Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke,
mkewe akakataa, akamwambia baba yake
akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa
babaake, mwisho babaake akamwambia basi
ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi
hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu!
Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha
kikao cha ndugu wote pande 2,
Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu
anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital
zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga
wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa
atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye
ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu
alipoolewa ndo kijana wetu atapona!
Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii
kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote!
Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje
wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake
mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana,
mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia
wanaume peke yao! Mzee akamwambia
mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo?
Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani
umejionea hali halisi.
Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako!
Kijana akazimia!
SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b8453c47ada0930f952aee909085a0e7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Hali za ndoa

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_b8453c47ada0930f952aee909085a0e7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Janet Mbithe (Guest) on May 18, 2020
π Hii ni hazina ya kichekesho!
Wilson Ombati (Guest) on March 13, 2020
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
Joyce Nkya (Guest) on February 20, 2020
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Mariam Kawawa (Guest) on January 4, 2020
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Joseph Kiwanga (Guest) on December 17, 2019
π€£ Hii imewaka moto!
Martin Otieno (Guest) on December 5, 2019
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Sarah Achieng (Guest) on November 7, 2019
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Betty Cheruiyot (Guest) on October 20, 2019
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
Michael Onyango (Guest) on September 6, 2019
Hii imenibamba sana! π π€£
Omar (Guest) on August 22, 2019
π Siwezi kuacha kucheka!
Jacob Kiplangat (Guest) on August 19, 2019
πππ π€£
John Mushi (Guest) on August 13, 2019
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Mwafirika (Guest) on July 27, 2019
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Peter Mwambui (Guest) on July 11, 2019
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
Francis Njeru (Guest) on July 5, 2019
π Hiyo punchline!
Rose Lowassa (Guest) on June 29, 2019
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 22, 2019
ππππ
Fikiri (Guest) on June 18, 2019
π Naihifadhi hii!
Victor Mwalimu (Guest) on June 10, 2019
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Stephen Kikwete (Guest) on April 16, 2019
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Mary Kendi (Guest) on January 27, 2019
π Nimeipenda kabisa hii!
Kevin Maina (Guest) on January 17, 2019
ππ€£ππ
Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 10, 2019
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Francis Mtangi (Guest) on January 5, 2019
πππ€£
Nora Lowassa (Guest) on December 2, 2018
ππ€£π
Mwanaisha (Guest) on November 18, 2018
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
John Lissu (Guest) on November 12, 2018
πππ
Jabir (Guest) on September 25, 2018
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Ruth Wanjiku (Guest) on September 24, 2018
π Naihifadhi hii!
Janet Mbithe (Guest) on September 13, 2018
π Bado nacheka!
Emily Chepngeno (Guest) on August 9, 2018
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Grace Mligo (Guest) on August 6, 2018
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Monica Lissu (Guest) on August 5, 2018
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Nancy Akumu (Guest) on August 4, 2018
π Umenishika vizuri!
Janet Wambura (Guest) on July 6, 2018
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Halimah (Guest) on May 31, 2018
π Nalia kwa kweli hapa!
Nyota (Guest) on May 18, 2018
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Joseph Kiwanga (Guest) on May 5, 2018
π Hii ni dhahabu!
Patrick Akech (Guest) on April 27, 2018
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Nancy Kawawa (Guest) on April 20, 2018
π€£ππ
Maida (Guest) on April 20, 2018
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
Elizabeth Mtei (Guest) on April 17, 2018
π€£πππ
Moses Kipkemboi (Guest) on April 13, 2018
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Monica Adhiambo (Guest) on March 15, 2018
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Mary Kendi (Guest) on February 13, 2018
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Mwanakhamis (Guest) on February 7, 2018
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Anthony Kariuki (Guest) on January 19, 2018
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Nicholas Wanjohi (Guest) on January 8, 2018
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Grace Njuguna (Guest) on January 2, 2018
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Yahya (Guest) on December 31, 2017
π Kali sana!
Patrick Kidata (Guest) on November 28, 2017
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Tabitha Okumu (Guest) on November 8, 2017
ππ€£ππ
Josephine Nduta (Guest) on November 5, 2017
Asante Ackyshine
Lydia Mahiga (Guest) on November 5, 2017
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Lydia Mutheu (Guest) on October 23, 2017
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
Anthony Kariuki (Guest) on September 25, 2017
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Rose Waithera (Guest) on September 10, 2017
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Binti (Guest) on September 1, 2017
π€£ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Jaffar (Guest) on August 31, 2017
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Agnes Lowassa (Guest) on August 30, 2017
π Kali sana!