Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b8453c47ada0930f952aee909085a0e7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b8453c47ada0930f952aee909085a0e7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b8453c47ada0930f952aee909085a0e7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b8453c47ada0930f952aee909085a0e7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Featured Image

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara kukaingia jamaa mmoja akapiga magoti upande wa
pili, akafanya ishara ya msalaba kisha akaanza kuungama
{confess}
"Padri nimekuja kuungama dhambi zangu, leo nimefanya
dhambi kubwa sana."
Padri, "Endelea…"





"Bosi wangu aliniita nyumbani kwake, akaniambia
amegundua nimeiba shilingi millioni 100 kazini. Akasema
nisipozitoa atanipeleka polisi, sa kwa ukweli mi naogopa
kufungwa.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu,nikatoa bastola nikamuua….. Yesu atanisamehe?"





Padri: "Utasamehewa."
"Basi wakati nataka kuondoka nikasikia mlango
unafunguliwa kutazama, Loh! Mke wa bosi, alipoona
kilichotokea akasema anapiga polisi simu.
Kutazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua na yeye pia… Yesu atanisamehe hilo?"
Padri: "Utasamehewa."





Nikatoka nje, nikawasha gari niondoke, lakini mlinzi
akakataa kunifungulia, ati amesikia mlio wa
bastola. Nikaona ataniletea kizuizi huyu.
Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe?"
Padri:"Utasamehewa."





"Nikajifungulia geti mwenyewe nikaenda
nyumbani, wakati napanga kuja kuungama mtoto wa bosi
akabisha hodi, nikawaza mambo gani tena, akasema alirudi
nyumbani na kukuta yaliyotokea akanionesha diary ya
babake, inayoonesha nilikuwa na appointment naye
wakati nilipomuua. Nikamuuliza nani mwingine anayejua?
Akasema ameanzia kwangu kisha anaenda polisi.





Nikatazama huku na huku nikakuta tuko wawili peke
yetu, nikamuua….. Yesu atanisamehe na hilo?"





Kimyaa….
"Padri yesu atanisamehe?"
kimya….





Jamaa akatazama kwenye confession booth padri
hayupo, lakini kwenye kona moja akaona kabati la nguo
za mapadri linatikisika. Kufungua akaona padri kajificha ndani anatetemeka huku akitokwa na jasho.





Jamaa, "Sasa baba mbona umekimbia?"
Padri kwa taabu akajibu, "Nilitazama huku na huku
nikagundua tuko wawili peke yetu……."


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b8453c47ada0930f952aee909085a0e7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Wilson Ombati (Guest) on September 1, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on August 18, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on August 15, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jafari (Guest) on July 20, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 20, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Hawa (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Samuel Were (Guest) on July 18, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on May 14, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on May 9, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on April 16, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Elizabeth Mtei (Guest) on April 9, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Samuel Were (Guest) on March 19, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Mahiga (Guest) on March 2, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on January 19, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on December 8, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Kiza (Guest) on November 29, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Kiwanga (Guest) on November 10, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on November 8, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Benjamin Kibicho (Guest) on November 6, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Azima (Guest) on October 4, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on August 31, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on August 21, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on August 4, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Edwin Ndambuki (Guest) on August 1, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on July 7, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Rose Kiwanga (Guest) on May 12, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on May 9, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Patrick Akech (Guest) on April 14, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Henry Mollel (Guest) on March 31, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Mary Mrope (Guest) on March 27, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 24, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on March 22, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Paul Ndomba (Guest) on February 28, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on February 21, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Faith Kariuki (Guest) on February 18, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on February 10, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on February 10, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mahiga (Guest) on December 30, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Salima (Guest) on December 20, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Richard Mulwa (Guest) on December 2, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Victor Mwalimu (Guest) on November 28, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on November 13, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on November 2, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Elizabeth Mrema (Guest) on October 29, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

John Malisa (Guest) on October 19, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Maulid (Guest) on September 27, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Athumani (Guest) on September 25, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Betty Cheruiyot (Guest) on September 24, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on September 8, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Diana Mumbua (Guest) on August 30, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on August 27, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mashaka (Guest) on August 10, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on August 1, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on July 22, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Kawawa (Guest) on July 12, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on July 4, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Alice Jebet (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on May 12, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Joseph Kiwanga (Guest) on May 6, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b8453c47ada0930f952aee909085a0e7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3