Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-
1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita "vishohia". Wanawake wa Rombo ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji.
2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.
3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchinja⦠wengi wanamiliki mabucha. Wana hasira sana na ni wakatili.. Akikuchoma kisu, siku ya mazishi anakuja kudai kisu chake.
4. WAMACHAME; hawa ni wezi sana, ukifanya nae dili umeliwa. Ni wasiri sana lakini wako makini mno hasa kwenye pesa. Wakiwa na hasira hawaoneshi waziwazi, so Mmachame anaweza kukuua huku akitabasamu. Sio waaminifu sana lakini wanaenda kanisani mara nyingi zaidi kuliko Wachaga wote. Wanawake wa machame wanaitwa 'Wapalestina'.. Mume ukitajirika mkeo anakuua ili arithi mali.
5. WAURU; hawa hupenda kusoma sana lakini hawapendi maendeleo kabisa. Hadi leo eneo lao la Kishumundu linatumika ku-identify wachagga washamba. Wanawake wakifikisha umri wa miaka 40 hua wehu na wanaume huwa vichaa mapema zaidi. Wanaume ni wavivu, lakini wanawake ni wachapakazi hodari. Wanazurura mjini na mabeseni wakiuza ndizi mbivu.. Ukioa Uru jiandae kulea kichaa.
6. WASIHA; Kwanza hawapendi kuitwa Wachagga. Wanajiita watu wa West-Kilimanjaro. Ni mchanganyiko wa Wachagga na WaMeru. Hawapendi shule ila wanapenda zaidi kazi za ufundi na kilimo. Viazi vingi vya Chips Arusha na Moshi vinatoka kwao. Wanawake zao wana "vigimbi" mguuni sababu ya kulima mno.!
7. WAKIRUA; wanapenda sifa kama Wahaya. Wanawake wa Kirua ni wachawi kupindukia.. Wanaloga hata jiwe ili tu alikomoe.. Wanaume wa Kirua hawapendi kuoa kwao.. Hawapendi kuishi mjini maana wanaogopa gharama.. lakini siku wakija mjini wawili tu utadhani wako mia.
8. WA OLD-MOSHI; Hawa ni mafundi stadi wa ujenzi wa nyumba, japo hawajengi kwao. Mpaka leo hamna daladala ya kwenda Old-Moshi inayoanzia Moshi mjini, maana ni wabishi kulipa nauli na pesa inaishia kwenye mbege njiani. Wanaume wamezoea kutoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri na kurudi saa sita ya usiku kwa miguu.!
Wachaga mnisamehe!
ππππββ
David Musyoka (Guest) on November 21, 2019
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Joyce Aoko (Guest) on November 1, 2019
πππ€£
Francis Njeru (Guest) on October 21, 2019
π Hiyo punchline!
Andrew Odhiambo (Guest) on October 13, 2019
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Linda Karimi (Guest) on October 7, 2019
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Robert Okello (Guest) on September 23, 2019
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Bernard Oduor (Guest) on September 23, 2019
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Joseph Njoroge (Guest) on September 11, 2019
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Ruth Mtangi (Guest) on September 5, 2019
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Victor Kamau (Guest) on August 21, 2019
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Kenneth Murithi (Guest) on August 13, 2019
Nimeipenda hii joke! ππ
Anna Mchome (Guest) on June 26, 2019
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Jane Muthui (Guest) on June 18, 2019
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Mary Mrope (Guest) on June 4, 2019
π ππ
Jane Malecela (Guest) on May 27, 2019
π Kichekesho gani!
Nora Lowassa (Guest) on May 24, 2019
π Ninaihifadhi hii!
Irene Akoth (Guest) on May 17, 2019
π Umenishika vizuri!
Nancy Akumu (Guest) on March 26, 2019
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
David Musyoka (Guest) on February 21, 2019
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Patrick Akech (Guest) on February 19, 2019
Hii ni kali sana! ππ€£
Nancy Akumu (Guest) on January 25, 2019
π Hii ni hazina ya kichekesho!
Fredrick Mutiso (Guest) on January 18, 2019
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Sarah Karani (Guest) on December 30, 2018
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Samuel Omondi (Guest) on December 29, 2018
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Rose Kiwanga (Guest) on December 28, 2018
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Patrick Akech (Guest) on December 27, 2018
πππ€£
Ruth Wanjiku (Guest) on December 19, 2018
Hii imenibamba sana! π π€£
Michael Onyango (Guest) on December 11, 2018
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Rose Waithera (Guest) on October 30, 2018
π Kali sana!
Ali (Guest) on October 27, 2018
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Andrew Mahiga (Guest) on October 19, 2018
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Joyce Nkya (Guest) on October 13, 2018
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Victor Kamau (Guest) on September 27, 2018
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Mary Kidata (Guest) on August 25, 2018
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Mercy Atieno (Guest) on August 18, 2018
π Umeimaliza kabisa!
James Kawawa (Guest) on August 13, 2018
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Grace Wairimu (Guest) on August 8, 2018
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Benjamin Masanja (Guest) on August 8, 2018
ππππ
Mazrui (Guest) on August 3, 2018
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
John Mushi (Guest) on July 3, 2018
πππ
Peter Mbise (Guest) on June 15, 2018
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
Anna Sumari (Guest) on May 27, 2018
Umesema kweli! ππ
Esther Nyambura (Guest) on May 25, 2018
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Robert Okello (Guest) on May 14, 2018
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Janet Mbithe (Guest) on May 3, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Mary Mrope (Guest) on April 29, 2018
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
Victor Kimario (Guest) on April 23, 2018
π Hii ni kali sana!
Samson Mahiga (Guest) on March 31, 2018
π Siwezi kuacha kucheka!
Miriam Mchome (Guest) on February 24, 2018
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Patrick Akech (Guest) on February 12, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Mariam Hassan (Guest) on February 7, 2018
π€£π₯π
Lydia Wanyama (Guest) on February 6, 2018
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Amina (Guest) on January 23, 2018
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Ruth Kibona (Guest) on January 21, 2018
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Mustafa (Guest) on December 31, 2017
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Anna Mchome (Guest) on December 25, 2017
πππ π
Violet Mumo (Guest) on November 29, 2017
ππ€£ππ
Zulekha (Guest) on November 27, 2017
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Mary Njeri (Guest) on November 16, 2017
π Nilihitaji kicheko hicho!
George Mallya (Guest) on October 20, 2017
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£