Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_5aecf06150f0b303a2c5e5ec6d7c2ac2, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d7de92f6576fa9518b65c8e706c06e94, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_79554774b833a3a0a86208cae0360c63, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_99bd963bd9408660fd7fd269e710f978, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Utani wa wachaga

Featured Image

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita "vishohia". Wanawake wa Rombo ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji.

2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.

3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchinja… wengi wanamiliki mabucha. Wana hasira sana na ni wakatili.. Akikuchoma kisu, siku ya mazishi anakuja kudai kisu chake.

4. WAMACHAME; hawa ni wezi sana, ukifanya nae dili umeliwa. Ni wasiri sana lakini wako makini mno hasa kwenye pesa. Wakiwa na hasira hawaoneshi waziwazi, so Mmachame anaweza kukuua huku akitabasamu. Sio waaminifu sana lakini wanaenda kanisani mara nyingi zaidi kuliko Wachaga wote. Wanawake wa machame wanaitwa 'Wapalestina'.. Mume ukitajirika mkeo anakuua ili arithi mali.

5. WAURU; hawa hupenda kusoma sana lakini hawapendi maendeleo kabisa. Hadi leo eneo lao la Kishumundu linatumika ku-identify wachagga washamba. Wanawake wakifikisha umri wa miaka 40 hua wehu na wanaume huwa vichaa mapema zaidi. Wanaume ni wavivu, lakini wanawake ni wachapakazi hodari. Wanazurura mjini na mabeseni wakiuza ndizi mbivu.. Ukioa Uru jiandae kulea kichaa.

6. WASIHA; Kwanza hawapendi kuitwa Wachagga. Wanajiita watu wa West-Kilimanjaro. Ni mchanganyiko wa Wachagga na WaMeru. Hawapendi shule ila wanapenda zaidi kazi za ufundi na kilimo. Viazi vingi vya Chips Arusha na Moshi vinatoka kwao. Wanawake zao wana "vigimbi" mguuni sababu ya kulima mno.!

7. WAKIRUA; wanapenda sifa kama Wahaya. Wanawake wa Kirua ni wachawi kupindukia.. Wanaloga hata jiwe ili tu alikomoe.. Wanaume wa Kirua hawapendi kuoa kwao.. Hawapendi kuishi mjini maana wanaogopa gharama.. lakini siku wakija mjini wawili tu utadhani wako mia.

8. WA OLD-MOSHI; Hawa ni mafundi stadi wa ujenzi wa nyumba, japo hawajengi kwao. Mpaka leo hamna daladala ya kwenda Old-Moshi inayoanzia Moshi mjini, maana ni wabishi kulipa nauli na pesa inaishia kwenye mbege njiani. Wanaume wamezoea kutoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri na kurudi saa sita ya usiku kwa miguu.!

Wachaga mnisamehe!
πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒβœ‹βœ‹

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8d3407dc3c82a3ff45233a7398422e5e, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

David Musyoka (Guest) on November 21, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Aoko (Guest) on November 1, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on October 21, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Andrew Odhiambo (Guest) on October 13, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Linda Karimi (Guest) on October 7, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on September 23, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Bernard Oduor (Guest) on September 23, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on September 11, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on September 5, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Victor Kamau (Guest) on August 21, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Kenneth Murithi (Guest) on August 13, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on June 26, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on June 18, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on June 4, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Jane Malecela (Guest) on May 27, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Nora Lowassa (Guest) on May 24, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Irene Akoth (Guest) on May 17, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Nancy Akumu (Guest) on March 26, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Musyoka (Guest) on February 21, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on February 19, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on January 25, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Fredrick Mutiso (Guest) on January 18, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sarah Karani (Guest) on December 30, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on December 29, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Rose Kiwanga (Guest) on December 28, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Patrick Akech (Guest) on December 27, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on December 19, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on December 11, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Rose Waithera (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Ali (Guest) on October 27, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on October 19, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on October 13, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Victor Kamau (Guest) on September 27, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kidata (Guest) on August 25, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mercy Atieno (Guest) on August 18, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

James Kawawa (Guest) on August 13, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Grace Wairimu (Guest) on August 8, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Benjamin Masanja (Guest) on August 8, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mazrui (Guest) on August 3, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

John Mushi (Guest) on July 3, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Peter Mbise (Guest) on June 15, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Anna Sumari (Guest) on May 27, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on May 25, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Okello (Guest) on May 14, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on May 3, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on April 29, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on April 23, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Samson Mahiga (Guest) on March 31, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Miriam Mchome (Guest) on February 24, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on February 12, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on February 7, 2018

🀣πŸ”₯😊

Lydia Wanyama (Guest) on February 6, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Amina (Guest) on January 23, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Kibona (Guest) on January 21, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mustafa (Guest) on December 31, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on December 25, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on November 29, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Zulekha (Guest) on November 27, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mary Njeri (Guest) on November 16, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

George Mallya (Guest) on October 20, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Related Posts

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_19db4c0c25e5905811ccc8b48066d2d7, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3