel Omondi (Guest) on October 27, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on October 19, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on October 12, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Elizabeth Mtei (Guest) on October 10, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mohamed (Guest) on September 16, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Ruth Mtangi (Guest) on September 1, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Rose Mwinuka (Guest) on August 25, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Ann Wambui (Guest) on August 10, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on August 9, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

David Nyerere (Guest) on July 23, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on July 20, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on June 25, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on June 15, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on June 12, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Frank Sokoine (Guest) on May 5, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Elizabeth Mtei (Guest) on April 26, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

James Mduma (Guest) on April 19, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Hassan (Guest) on March 10, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alex Nakitare (Guest) on March 8, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sarah Karani (Guest) on March 7, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on February 28, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Francis Mrope (Guest) on January 30, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Zakia (Guest) on January 22, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Rahim (Guest) on January 5, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Dorothy Nkya (Guest) on December 24, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Philip Nyaga (Guest) on December 18, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Ochieng (Guest) on December 17, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kidata (Guest) on November 13, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on November 1, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on October 20, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on October 3, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on September 11, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Victor Mwalimu (Guest) on August 31, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on August 22, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Wairimu (Guest) on August 19, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

George Wanjala (Guest) on August 6, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on June 23, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Jane Malecela (Guest) on June 15, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on June 6, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Alice Wanjiru (Guest) on March 21, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Robert Okello (Guest) on March 18, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Farida (Guest) on March 18, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Margaret Anyango (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lucy Mushi (Guest) on March 17, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Carol Nyakio (Guest) on February 13, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on February 7, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joseph Kitine (Guest) on February 2, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on January 4, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on December 26, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on December 10, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Mbise (Guest) on November 30, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64f5695a5143e0fe51fe0ee2c1d0bd92, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact