Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f6cd9f8cfacbd9579b14da1cdfce7f86, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f6cd9f8cfacbd9579b14da1cdfce7f86, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f6cd9f8cfacbd9579b14da1cdfce7f86, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f6cd9f8cfacbd9579b14da1cdfce7f86, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Featured Image

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.
Mwalimu akauliza tena, β€œNi lini mara ya mwisho umemwambia mumeo β€œNakupenda Mpenzi”?

Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:
Wengine wakisema Asubuhi ya leo,
Wengine jana,
Wengine wiki iliyopita
Wengine mwezi uliopita
Na wengine wakasema hawakumbuki!
Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno β€œNAKUPENDA MPENZI”
Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.
Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika

Simu ya 1 – β€œSamahani, nani mwenzangu”!
Simu ya 2 – β€œSamahani, wrong number”!
Simu ya 3 – β€œSi nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hii”!
Simu ya 4 – β€œMh! leo mvua itanyesha”!
Simu ya 5 – β€œNikija tutaongea zaidi”!
Simu ya 6 – β€œβ€¦β€¦Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa ……”!
Simu ya 7 – β€œMe too”!
Simu ya 6 – β€œHuu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikoma”!

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f6cd9f8cfacbd9579b14da1cdfce7f86, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Chum (Guest) on December 19, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Edith Cherotich (Guest) on November 18, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Stephen Amollo (Guest) on November 12, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Lydia Wanyama (Guest) on November 7, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Moses Mwita (Guest) on October 15, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Mashaka (Guest) on October 9, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nancy Komba (Guest) on October 8, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on October 6, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on October 1, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on September 29, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on September 29, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Nchi (Guest) on September 28, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mariam (Guest) on September 23, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Betty Akinyi (Guest) on August 28, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on August 25, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on August 9, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on August 6, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Mushi (Guest) on August 3, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on August 1, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Amir (Guest) on July 21, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Lydia Wanyama (Guest) on June 29, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Akinyi (Guest) on June 5, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on May 14, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Aziza (Guest) on May 6, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

James Kimani (Guest) on April 18, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Josephine Nduta (Guest) on April 16, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on March 27, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on March 13, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Jackson Makori (Guest) on March 13, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Habiba (Guest) on March 2, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Edward Chepkoech (Guest) on February 28, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Peter Tibaijuka (Guest) on February 24, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Halimah (Guest) on February 16, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Shabani (Guest) on February 16, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 21, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on November 6, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Issack (Guest) on October 19, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Abubakar (Guest) on September 22, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Mercy Atieno (Guest) on September 17, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on September 15, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Robert Okello (Guest) on September 8, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Samson Mahiga (Guest) on September 5, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Francis Mtangi (Guest) on August 27, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Simon Kiprono (Guest) on July 17, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Henry Sokoine (Guest) on July 11, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on May 25, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Salum (Guest) on April 28, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Violet Mumo (Guest) on April 22, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Jamal (Guest) on April 3, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Benjamin Kibicho (Guest) on February 16, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on February 4, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Hassan (Guest) on January 22, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on January 21, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on December 11, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on December 11, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Samuel Omondi (Guest) on December 5, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on December 4, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

David Musyoka (Guest) on November 20, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on October 9, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on September 27, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_f6cd9f8cfacbd9579b14da1cdfce7f86, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact