Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa
pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama
{confess}
"Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya
dhambi kubwa sana."
Padri, "Endeleaβ¦"
"Bosi wangu aliniita nyumbani kwake, akaniambia
amegundua nimeiba shilingi millioni 100 kazini. Akasema
nisipozitoa atanipeleka polisi, sa kwa ukweli mi naogopa
kufungwa.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu,nikatoa bastola nikamuuaβ¦.. Yesu atanisamehe?"
Padri: "Utasamehewa."
"Basi wakati nataka kuondoka nikasikia mlango
unafunguliwa kutazama, Loh! Mke wa bosi, alipoona
kilichotokea akasema anapiga polisi simu.
Kutazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua na yeye pia⦠Yesu atanisamehe hilo?"
Padri: "Utasamehewa."
Nikatoka nje, nikawasha gari niondoke, lakini mlinzi
akakataa kunifungulia, ati amesikia mlio wa
bastola. Nikaona ataniletea kizuizi huyu.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuuaβ¦.. Yesu atanisamehe?"
Padri:"Utasamehewa."
"Nikajifungulia geti mwenyewe nikaenda
nyumbani, wakati napanga kuja kuungama mtoto wa bosi
akabisha hodi, nikawaza mambo gani tena, akasema alirudi
nyumbani na kukuta yaliyotokea akanionesha diary ya
babake, inayoonesha nilikuwa na appointment naye
wakati nilipomuua. Nikamuuliza nani mwingine anayejua?
Akasema ameanzia kwangu kisha anaenda polisi.
Nikatazama huku na huku nikakuta tuko wawili peke
yetu, nikamuuaβ¦.. Yesu atanisamehe na hilo?"
Kimyaaβ¦.
"Padri yesu atanisamehe?"
kimyaβ¦.
Jamaa akatazama kwenye confession booth padri
hayupo, lakini kwenye kona moja akaona kabati la nguo
za mapadri linatikisika. Kufungua akaona padri kajificha ndani anatetemeka huku akitokwa na jasho.
Jamaa, "Sasa baba mbona umekimbia?"
Padri kwa taabu akajibu, "Nilitazama huku na huku
nikagundua tuko wawili peke yetuβ¦β¦."
Wilson Ombati (Guest) on September 1, 2019
ππ
Victor Kimario (Guest) on August 18, 2019
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
Joyce Mussa (Guest) on August 15, 2019
Hii ni ya maana sana! ππ
Jafari (Guest) on July 20, 2019
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Thomas Mwakalindile (Guest) on July 20, 2019
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Hawa (Guest) on July 19, 2019
π Nitaiiba hii bila shaka!
Samuel Were (Guest) on July 18, 2019
Hii imenikuna! ππ
Diana Mumbua (Guest) on May 14, 2019
Nimefurahia sana hii joke! π π
Robert Okello (Guest) on May 9, 2019
ππππ
Linda Karimi (Guest) on April 16, 2019
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
Elizabeth Mtei (Guest) on April 9, 2019
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Samuel Were (Guest) on March 19, 2019
π Bado nacheka!
Anna Mahiga (Guest) on March 2, 2019
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Elizabeth Malima (Guest) on January 19, 2019
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Anna Mchome (Guest) on December 8, 2018
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Kiza (Guest) on November 29, 2018
π Naihifadhi hii!
Rose Kiwanga (Guest) on November 10, 2018
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Monica Lissu (Guest) on November 8, 2018
π Kali sana!
Benjamin Kibicho (Guest) on November 6, 2018
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Azima (Guest) on October 4, 2018
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
Alice Mrema (Guest) on August 31, 2018
ππ
Grace Mligo (Guest) on August 21, 2018
ππ π
Lucy Kimotho (Guest) on August 4, 2018
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Edwin Ndambuki (Guest) on August 1, 2018
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Mary Sokoine (Guest) on July 7, 2018
π Lazima nihifadhi hii!
Rose Kiwanga (Guest) on May 12, 2018
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Nancy Kabura (Guest) on May 9, 2018
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Patrick Akech (Guest) on April 14, 2018
π€£ππ
Henry Mollel (Guest) on March 31, 2018
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Mary Mrope (Guest) on March 27, 2018
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Thomas Mwakalindile (Guest) on March 24, 2018
Mna talent ya jokes! ππ
Margaret Mahiga (Guest) on March 22, 2018
π€£ Sikutarajia hiyo!
Paul Ndomba (Guest) on February 28, 2018
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Joseph Njoroge (Guest) on February 21, 2018
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
Faith Kariuki (Guest) on February 18, 2018
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Andrew Odhiambo (Guest) on February 10, 2018
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
David Sokoine (Guest) on February 10, 2018
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Lydia Mahiga (Guest) on December 30, 2017
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Salima (Guest) on December 20, 2017
π Nilihitaji kicheko hicho!
Richard Mulwa (Guest) on December 2, 2017
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Victor Mwalimu (Guest) on November 28, 2017
π€£πππ
Janet Wambura (Guest) on November 13, 2017
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Joyce Nkya (Guest) on November 2, 2017
Nimefurahia hii sana! ππ
Elizabeth Mrema (Guest) on October 29, 2017
π Ninakufa hapa!
John Malisa (Guest) on October 19, 2017
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Maulid (Guest) on September 27, 2017
π€£ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Athumani (Guest) on September 25, 2017
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Betty Cheruiyot (Guest) on September 24, 2017
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Frank Sokoine (Guest) on September 8, 2017
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Diana Mumbua (Guest) on August 30, 2017
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Diana Mallya (Guest) on August 27, 2017
π Dhahabu ya vichekesho!
Mashaka (Guest) on August 10, 2017
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 1, 2017
ππ ππ
Irene Akoth (Guest) on August 1, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Mary Sokoine (Guest) on July 22, 2017
Huyu alikuwa na point! ππ
David Kawawa (Guest) on July 12, 2017
Umetisha! ππ
Jacob Kiplangat (Guest) on July 4, 2017
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
Alice Jebet (Guest) on July 2, 2017
π πππ
Stephen Mushi (Guest) on May 12, 2017
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Joseph Kiwanga (Guest) on May 6, 2017
Kweli mna ucheshi! ππ€£